Usidanganye mchana kweupe kila mtu anakutizama mkuu!Daktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..
Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
Dalili za kuishiwa hoja, Magufuli alikuwa rais wa hovyo sana, asiyejiamini na alificha udhaifu wake kwa kutumia mabavu na vyombo vya dola. Àishi milele jehanum, aminaNingekuona umeanza kupona ule ugonjwa wako,kama leo ungemkubali jpm,ila kwa sababu wewe bado ni mgonjwa,huwezi mkubali.
Baasi tenaAliyemrecomend ni mkwere🤣🤣
Na Wewe uishi milele dunianiDalili za kuishiwa hoja, Magufuli alikuwa rais wa hovyo sana, asiyejiamini na alificha udhaifu wake kwa kutumia mabavu na vyombo vya dola. Àishi milele jehanum, amina
Magufuli alikuwa na hitilafu ya kwenye moyo wakamwekea kifaa kinachoitwa pacemaker. Wengi ya wagonjwa wenye hiyo hali wanaishi maisha ya kawaida na huwa hakuna tatizo. Tatizo lilikuja pale alipopata covid. Covid ni hatari sana ikimpata mtu ambaye ana condition ya moyo kama hiyo hasa kama hajachanjwa. Hivyo basi unaweza kusema kuwa alifariki kwa sababu ya covid.Kwenye Royo Tuwa Mkojani anatoa sababu mbili za kifo Cha mtu Mmoja..... Covid then Moyo.
Je alisunbuliwa na kipi Kati ya hivyo na kipi kilimuuwa Kati ya hivyo ?
Hivi Magufuli was immortal? hakupaswa kufa? baada ya kuwa amezaliwa alipaswa kuishi umri gani hapa duniani ndo afe???shiiishNajiuliza sana hili swali ni nani alikuwa Daktari wa Rais Magufuli kipindi yupo Madarakani. Na alimpata wapi? Au alipendekezewa na nani?
Sijaelewa msingi wa maswali yako? Wewe una uelewa mzuri kweli? Nani amesema hakupaswa kufa au kapinga JPM kufa? Matatizo ya Lishe Dini.Hivi Magufuli was immortal? hakupaswa kufa? baada ya kuwa amezaliwa alipaswa kuishi umri gani hapa duniani ndo afe???shiiish
Mchawi ni Ufipa stli
🤣Unataka kujua nini ? Kuwa muwazi mbona una umma meno ?
Sawa kabisaAchana na haya mambo, fanya mambo mengine...
Hilo ndo haswa!!Tena huko kwa wenzetu yeye pia angeishia pabaya kwa aliyokuwa anayafanya.
Kwa “wenzenu” wapi huko?Ingekuwa kuwa kwa wenzetu majibu tungekuwa nayo tayari, hata mhusika angelikuwa mahakamani.