Mkuu wengi wanasubiri kujua sio jinsi Magufuli alivyokufa, bali jinsi wapendwa wao walivyokufa mikononi mwake! Usione watu wapo kimya!Kila kitu kitawekwa wazi mda bado ! Kifo cha JPM kitaibua maswali mengi kwa sasa NI ngumu kutoka hadharani na kusema waliofanya uovu huo hata nchi itapatanganyika tuombe Amani kwanza mtu Mmoja asisababishe tukaingia kwenye matatizo tupo Zaid ya milion 60
🤔Uzembe wa via vya wazazi wako walioshindwa kukubana kama last inya, sasa uko huku kuponda watu wazuri kipenzi cha Taifa
Nyakati tofauti kutaja sababu tofauti zikiwa separate Kama chanzo Cha kifo inaleta ukakasi.Magufuli alikuwa na hitilafu ya kwenye moyo wakamwekea kifaa kinachoitwa pacemaker. Wengi ya wagonjwa wenye hiyo hali wanaishi maisha ya kawaida na huwa hakuna tatizo. Tatizo lilikuja pale alipopata covid. Covid ni hatari sana ikimpata mtu ambaye ana condition ya moyo kama hiyo hasa kama hajachanjwa. Hivyo basi unaweza kusema kuwa alifariki kwa sababu ya covid.
Wacha weeeeeeh.... 😃Nchi zote zinazotuzunguka zimewahi kufiwa na Rais akiwa madarakani isipokuwa Uganda pekee, what's so special
Jomo Kenyata, Habyarimana, Nkurunzinza, Mwanawasa, Bingu wa mutharika na Samora Machel wote hawa walifia madarakani kwa sababu tofauti tofauti
Serikali ilishatangaza kupitia Rais Samia kuwa Rais Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa Moyo uliogundulika kwa zaid ya miaka 10 kabla ya kifo chake
wanafamilia wake kuanzia Mama yake Mzazi hadi Dada zake walipata maradhi hayo kwa nyakati tofauti ikiashiria ni maradhi ya kurithi
lakin kwa kwenda mbali zaid Rais Samia alikaribisha watu wenye ushahidi tofauti na huo wajitokeze na wauweke hadharani, Karibu
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
dr NgwaleDr Mchembe ndo alikuwa daktari wa Magufuli.
dr Ngwale ndiyo alianza na JPM km daktari wakeNinachofahamu ni Dr. Janabi na Mwamba JPM zilikua haziivi. Ila Dr. Mchembe ndio alikuwa daktari wa mwamba. Hauko mbali sana na unachokitafuta kukifahamu
Vizuridr Ngwale ndiyo alianza na JPM km daktari wake
Nimejifunza kwamba swala la kushindwa kuhoji huanzia ngazi ya familia kuna mambo kwenye ngazi ya familia hutakiwi kuhoji ukihoji unaweza sababisha ufukuzweDaktari alimshauri mapema sana kuhusu afya yake, lakini mzee mwenyewe alikataa kata kata kupanda ndege kwenda ughaibuni kulikozaliwa matibabu ili kurekebisha afya ya moyo wake pamoja na kuikwepa Covid-19, wakati huo ndiyo imepamba moto balaa. Ndiyo hivyo tena..
Hapa mchawi hayupo ndugu, tujipange tu kuishi na CCM ya maza.
suluhisho ni nn hapo?Nimejifunza kwamba swala la kushindwa kuhoji huanzia ngazi ya familia kuna mambo kwenye ngazi ya familia hutakiwi kuhoji ukihoji unaweza sababisha ufukuzwe
Wasaidizi wake wote wa karibu walikufa kwa covid ila ni yeye tu aliyeuliwa!.Nchi zote zinazotuzunguka zimewahi kufiwa na Rais akiwa madarakani isipokuwa Uganda pekee, what's so special
Jomo Kenyata, Habyarimana, Nkurunzinza, Mwanawasa, Bingu wa mutharika na Samora Machel wote hawa walifia madarakani kwa sababu tofauti tofauti
Serikali ilishatangaza kupitia Rais Samia kuwa Rais Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa Moyo uliogundulika kwa zaid ya miaka 10 kabla ya kifo chake
wanafamilia wake kuanzia Mama yake Mzazi hadi Dada zake walipata maradhi hayo kwa nyakati tofauti ikiashiria ni maradhi ya kurithi
lakin kwa kwenda mbali zaid Rais Samia alikaribisha watu wenye ushahidi tofauti na huo wajitokeze na wauweke hadharani, Karibu
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Watu watambue kwamba kuhoji ni sehemu ya maisha na majibu ya kweli yatolewe bila kujiumauma wala jaziba kuanzia mtu binafsi, ngazi ya familia na kitaifasuluhisho ni nn hapo?
hilo Sasa Ni suala mtambukaWatu watambue kwamba kuhoji ni sehemu ya maisha na majibu ya kweli yatolewe bila kujiumauma wala jaziba kuanzia mtu binafsi, ngazi ya familia na kitaifa
Kila kitu kitawekwa wazi mda bado ! Kifo cha JPM kitaibua maswali mengi kwa sasa NI ngumu kutoka hadharani na kusema waliofanya uovu huo hata nchi itapatanganyika tuombe Amani kwanza mtu Mmoja asisababishe tukaingia kwenye matatizo tupo Zaid ya milion 60
Uzembe wa via vya wazazi wako walioshindwa kukubana kama last inya, sasa uko huku kuponda watu wazuri kipenzi cha Taifa