sio sawa awaache watu wachague watakacho
 
Polis wa Tanzania ni kama mbw*!!!

Hawajawah kuwa na reasoning

Wao wakisikia " SHIKA/KAMATA HUYO "

Baasi ,,akili zao..zote huwa zinahamia kweny kukamata!!
 
Hivi Mkuu unalikumbuka lile tangazo lilikuwa sijui lipo michuano ya UEFA au World Cup yule Jamaa alikuwa anaangalia mpira timu yake ikafunga goli akaenda toilet kushangili akavua jezi akabaki na ile jezi ya timu iliyoshinda, maana alikuwa anaona noma kushangilia mbele ya wenzake
 
Hajielewa na ndio shida ya kujiona unajua kila kitu kumbe ni mbumbumbu fulani....
.yaani anatupangia tupende nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…