Dah mawaziri wengine viazi kweli,
Yeye kama hajui raha ya soka aache kuongea nonsense
Kama waziri hapo moja kwa moja ameongea kauli za kutaka serikali isipate mapato kutokana na viingilio vya mashabiki,
Fans wa simba wenye uzalendo wa kuishangilia yanga ni wachache na hata Fans wa yanga wenye uzalendo wa kuishangilia simba ni wachache..
 
Yaani wameshatupangia jinsi ya kuwa maskini na hata furaha kidogo tunayotaka kuipata kupitia mpira wanataka pia kutupangia jinsi ya kusherehekea. Hivi unawezaje kulazimisha watu wawe wazalendo?? uzalendo ni kuvaa au kutokuvaa jezi kweli??
 
Huyu Waziri huwa HAJUI kabisa kuzungumza Kuna siku nilimsikia UFM kuhusu lile sakata la Katibu wa Mpira wa Netball, dah nilimuona uwezo wake wa kupambanua mambo ni mdogo sana, hata hiyo PhD yake inafikirisha sana yaani 😂😂😂
 
Hapa ndio nimeamini media zetu zimejaa unafiki. Sijaona mtu aliye challenge zaidi ya kujifichia kwenye uzalendo. Haya yangezungumzwa na msemaji au kiongozi wa team ungeuona moto
 
Tunashangilia timu kwa kulazimishana?

Waziri kavunja katiba halafu kavunja haki za binadamu.

Kwenye kubeti nako atalazimisha watu wabeti upande upi? 🤣🤣🤣
 
Tunashangilia timu kwa kulazimishana?

Waziri kavunja katiba halafu kavunja haki za binadamu.

Kwenye kubeti nako atalazimisha watu wabeti upande upi? 🤣🤣🤣
Kuna kipindi serikali inatakiwa iwe na ubabe ili usijisahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…