Basi tatizo ni kubwa anamuoneaje wivu mzazi mwenzie mwanaume? Acha apumzike magereza.
Nyumba iliyochomwa ni ya Zungu au ya Neema au walipanga tu
Haya maumivu huwa ni makali usippofikiria kwa umakini unaweza chukua maamuzi ya kipumbavu
πππNaongezea ukishaona dada amepinda mgongo kuja mbele. Namaanisha akitembea kifua kinataka kuonekana mbele kama vile yuko kwenye gwaride. Kama unaenda kwake hakikisha suala la tako sio kipaumbele
Hiki ni kipengele kwenye hicho kifungu cha katiba hiyo
Mkuu kumbe unajua kazi ya ndizi sukari.! Teh teh.Huyu dada dawa yake ni kumpandia Ndizi Sukari tu Mbeyaaaaa! Unafuta ukoo wake wote.
KabisaKwahiyo Neema alikuwa ni certified promiscuous?
Yanatokea kama hayo ndio unasikia povu la lawama.Siku zote huwa nawaambia watu maneno haya ila wanaona kama utani. Asante mshana umeliona kwa jicho lingine. Kifupi majeruhi wa moyo sio wa kucheza nae. Kama unaigiza bora usepe mapemaaa
Mkuu ameona kwa Jicho la tatu!? kama sikosei.Siku zote huwa nawaambia watu maneno haya ila wanaona kama utani. Asante mshana umeliona kwa jicho lingine. Kifupi majeruhi wa moyo sio wa kucheza nae. Kama unaigiza bora usepe mapemaaa
Siku zote Ubongo unatakiwa kuongoza mihemko, the vice versa is always disaster,Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Ninachowapendeaga wanawake wao wapo sawa muda wote, yule jamaa wa kigamboni aliyemuua mke wake na kumchoma alilaumiwa sana na sasa huyu mwanamke aliyemuua mume wake bado wanalaumiwa wanaume. Strange World!!Japo amekosea ila tujiulize.....
Imekuwaje hadi amefikia kumchoma mumewe aliyemchagua mwenyewe moto.
Wanaume "baadhi" epukeni kuwaumiza wanawake na Kisha kupuuza kumaliza migogoro, kwa kudhani huo ndio uanaume.
Mnawajaza hasira na hawana kwa kutemea nyongo. Mwisho wa siku wanafanya maamuzi ya kustaajabisha.
Wanandoa na nyie mkiona vurugu ni nyingi kuliko amani achaneni kila mtu aendelee na maisha yake. Acheni kuvumilia mnavyoona hamuwezi kuhimili.
Hakuna kaburi linaloandikwa "Aliolewa" au "Alioa" ni alizaliwa tarehe.... Na kafariki tarehe.....
Acheni upuuzi wa kuwaza jamii itauonaje tukiachana anzeni kuwaza tukiendelea kuishi kwa kuumizana mwisho wake nini!?
Ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba na mama.
Wakati wangeachana watoto wangeweza kuendelea kuwaona wazazi wao hata kama ni kwa utaratibu maalum.
Nakadori nakuitaIla lilikuwa Zuri dahh udongo unajua kulamba vitu
Kile ulichoandika ni uzinzi tu.Ni kweli, kama ni hivyo hata Adam alikuwa mzinzi. Ukitafakari jinsi tulivyokuja hapa duniani ni uzinzi tu! Au sio?!
ππππ