...Watateseka Sana. Kwa tunavyowsjua ndugu watakaowachukua na kukaa nao, mtoto akikosea kidogo tu utasikia..."usinisumbue! Mama na mama yako wameuana huko unataka kuniletea Shida mimi!"Watoto watateseka sana. Baba hayupo na mama hayupo. Who gonna take care of them? Inaumiza sana.
Kuna mwanamke alimuua mchepuko wake kwa visu. Kapelekwa mahabusu ndani ya wiki tu anaanza kujuta.Muda mwingine akili ituongoze kuliko hisia.
Imagine, umemchoma moto mwenzako na kumuua, wewe utaozea jela kwa maumivu makali.
Umefaidika nini sasa? Kwenda kufia jela ndiyo faida?
Aisee!.
Nimewaandikieni ninyi mtaokaosoma hapa.
We ni mmasai mkuu??[emoji3]Kama nimeelesa vizuri alipewa kwanza bia za bure na mdada, maana yake wakati tukio linafanyika jamaa alikuwa amelewa,isingekuwa rahisi kujitetea!
Basi sisi ni majirani mkuu...njoo kwa ndele hapa natoa lokiJirani yangu kabisa katenda unyama huu. Yaani binadamu nyamamu.
Zungu aliyechomwa ndio yule wa tozo za miamala na mafuta?Jirani yangu kabisa katenda unyama huu. Yaani binadamu nyamamu.
Pole sana. Ila na wewe jitathmini, shem anakucheki tu unavyoserereka na slay queen, anasema hiiii!!Kwa upole alokuaa nao neema huwezi amini angefanya kile kitendo...dada mpole na mstarabu sana
Aiiseee wanawake hapana
Mlishuhudia mkashidwa namna ya kufanya kumuokoa baharia?Nililishuhudia tukio mwanzo mwisho...aliechomwa ni rafiki yangu mkubwa
Hahaha inabidi nianze kubadilika aisee...hawa watu sio wakuamini usiku unaweza pigwa hata tofali la kichwa, na pombe zetu hizi ndio inakua bye byePole sana. Ila na wewe jitathmini, shem anakucheki tu unavyoserereka na slay queen, anasema hiiii!!
Oa acha kujipa moyo.Alafu kuna mbuzi utamsikia eti "umri umekwenda Sasa uoe " ..
Moto ulikua mmkubwa sana pale hata wenye mafunzo wasingesogea...Mlishuhudia mkashidwa namna ya kufanya kumuokoa baharia?
Your not serious hiyo sura sio nzuri maana ukiiangalia tu inatoa ujumbe "usiempenda kaja"😂Sura nzuri roho ya simba
Kivipi mkuu ?? ..Oa acha kujipa moyo.
Mama suraiiyaNoma sana mkuu reaction ya mwanamke mpumbavu ni disaster!
Alichoma nyumba ndani mna mpangaji kalala na mwanae,nje duka la spare za pikipiki ndani mna jamaa hiyo jana aliingiza pikipiki mpya na mlikuwa na store ya mtu kajaza mzigo wa dagaa vyote vimeteketea Mungu saidia huyu dada mpangaji alitoka salama ila huyu dogo akawa muhanga,mpaka sasa hivi panafuka moshi yote ni mal@ya mmoja kasababisha.
Sio tofari, kwa hizi Kvant tunazokunywa hata akikufunika na mto kwaheriHahaha inabidi nianze kubadilika aisee...hawa watu sio wakuamini usiku unaweza pigwa hata tofali la kichwa, na pombe zetu hizi ndio inakua bye bye
Nadhani ni Sawa na yule aliyechomwa na mkaa.. au sio??Siku zote huwa nawaambia watu maneno haya ila wanaona kama utani. Asante Mshana umeliona kwa jicho lingine. Kifupi majeruhi wa moyo sio wa kucheza nae. Kama unaigiza bora usepe mapemaaa
Makabe ukipita barabara ya Madukani jirani na zilipo office za serikali ya mtaa maarufu wanapaita kwa Washa.Mkuu ni makabe eneo gani hilo?? Maana asbh nimepita hapo sijaona wala kusikia. Nakuja kuona status tu wanazengo wanapost