Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Hata nyoka wenye sumu kali huwa wapole sanaKwa upole alokuaa nao neema huwezi amini angefanya kile kitendo...dada mpole na mstarabu sana
Aiiseee wanawake hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nyoka wenye sumu kali huwa wapole sanaKwa upole alokuaa nao neema huwezi amini angefanya kile kitendo...dada mpole na mstarabu sana
Aiiseee wanawake hapana
Dah demu mpole na mkimya anawekaga vitu moyoni na hili ndio huzaa visasi! Yani lazma akukomeshe vikimzidia tu.Yes yes mademu wapole halafu huwa wana roho mbayaa mnoo[emoji848]
Sio mchepuko 1 naowajua mimi ni watatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mapenzi yalivyokuwa ya kifala, usikute nae alikuwa na mchepuko wake.. [emoji23]
Kuiba unahisi ni haki yako, ila kuibiwa hapana.. [emoji23]Sio mchepuko 1 naowajua mimi ni watatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh huyo dada ni zaidi ya katili, kwahiyo baada ya tukio hakuonesha kujutia akasimulia ilikuwajeKwa maelezo ya neema anasema alimpa kimoja
Naomba kueleweshwa hapo boss mm sijui.🙏Mkuu kumbe unajua kazi ya ndizi sukari.! Teh teh.
Kulazimisha mahusiano ni uhalifu kama mwingine. MwanaumSometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu...
Hujasikia fulani kamuua mtalaka wake!!! Kuachana siyo suluhisho, hadi walioachana wanauana, na masingle lady wanauwawa na mabwana zao. Suluhisho wanawake muwe watiifu kwa waume zenu na mkubali mwanaume hajaumbiwa mwanamke mmoja.Japo amekosea ila tujiulize.....
Imekuwaje hadi amefikia kumchoma mumewe aliyemchagua mwenyewe moto...
Kama kapagawa hivi...kwasababu baada ya kuona moto umewakaa kisawasawa alikimbilia kwa mchungaji uchiiii...Duh huyo dada ni zaidi ya katili, kwahiyo baada ya tukio hakuonesha kujutia akasimulia ilikuwaje
Hahahahah demu alikuwa anamlia timming mwana kwa jinsi tukio lilivyo na huenda alimpa papuchi kwanza na kumtia bwax 😂! Kisha usiku mnene akamnyoosha mishale ya unane nane...
Mwanamke akitenda kosa lazma itatafutwa justification na excuse aonekane ni victim. Kama vile wanawake wote ni malaika watakatifu.Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu....
Lkn nyie daah,Your not serious hiyo sura sio nzuri maana ukiiangalia tu inatoa ujumbe "usiempenda kaja"😂
Duuh mbona kwenye umalaya hamsemi vile wanawake wanavyotukanwa huku wanaume wakisifiwaMwanamke akitenda kosa lazma itatafutwa justification na excuse aonekane ni victim. Kama vile wanawake wote ni malaika watakatifu. Mwanamke hata kama umetoka naye mbali kivipi akiaanza tabia mbovu ubabe kukosa heshima kutaka kukupanda kichwani usimuache kisa mmetoka mbali wkt huko mbali tabia haikuwa hiyo!!! Ila mwanaume hali yake ya uchumi ikibadilika kdg utaambiwa mwanaume suruali wa nini utaachwa hata kama mlitoka mbali.
Yes yes mademu wapole halafu huwa wana roho mbayaa mnoo[emoji848]
Ni jina moja ilo kwa kizungu na kiswahiliKweli lakini halafu kumbe Haitwi Neema kama ITV ilivyotangaza anaitwa Grace Mushi.
Hatutaki uzinzi katika ndoaHivi kwanini ninyi wanawake mnakuwa wachoyo kiasi hicho? Wakati kuna wanawake wenzenu wanataka mijegejo?
1. Kwani hapo Neema alikuwa kaolewa?Hatutaki uzinzi katika ndoa