Prisonerx
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 681
- 1,792
Hili neno jirani, eti mnaitana jirani na mke wa mtu, wanawake wengi hasa wake za watu wameliwa kwa kuitwa jirani 😁😁Usikute wewe ndio ulikuwa unachepuka na jirani [emoji28]jokes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili neno jirani, eti mnaitana jirani na mke wa mtu, wanawake wengi hasa wake za watu wameliwa kwa kuitwa jirani 😁😁Usikute wewe ndio ulikuwa unachepuka na jirani [emoji28]jokes
Ahaaahaaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Mnawaloga mixer kuwanyonya mik*nd* na uchi hlf mnataka kuwaacha hivi hivi
Mtu anaishije sasa na ushamtia uchizi kote kote mtoto wa watu
Ulitaka kuua mkuu?[emoji848]Kichwa cha habari cha uzi kinaitwaje, maana na mimi yangeweza nikuta, Mungu ni Mkubwa pamoja na kwamba nina maumivu ya kupoteza muda wangu
Watu hubadilishwa na sarakasi za mahusuanoKuna haja ya kuchunguzana kabla ya kuingia kwenye mahusiano Rasmi.
I mean mjaribu kidogo unayemtaka kuona ni mtu wa aina gani maana unaweza ingia kwenye mahusiano na mtu ambaye sio sahihi.
Upo sahihi,Watu hubadilishwa na sarakasi za mahusuano
Anaingia akiwa chakaramu anakuja kutulizwa na kutulia tuli
Anaingia akiwa mpole na mwenye huruma anabadilika na kuwa mkali na katili kabisa
Anaingia hajui pombe wala bangi wala madawa anabadilika na kuwa kigego
Kaka mapenzi ni kitu cha ajabu sana nadhani hata wewe ilishakutokea umamuonya mtu kuhusu mahusiano yake na mtu fulani lakini akatia pamba masikioni asisikie asiambiwe...Upo sahihi,
Ila mkuu Kuna baadhi ya tabia hazifichiki ukimuexpose mtu kwenye mazingira flani, kwa kiasi flani itasaidia kugundua mapema unadeal na mtu wa aina Gani Ili kama utafanya maamuzi uwe tayari kwa lolote.
Mmealiza au bado nataka niongeeKaribu Baba Swalehe, tunasubiri conclusion 🤪
Pole Sana mkuu, yaani wanawake Ni shida tuishi nap kwa akiliKwa upole alokuaa nao neema huwezi amini angefanya kile kitendo...dada mpole na mstarabu sana
Aiiseee wanawake hapana
Hakuna lolote..unakuta tu kijianamke kina kisirani hakipendwi na wanaume wengine kikibahatisha mmoja na huyo mmoja akiwa hayupo full commited mambo haya ndo yanatokea..wewe hawara wako unaanzeje kuwa naye na wivu kiasi cha kumtoa roho kama si uwendawazimu uliochangiwa na desperation?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] mkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo
Habari ya mjini ni petrol
Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
ukiona unateswa si uende kwenu kwani lazima kukaa nae,mambo mengine ya kujitakia tuHamiwezi jua alipitia mateso kiasi gani hadi kufanya hivyo. Kuna wanaume wanajua kutesa wanawake kisaikolojia hadi ujiulize kama alizaliwa au aliokotwa
Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?
Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
Unaambiwa pilau italika2 iwe ya harusi au ya msibani,,,,h hawataki ujinga.
...Ulichukua hatua gani za kuweza kuliepusha...ama ulishuhudia tu Rafiki yako mkubwa akichomwa hutu huku wewe ukishudia tu bila kufanya lolote???Nililishuhudia tukio mwanzo mwisho...aliechomwa ni rafiki yangu mkubwa
[emoji109][emoji109]No comment
Niseme Nini Mimi mnyonge!
Omba usikutane na makulumembe fc utaseka Sana,yanakuaga na wivu wa kijinga Sana hasa ukiwa mwanaume unaejipenda basi atatangaza mtaa mzima na ukitaka kuliacha usepe na zako litakufuatilia lijue ulipo likuharibie iwe mmekosa wote hata Kama umeamua kuvuta jiko litaivunja tu!
Wake na waume tuwe makini kwenye mahusiano tunayoanzisha aisee!
Lakini haikupi go ahead ya kwenda kumkaanga mwenzio namna ile, sio sawa aiseeHamiwezi jua alipitia mateso kiasi gani hadi kufanya hivyo. Kuna wanaume wanajua kutesa wanawake kisaikolojia hadi ujiulize kama alizaliwa au aliokotwa
Hata kama alikuwa anapitia magumu kiasi gani hakutakiwa kutenda alichotenda bali alikuwa na nafasi ya kuondoka akaishi maisha yake.