My memeh
Senior Member
- Jul 12, 2021
- 106
- 128
🤔Wapi nimesema ni wote?[emoji35]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔Wapi nimesema ni wote?[emoji35]
ni kweli lakini haihalalishi kilichofanyika pengine labda kama dada amesababishiwa matatizo ya akili.Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
..Mkuu, una maana hapo kuwa Bia za Dezo pia zimemponza Zungu!Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.
Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
Hatujapata nafasi ya kumhoji lakini status yake ya mwisho inatupa mwanga fulanini kweli lakini haihalalishi kilichofanyika pengine labda kama dada amesababishiwa matatizo ya akili.
Saivi hatutumii magunia ya mkaa, ni mwendo wa gesi ya kuchomeaSometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Huyo kichaa wa mirembe ameona achome nyumba ya a watu 🙄Na nyumba ni ya kupanga baba mwenye nyumba kasema anataka nyumba yake
Kama alimlewesha akamfunga kamba...?Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?
Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
Yeah! Umenililia sana na kuniuliza sababu, eti anavunga kama hii habari hakuiskia! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]Prevention is better than Cure!
Hautokaa uoleweSikilizia povuuu la wanaume humu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji14]
Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol[emoji16][emoji16]
Maelekezo mengine ya Lucifer anbayo hayakuandikwa kwenye biblia ndo hayoHii jinsia ina taabu sana imesababisha mzee wa watu kupoteza maisha yake kwa njia ya kikatili sana. Kweli ni mawakala wa shetani.
Vifaa vya ujenz vimepanda bei alafu mtu anakuja kukuchomea nyumba yako kisa wivu na ulikua unamdai malimbikizo ya kodiHuyo kichaa wa mirembe ameona achome nyumba ya a watu [emoji849]
Ulitaka niingie kwenye jehanam ya duniani??...Ulichukua hatua gani za kuweza kuliepusha...ama ulishuhudia tu Rafiki yako mkubwa akichomwa hutu huku wewe ukishudia tu bila kufanya lolote???
Nope! Jina linafanana na mtuhumiwa then nayeye age hiyo hiyo isitoshe ni kanda hiyo hiyo!! Prevention is better than cure!Umemuonea bure
Nope! Jina linafanana na mtuhumiwa then nayeye age hiyo hiyo isitoshe ni kanda hiyo hiyo!! Prevention is better than cure!Umemuonea bure
Hata hao wanandoa, sasa mtu si anafuata ya dini yake!? Ndio maana kila siku huwa tunasema oa au olewa na wa dini yako. Huwezi kumlazimisha mwenye dini yake afuate ya dini yako.Huyo Neema ni special case(kitendo alichofanya ni cha kishetani kabisa)!
Mimi nazungumzia kwa wanandoa.
Njoo PM nikuoneshe chat! Na je kama ni kweli uko tayari kuchukua nafasi yake?!Acha fix...
Alifungua konyagi akaanza kunywa...Ulichukua hatua gani za kuweza kuliepusha...ama ulishuhudia tu Rafiki yako mkubwa akichomwa hutu huku wewe ukishudia tu bila kufanya lolote???
Ee bwana ee, au ni kundi la white widowMoto ulikua mmkubwa sana pale hata wenye mafunzo wasingesogea...
Inaonekana na gas piia alifungulia