Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios

Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.

Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo

HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
ni kweli lakini haihalalishi kilichofanyika pengine labda kama dada amesababishiwa matatizo ya akili.
 
Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.

Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
..Mkuu, una maana hapo kuwa Bia za Dezo pia zimemponza Zungu!
Kwamba angezikataa na akaendelea na ratiba zake za hizi angekuwa kwenye ishu zake za kutafuta pochi tu? RIP Zangu.
 
ni kweli lakini haihalalishi kilichofanyika pengine labda kama dada amesababishiwa matatizo ya akili.
Hatujapata nafasi ya kumhoji lakini status yake ya mwisho inatupa mwanga fulani
IMG-20210716-WA0237.jpg
 
Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios

Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.

Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo

HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Saivi hatutumii magunia ya mkaa, ni mwendo wa gesi ya kuchomea
 
Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?

Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
Kama alimlewesha akamfunga kamba...?
 
Huyo Neema ni special case(kitendo alichofanya ni cha kishetani kabisa)!

Mimi nazungumzia kwa wanandoa.
Hata hao wanandoa, sasa mtu si anafuata ya dini yake!? Ndio maana kila siku huwa tunasema oa au olewa na wa dini yako. Huwezi kumlazimisha mwenye dini yake afuate ya dini yako.
 
Back
Top Bottom