Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukichanganya na Serengeti ndogo nyeusi 10. Lazima ukorome kama lizee lamiaka 60+Kimoja si unajua kinavyolevya hasa ukiwa umeoza tilalila yani usingizi wake unakuwaga mzito unaweza ukabebwa na kulazwa barazani nje ya nyumba na usistuke!
Ukishapiz tu ule uchovu kuamka masaa 6 mbele huko! Demu akatambaa na chaki wakati jamaa kashazima!😅😅😅
Kwahio kwenye risala moja ya mstari ni:Huyu marehemu alikuwa akikaa kwa huyu mwanamke, alipenda sana kulelewa.
Prevention is better than Cure!Hadi sasa nishapiga chini mchepuko wangu uitwao Neema, tena nayeye wa kanda hiyo!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Cc: rikiboy
Na jamaa yangu Mushi wa kiboshoSiyo kila Mushi ni Machame. Wapo pia kina Mushi wa Kibosho,Marangu na hata Siha
Bhita ni bhita MuraVita ndio imeanza rasmi
Huyo Neema ni special case(kitendo alichofanya ni cha kishetani kabisa)!1. Kwani hapo Neema alikuwa kaolewa?
2. Vipi utamzuia Omar asiwe na mwengine wakati dini yake inamruhusu kufanya hivyo?
Umepata nusu. Kama sio Mrombo basi ni Mkibosho.Huyu dada kwa kumtazama tu kama sio Mrombo huyu basi Mpalestina...
Acha fix...Hadi sasa nishapiga chini mchepuko wangu uitwao Neema, tena nayeye wa kanda hiyo!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Cc: rikiboy
, wewe🤨sio woteYes yes mademu wapole halafu huwa wana roho mbayaa mnoo[emoji848]
Wapi nimesema ni wote?[emoji35], wewe[emoji2955]sio wote
Kichwa cha habari cha uzi kinaitwaje, maana na mimi yangeweza nikuta, Mungu ni Mkubwa pamoja na kwamba nina maumivu ya kupoteza muda wanguSijui jinsi ya kutag mkuu btw ilishapita now nipo ok, usijenikumbusha machungu bure
Unaitwa "jinsi gani uliweza kumove on.... ebu anagalia kwenye nyuzi zangu sijui jinsi ya kutagKichwa cha habari cha uzi kinaitwaje, maana na mimi yangeweza nikuta, Mungu ni Mkubwa pamoja na kwamba nina maumivu ya kupoteza muda wangu
Poa,Ahsante sanaUnaitwa "jinsi gani uliweza kumove on.... ebu anagalia kwenye nyuzi zangu sijui jinsi ya kutag
Ushauri mzuri ndugu compactMuda mwingine akili ituongoze kuliko hisia.
Imagine, umemchoma moto mwenzako na kumuua, wewe utaozea jela kwa maumivu makali.
Umefaidika nini sasa? Kwenda kufia jela ndiyo faida?
Aisee!.
Nimewaandikieni ninyi mtaokaosoma hapa.
That's trueSometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa