Usaliti unauma mkuu both sidesKila mmoja ni mvumilivu kwa upande wake, tusiwe watu wa kuvutana. Vitu vingine ni nature ndiyo inayoamua. Hivyo wanawake mkitaka kufanya kila kitu kiende kwa usawa haiwezekani.
Hata hii ya petrol ni kongwe sana, subiri ya Minced meet inakuja!
Hii jinsia ina taabu sana imesababisha mzee wa watu kupoteza maisha yake kwa njia ya kikatili sana. Kweli ni mawakala wa shetani.
Ndo ipi hii mkuu?Kila mmoja ni mvumilivu kwa upande wake, tusiwe watu wa kuvutana. Vitu vingine ni nature ndiyo inayoamua. Hivyo wanawake mkitaka kufanya kila kitu kiende kwa usawa haiwezekani.
Hata hii ya petrol ni kongwe sana, subiri ya Minced meet inakuja!
Fitaa ni fitaa muraaaKwa hiyo wanaume tunawindana na wanawake ?!! [emoji1787]
Kuhusu kuogopa, sio kama nimeogopa, kiukweli kabisa wanaume wengi hofu yetu ni dhidi ya watoto wetu na kama kuna wanaotutegemea (wazazi).Mkuu umeogopa sanaa sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]
Utakuja kusikia mtu kasagwa kama nyama ya kusaga....Ndo ipi hii mkuu?
Inaonekana alijitahidi kwa kila njia kujizurisha, ukiona mwanamke ametoboa masikio zaidi ya mara mbili, akaacha mlango wa restaurant ya mtoto wazi, ujue amehangaika sana kumvuta mwanaumeMwanamke mwenyewe mbaya. Fikiria, hapo kapaka make up, kajipodoa balaa. Na umri upo mbioni.
Bado ni mbaya tu. Je, bila make up yupo vipi?
No doubt, aliona hakuna mwingine atakayemtaka.
Mrombo huyo,wenyewe wanajiita Waseri/Wauseri.Huyu dada kwa kumtazama tu kama sio Mrombo huyu basi Mpalestina...
Yah mkuu ulichoandika hapa kinawezekana.Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Lakini nature yetu wanaume ni kumiliki wanawake, ukisoma maandiko katika Uislam mwanaume ameruhusiwa kumiliki hadi wanne... Kama uko na mmoja lakini hataki umiliki mwingine unamweka pembeni unamiliki wenziwe wanaotaka kumilikiwa zaidi ya mmoja.... Lakini kwa upande wa mwanamke na natural mwanamke ni mama wa nyumba (sijamaanisha ni mama wa nyumbani) hivyo hawezi kumilikiwa na wawili kwa wakati mmoja lazima ataboronga tu!Usaliti unauma mkuu both sides
Mshaambiwa MSIOEEE hamuelewi....Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.
Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.
Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1855895View attachment 1855896
Ooh!!!Mrombo huyo,wenyewe wanajiita Waseri/Wauseri.
Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.
Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
Hapo zungu akawa anawaza yale mawazo yetu ya kiume aah ex wangu yule kila nikitaka napiga hachomoi na bili analipa[emoji23]Hakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.
Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
sio wote[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] mkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo
Habari ya mjini ni petrol
Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
Mkuu huyu ndiye yupo na Vicky pale njia panda kulia kama unaelekea Msakuzi?Huyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawala tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.