Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Hapo zungu akawa anawaza yale mawazo yetu ya kiume aah ex wangu yule kila nikitaka napiga hachomoi na bili analipa[emoji23]

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Noma sana mkuu reaction ya mwanamke mpumbavu ni disaster!

Alichoma nyumba ndani mna mpangaji kalala na mwanae,nje duka la spare za pikipiki ndani mna jamaa hiyo jana aliingiza pikipiki mpya na mlikuwa na store ya mtu kajaza mzigo wa dagaa vyote vimeteketea Mungu saidia huyu dada mpangaji alitoka salama ila huyu dogo akawa muhanga,mpaka sasa hivi panafuka moshi yote ni mal@ya mmoja kasababisha.
 
Kisasi cha Malaya akipenda ni kibaya sana!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanamke mwenyewe mbaya. Fikiria, hapo kapaka make up, kajipodoa balaa. Na umri upo mbioni.

Bado ni mbaya tu. Je, bila make up yupo vipi?

No doubt, aliona hakuna mwingine atakayemtaka.
Wanaume tumetofautiana pakubwa jinsi ya kuangalia wanawake na kuwathamanisha, mimi ukiniambia ubaya wa sura ya huyo mwanamke siuoni ninamuona mrembo tu sana!

Na ndiyo maana kumbe wanawake huwa hawabaki na hawatoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…