Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Hatari sana Mkuu , ndio maana wakati wa kulala vitu kama visu inatakiwa kufichwa maana hawa wake zetu siku anaweza akaiga tabia za wanawake wa nyeri akamkata abdallah kichwa wazi aka babu Juma.
Tena umenikumbusha kitu kimoja muhimu sana, Mwanaume anatakiwa kulala na bukta bana, kuna ajali na mwizi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Mwana kafa kizembe kinyama, papatu papatu kashindwa kuurukia mlango na miguu miwili nginjaaaaa, baharia amefeli wap?

Hata ukiingia kwenye 18 za Simba huwezi kukubali kufa kizembe lazima ujitete hata kwa kumbinya mbupu zake ili umpe mtihani na yeye sembuse moto

All in rip baharia

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Inasemekana marehem alitiwa visu kwanza
 
Mwana kafa kizembe kinyama, papatu papatu kashindwa kuurukia mlango na miguu miwili nginjaaaaa, baharia amefeli wap?

Hata ukiingia kwenye 18 za Simba huwezi kukubali kufa kizembe lazima ujitete hata kwa kumbinya mbupu zake ili umpe mtihani na yeye sembuse moto

All in rip baharia

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hivi unajua ulichokiandika wee utopolo????
 
Mwana kafa kizembe kinyama, papatu papatu kashindwa kuurukia mlango na miguu miwili nginjaaaaa, baharia amefeli wap?

Hata ukiingia kwenye 18 za Simba huwezi kukubali kufa kizembe lazima ujitete hata kwa kumbinya mbupu zake ili umpe mtihani na yeye sembuse moto

All in rip baharia

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kama nimeelesa vizuri alipewa kwanza bia za bure na mdada, maana yake wakati tukio linafanyika jamaa alikuwa amelewa,isingekuwa rahisi kujitetea!
 
IMG-20210716-WA0239.jpg
 
[emoji23][emoji23] wanawake wa sasa hawataki ujinga, ukisaliti unasalitiwa. Ukizingua wanakuzingua. Wanaume wakae kwa kutulia na wanawake zao, vinginevyo nyuzi za lawama hazitaisha humu jamvini
Wao hawachepuki? Ni upumbavu tu!
 
Back
Top Bottom