Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Vipi wewe haukuwahi kujikoroga?Dogo alijikoroga, Neema Mushi...
Hehehe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi wewe haukuwahi kujikoroga?Dogo alijikoroga, Neema Mushi...
Hehehe.
ina kazi gani?Mkuu kumbe unajua kazi ya ndizi sukari.! Teh teh.
You got it rightMental case huyu sio wa kupeleka jela.. ni psychopath. Tuwape upendo wale tuwapendao unapoumiza hisia za mtu mwenye psychopath traits ndio hiki kinachotokea.
Mpatie upendo yoyote aliyekaribu yako, upendo ndio tiba pekee kwa psychopaths. Ukichunguza maisha ya huyo mdada akiwa udogoni lazima ukute alipitia mateso kwa alokua anaishi nao
Nakufaaaaa neemaa nakufaaaaa nisameeheenakufaaaaaa jamaninsaidieeni kelelezamwisho.alisikika jamaaaaa kumbe neeme ashampitia visuvyamaana gaflanamoshii ukamchanganyakabisaaaHuyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.
Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Najua hyo ndo mutaa yakoHuyufalaaaa kaacha mwanamke nammtoto kakimbilia kamalaya kamejichokea kanatafuta wakumalixa naee uzeeni falaakabisaaaaaaaaaa
kama namwona yulemdada mwenye mtoto anavyochekaaaaaa..alishaonywa Sana
kingine dogoo alipendaa kutunzwa hapochacha nyiewanaume.msotoo kazi mnayoooooooo mtachomwa sanaaa na moto
Watu tunatofautiana maamuziila sio kutoa uhai wa mtu mkuu kushindwa kufikia ndoto na mpenz wako au malengo haikufanyi uue ok tufanye kaua hayo malengo anayatimiza kwa sasa?
Ulimfanya nini huyo mangi sera😂😂Hawa wanawake wakichaga wakorofi sana, Mimi kuna Mmoja nilimuoa akaanza fujo za kikaidi nilichokuja kumfanya mpaka leo hii hataki kusikia ata jina Langu , Nikaoa Manzi ya Kisukuma aise iko poa sana inajielewa kama Mwanamke Maisha yako poa kabisa miaka 10 Bila Migogoro,Sitaki hata mchepuko wa kichaga ku.......mamazao
🤣🤣🤣🤣 HatariiiiiNgoma inogile, ngapi ngapi huko jamani?
Alipigwa pombe nyingi kisha akapewa K apige kama we ni mnywaji utakuwa unaelewa ni raha kiasi gani mtu hupata na usingizi unakuwaga mzito kiasi gani! Hapo ukilala ni mazima kama umelewa vizuri kabisa ni 4-6 hours za usingizi mzito halafu imagine umelala na mtu unayemuamini kwamba anakupenda ni mpenzi wako how can you be sensitive katika mazingira hayo?Kwanza tuachane na yote hayo! nataka kujua huyo bwana mkubwa mpaka anafungiwa ndani moto unawashwa yeye alichomwa ganzi au ilikuaje,yani kabisa kageuzwa barberque anajiangalia kbsa!
Mtenda akitendwa, povu linawatoka hatari.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatariiiii
Mimina petroli tia kibiriti, vuta kiti kunywa zako bia saaafi kabisa.Petrol ndo habare ya mujini
Sasaa je ?Mimina petroli tia kibiriti, vuta kiti kunywa zako bia saaafi kabisa.
Wajinga hawa sijui lini walikuwa wanawake wakagundua usaliti unawauma wao tu!!!Usaliti unauma mkuu both sides
Ha ha wape wape haoWajinga hawa sijui lini walikuwa wanawake wakagundua usaliti unawauma wao tu!!!
Ngoja tuwachome moto labda watastuka wajue nasi tuna mioyo ya nyama kama wao.Ha ha wape wape hao