Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Mental case huyu sio wa kupeleka jela.. ni psychopath. Tuwape upendo wale tuwapendao unapoumiza hisia za mtu mwenye psychopath traits ndio hiki kinachotokea.

Mpatie upendo yoyote aliyekaribu yako, upendo ndio tiba pekee kwa psychopaths. Ukichunguza maisha ya huyo mdada akiwa udogoni lazima ukute alipitia mateso kwa alokua anaishi nao
You got it right
 
Huyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.

Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Nakufaaaaa neemaa nakufaaaaa nisameeheenakufaaaaaa jamaninsaidieeni kelelezamwisho.alisikika jamaaaaa kumbe neeme ashampitia visuvyamaana gaflanamoshii ukamchanganyakabisaaa
 
Huyufalaaaa kaacha mwanamke nammtoto kakimbilia kamalaya kamejichokea kanatafuta wakumalixa naee uzeeni falaakabisaaaaaaaaaa

kama namwona yulemdada mwenye mtoto anavyochekaaaaaa..alishaonywa Sana

kingine dogoo alipendaa kutunzwa hapochacha nyiewanaume.msotoo kazi mnayoooooooo mtachomwa sanaaa na moto
 
Huyufalaaaa kaacha mwanamke nammtoto kakimbilia kamalaya kamejichokea kanatafuta wakumalixa naee uzeeni falaakabisaaaaaaaaaa

kama namwona yulemdada mwenye mtoto anavyochekaaaaaa..alishaonywa Sana

kingine dogoo alipendaa kutunzwa hapochacha nyiewanaume.msotoo kazi mnayoooooooo mtachomwa sanaaa na moto
Najua hyo ndo mutaa yako
Lete vitu Pdidy pdidy
 
Siwatishi

Mnaweza hisi mna bahati kulelewa na wanawake lazima niseme ukweli. Kuna wanawake vyake huli kijinga vina gharama yake. Yaani utavila deki utapiga uch..Utanyonya ole wake ajue unamdhulumu wanakukaaanga kama ndugu yetu zungu

Mimi nasema nawaomba mpambane wanaume pigeni ka zi kulelewa gharama asikwambie mtu kabisa.

Wako wanaolelewa asbh washaamka.Washapiga deki nyumba nzima naongea nawewe unaesoma unalelewa utakula. Ulipopeleka mboga.

Neema kaamkaanga mwenzie. Ushauri mabinti mtuchemshe jaman kukaangana huku hata mungu mnamchosha siku ya ufufuo anawaza anafufua kuni ama mifupa.

Pls angalieni hili.Swala kukangana sio kabisa mkiona hasira sana mtuchemshe si mbaya uhai uendelee tusagie. Hata majiya moto kha

Neema

Neemneema

Oteeeeemaeee lih ngafiraaaampakabasiii
 
Hawa wanawake wakichaga wakorofi sana, Mimi kuna Mmoja nilimuoa akaanza fujo za kikaidi nilichokuja kumfanya mpaka leo hii hataki kusikia ata jina Langu , Nikaoa Manzi ya Kisukuma aise iko poa sana inajielewa kama Mwanamke Maisha yako poa kabisa miaka 10 Bila Migogoro,Sitaki hata mchepuko wa kichaga ku.......mamazao
Ulimfanya nini huyo mangi sera😂😂
 
Kwanza tuachane na yote hayo! nataka kujua huyo bwana mkubwa mpaka anafungiwa ndani moto unawashwa yeye alichomwa ganzi au ilikuaje,yani kabisa kageuzwa barberque anajiangalia kbsa!
Alipigwa pombe nyingi kisha akapewa K apige kama we ni mnywaji utakuwa unaelewa ni raha kiasi gani mtu hupata na usingizi unakuwaga mzito kiasi gani! Hapo ukilala ni mazima kama umelewa vizuri kabisa ni 4-6 hours za usingizi mzito halafu imagine umelala na mtu unayemuamini kwamba anakupenda ni mpenzi wako how can you be sensitive katika mazingira hayo?

Kumbe mwenzio analo analoliwaza moyoni mwake. Ndio maana tunaambiwa moyo wa mtu kichaka. Ina maana ukiwa usingizini mwenzio kaamka anyate anaweza akakuibia hela hata simu ndio malaya hufanyia watu hivi kisha wanatoroka ukiamka alfajiri kukojoa alishakimbia mda mrefu sana.

Sasa huyu Neema yeye aliamka na kumimina petroli chumba kizima na kulipua mzigo kama ujuavyo petroli haicheleweishi hata uwe umelewa pombe gani lazma moto ukuamshe! Mwisho imebaki story kama hivi
 
Wanaume tunadanganywa sana na rangi za kuvutia za wachaga. wengi wana rangi fulani choklate amazing acha waendelee kutunyoosha.
 
Back
Top Bottom