Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Unachosema ni kweli hali ya maisha ni ngumu sana nauli zimepanda sana ninachoweza kushauri tafuta nyumba kulingana na uelekeo wa kazi zako kama haupangi ila kama unapanga basi inabidi uhakikishe na shemeji yetu na yeye achakalike ili mpinguze makali ya maisha. Ni ushauri tu mkuu.
 
Kabisa,

Au mtu anaambiwa kimara kiwanja 8M, na Kibaha kiwanja 3M anakimbilia Kibaha, ila akishahamia Kibaha cost per month za kukaa mbali ni 300k
maisha ya kuajiriwa ni ya muda, ukijenga nje kidogo ya mji raha na faida yake utaiexperience utakapostaafu kazi maana eneo si la kujifinyilia sana. Kukaa nyumba za national housing lingekuwa ni wazo zuri sana kwa wafanyakazi wa town kama zingekuwepo nyingi za kutosha.
 
Unafanya kazi kkoo, unashindwa kwenda kimara ? Malamba mawili humo viwanja kwa 7M unapata ukubwa wa kutosha na hivyo unatumia 1000-1500 kufika job,
Sasa unafanya kazi kkoo halafu unanunua uwanja kibaha ndani ndani huko sehemu ya wew kupanda boda kufika barabaran,

Huu ni uzembe wake, asiilamu serikali
Inategemea wakati anajenga alikuwa anafanyia kazi wapi? Umetoa lawama ya jimla mkuu
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Mtanyooka tu mtake msitake
 
Vichwa flat Wana enjoy na miradi Kila Kona, ujenzi wa bara bara Kila kona ,masoko na nauli ni standard wanapata wapi pesa na miradi yote inajengwa kwa pesa za ndani, kama sio zote zinatoka kwa machogo bring back Chogo country.
 
Unachosema ni kweli hali ya maisha ni ngumu sana nauli zimepanda sana ninachoweza kushauri tafuta nyumba kulingana na uelekeo wa kazi zako kama haupangi ila kama unapanga basi inabidi uhakikishe na shemeji yetu na yeye achakalike ili mpinguze makali ya maisha. Ni ushauri tu mkuu.
Wanawake wanasema sio majukumu yao kutunza familia.
 
Boda boda mpya 1lt inapiga 50Km
Ikishakuwa chakavu inapiga 35-42Km
Ukienda kuibana cableta inapiga 55-60Km

Kwa rate hiyo mtu unaweza kukaa bunju na kufanya kazi kariakoo kwa Lita 1 tu go and return ambayo ni 3200 per lita.

Kwa common sense kutoka bunju had kariakoo huwezi kumkosa abiria hata 1 ambaye ukimuambia akupe buku 5 au buku nne hawezi kukataa.
Sasa ukipiga hesabu umeenda na kichwa kimoja kakupa elfu 4 means kakulipia hela ya mafuta.

Kurudi umepata kichwa kingine kakupa buku 4 means umepata hela ya msosi kazini.

Kwa mantiki hii hautakuwa na kuhangaika na mshahara wako.

Note. Service za boda boda siyo ghali na kubwa kinachotakiwa ni kubadilisha oil kila baada ya week 2 au siku 10. Na hiyo oil ni buku ,8-10

Kwa boda boda ambayo private haiwezi kupata hitilafu.

Bei ya boda boda, polisi unaweza kuuziwa kuanzia laki 5-9.

Za mtaani kuanzia laki 8-2M
Ukienda dukani jipange na 2.6-3.1M

Kupanga ni.kuchagua.
Mzee kituo Gani cha polisi nikanunue boda boda
 
Inaweza kuwakera wengine ila huu ndio ukweli


Haya mabadiliko yote muhanga mkuu ni mwanamke, watatombwa mno huku uswazi ili waweze angalau kujikimu hata kidogo tu. Na namna inavyokwenda, naona kabisa vyumba navyo vikipanda bei na kuna fununu za mafuta kupanda tena mwezi ujao, boda boda na bajaji nao bei zitaruka, hii El nino nayo inazidi kusafisha tu maghala ya vyakula rejea mafuriko ya Mwanza jana, waliokuwa wamehifandhi mpunga na mchele kwenye mashine zilizo ukanda wa mto kenge waulize kilio chake.

Kilosa nako wiki iliyopita, kiliwaka nako, oyaaa! Mambo sio mambo wandugu
 
Inaweza kuwakera wengine ila huu ndio ukweli


Haya mabadiliko yote muhanga mkuu ni mwanamke, watatombwa mno huku uswazi ili waweze angalau kujikimu hata kidogo tu. Na namna inavyokwenda, naona kabisa vyumba navyo vikipanda bei na kuna fununu za mafuta kupanda tena mwezi ujao, boda boda na bajaji nao bei zitaruka, hii El nino nayo inazidi kusafisha tu maghala ya vyakula rejea mafuriko ya Mwanza jana, waliokuwa wamehifandhi mpunga na mchele kwenye mashine zilizo ukanda wa mto kenge waulize kilio chake.

Kilosa nako wiki iliyopita, kiliwaka nako, oyaaa! Mambo sio mambo wandugu
Kuna kaukweli
 
Mishahara ya kibongo ni pasua kichwa.Ndio maana rushwa na wizi(madili) havipungui.
Kuna siku niliiona salary slip ya jamaa yangu,nikamuuliza unaishije?.nikajibiwa Bora yeye Hana mkopo wenye mkopo ndio usiseme.🤣🤣🤣🤣💺
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
2020 mliichagua CCM full suit (Jiwe, mbunge na Diwani)
 
Tupige hesabu za mtu anayetumia gari ndogo tu inayokula wese la kawaida tu, say 1.3L engine. Mtu huyu anaendesha 50km kwenda kazini na kurudi kila siku. Gari inakula walau 1L kwa 10-12km/hr kwa wastani. Huyu mtu anahitaji kila siku kuweka wese angalau 5L x 3150 = 16,000 ≈ 20,000...hapo ameenda na kurudi, hajapata mishe yoyote ya kuongeza km.

Mwanzo tuliona wanaomiliki pikipiki hawajielewi, leo hii naona wao ndio wanafurahia maisha. Nasikia 1L inaweza kutembea hadi 60km sijui kama kuna ukweli hapo.
Siku hzi sisi wenye uchum wa kati tunafunga gas, kwa shiling 17,000 unatembea km 150+
 
Boda boda mpya 1lt inapiga 50Km
Ikishakuwa chakavu inapiga 35-42Km
Ukienda kuibana cableta inapiga 55-60Km

Kwa rate hiyo mtu unaweza kukaa bunju na kufanya kazi kariakoo kwa Lita 1 tu go and return ambayo ni 3200 per lita.

Kwa common sense kutoka bunju had kariakoo huwezi kumkosa abiria hata 1 ambaye ukimuambia akupe buku 5 au buku nne hawezi kukataa.
Sasa ukipiga hesabu umeenda na kichwa kimoja kakupa elfu 4 means kakulipia hela ya mafuta.

Kurudi umepata kichwa kingine kakupa buku 4 means umepata hela ya msosi kazini.

Kwa mantiki hii hautakuwa na kuhangaika na mshahara wako.

Note. Service za boda boda siyo ghali na kubwa kinachotakiwa ni kubadilisha oil kila baada ya week 2 au siku 10. Na hiyo oil ni buku ,8-10

Kwa boda boda ambayo private haiwezi kupata hitilafu.

Bei ya boda boda, polisi unaweza kuuziwa kuanzia laki 5-9.

Za mtaani kuanzia laki 8-2M
Ukienda dukani jipange na 2.6-3.1M

Kupanga ni.kuchagua.
Nilikuta ajal maeneo ya bunju A, bodaboda yuko chini dam zinamwagika utosin asee, ile picha had leo haitok..bodaboda hpana asee simshaur mtu bora apande daladala
 
Hili suala wengi hawazingatii, wewe unalipwa laki tatu halafu unakaa kilomita 45-50 mbali na kazini utakuwa maskini mpaka uzeeni... kaa mbali kama una usafiri wako nje ya hapo unazingua
Kwahiyo kila siku utakuwa unafanya kazi hyohyo mpaka unakufa, jiongeze kijana
 
Back
Top Bottom