ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa vile wameeundikana hapo town kwenye dampo lao Hilo na vimagorofa virefu basi wanaona ni boonge la Mji wakati ni slum tupu.Ni ushamba tu unawasumbua na kukosa exposure lakini dar hakuna lolote la maana.
Wanaujinga mwingi sana! halafu hawataki hata kutembea kidogo hata baadhi ya nchi za Africa tu wanaona dar ni bonge la jiji Africa yote.Kwa vile wameeundikana hapo town kwenye dampo lao Hilo na vimagorofa virefu basi wanaona ni boonge la Mji wakati ni slum tupu.
Huwa nikiangalia picha na video za Miji mbalimbali Africa Dar ni takataka.Wanaujinga mwingi sana! halafu hawataki hata kutembea kidogo hata baadhi ya nchi za Africa tu wanaona dar ni bonge la jiji Africa yote.
Kuna mjinga mmoja hapo amesema koko beach sasa sijui kuna lipi la ajabu pale zaidi ya mihogo na mishikaki.Aende Durban KwaZulu-Natal akaangalie beach zilivo.
Maskini huwa tuna akili za ajabu sana. Yaani tunajimilikisha miji kama vile ni ya kwetu tumeijenga wenyewe. Kuna wenye Dar yenu, kuna wenye Mwanza yao, kuna wenye Arusha yao, na kuna wenye mikoa yao mingine, upuuzi mtupu!Nyinyi watu wa mikoani kuiponda Dar mnajisikia raha ila sisi watu wa Dar tukiiponda mikoa yenu mnasema tunaringa , tunawanyanyapa na mengine mengi tu mnasema
Haya endeleeni kuiponda Dar yetu sisi tumeshazoea
Kuna mwaka nilienda Mbeya nilipofika Airport nikaona ndege zinatua na kupaa katika barabara za tope nilishangaa sana
Mimi nimejaa miaka 3 nilishindwa kuuzoea 🤣🤣Huu mji ukishauzoea kuondoka sio rahisi.
Dar Inabebwa na kukuza na Mali za mkoaniUkisema dar kwamba ni mji unaokuzwa basi walau useme ni mji gani unaizidi hiyo dar kwa hapa nchini
Sasa kwani Mkoani si Kuna Maisha decent kuliko majority ya nyie wa Dar?Humu JF kila mtu anaishi mji mzuri kuliko Dar; aisee!
Nakubaliana na wewe.Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio
Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.
Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta
Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.
Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Wewenhujafika obey, masaki wala mbezi beach then unasema dar pa kawaida..!Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio
Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.
Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta
Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.
Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Nilisahau, ni kweli mpaka wanaume fake fake. Kuishi maisha ya uongo uongo. Malaya kibao dar ndio mastaa, kujifanya wafanyabaishara ,wasanii! Wajuaji ni nyie watu wa dar mnajikutaga mnajua kuliko kila mtu, mna assume mtu akitoka nje ya dar eti ni mshamba, au hajui vitu. Rubbish. Nikienda mahali mnataka muongee nyie , mjulikane nyie, mnapenda sifa za kishamba. Tunawadharau sana. Arrogant pieces of crap.Ujuaji Ukizidi Shida
Kwahiyo Mji Unahusishwa na Wanawake fake?
Mimi jwetu Dar, sijakuelewa hoja yako haswa ni nini? Umechanganya mambo chungu nzima.Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio
Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.
Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta
Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.
Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Kwani kuna maajabu gani? Tunapajua sana tu, kwanini usiseme ,kivule, Tandale, Buguruni Mbagala , Vingunguti n.k! Population kubwa ya dar haiishi huko unapotaja. Dar is trash. Poorly planned , hectic for no reason. Just a trash city. Na ndio maana kwenye majiji duniani wala halieshimiki sababu halina hadhi, ata International TV weather broadcast tu hawaiwekagi.🤣Wewenhujafika obey, masaki wala mbezi beach then unasema dar pa kawaida..!
Aya baki hukohuko kwenye mashamba ya mihogo...
Weee mwehu! Uwezi kuilinganisha Dar na Lilongwe! Nimekaa Malawi naufahamu!Dar ni Jiji Kwa kulinganisha na Mbeya,Mwanza,Dodoma na Miji ya hivyo.
Dar is overrated,hapa ni Lilongwe-Malawi angalia miundombinu Bora View attachment 2834292View attachment 2834293View attachment 2834294
Hiki ni kijiji! Mleta mada hazimtoshi!Dar ni Jiji Kwa kulinganisha na Mbeya,Mwanza,Dodoma na Miji ya hivyo.
Dar is overrated,hapa ni Lilongwe-Malawi angalia miundombinu Bora View attachment 2834292View attachment 2834293View attachment 2834294
Lazima upelekeshwe moto ki Bibi na Dadi wanavyopelekea mimoto HAMAS huko GAZAdar kama hauna hela ...lazma upelwekewe motoo kipalestinaa...simba la masimbaa...kikomandoo
View attachment 2834248
Onyesha Barabara kama hizo za Lilongwe hapo Dar is slumWeee mwehu! Uwezi kuilinganisha Dar na Lilongwe! Nimekaa Malawi naufahamu!
Huyo jamaa ni chizii, labda kama bado hujamjua!!Sasa mkuu nawewe mbona hapo sioni cha tofauti 🤣🤣
Mimi mwenyewe nashangaa hakuna cha ajabu chochote.Kwani kuna maajabu gani? Tunapajua sana tu, kwanini usiseme ,kivule, Tandale, Buguruni Mbagala , Vingunguti n.k! Population kubwa ya dar haiishi huko unapotaja. Dar is trash. Poorly planned , hectic for no reason. Just a trash city. Na ndio maana kwenye majiji duniani wala halieshimiki sababu halina hadhi, ata International TV weather broadcast tu hawaiwekagi.[emoji1787]