Dar es Salaam ni mji wa kawaida ila unakuzwa sana

UNADHARAU Dar wakati hadi Mboga mnazolima huko mikoani mnategemea kuja kuuza Dar?
 
Ni yangu Mimi au ndio uhalisia wake? Huoni hata matokeo ya sensa lugha yanayoongea?

Hiyo Dar itakuwa Jiji kubwa Kwa watu wengi ila sio Kwa ubora wa Maisha na mambo kama hayo.

Moja ya Miji Bora ya kuishi ijayo ni Dodoma.
Unapozungumzia ubora wa Maisha unakuwa unawaza vitu kama vipi?
 
Wewe kweli ni chizi

Dodoma huko kwenye ukame na vumbi nikaishi mimi? Hata unipe nyumba ya BURE kabisa siwezi kuishi Dodoma hata kama nimeajiriwa na serikali nikalazimishwa niende Dodoma ni bora niache kazi
Dodoma ipi yenye ukame? 😂😂😂😂

Nani akupe nyumba ya Bure acha kuota wewe.

Dodoma ni Mji wenye Kasi kubwa ya Ongezeko la watu Kwa Sasa Kwa sababu inazidi kufanyiwa maboresho kimiundombini.
 
Dodoma ipi yenye ukame? 😂😂😂😂

Nani akupe nyumba ya Bure acha kuota wewe.

Dodoma ni Mji wenye Kasi kubwa ya Ongezeko la watu Kwa Sasa Kwa sababu inazidi kufanyiwa maboresho kimiundombini.
Endelea kufanya maboresho hiyo miundombinu yako
 
Sasa na mbeya ni Jiji la namna gani?
 
Kwaiyo nyie wa mikoani ndo mnaexposure?
 
Vibanda vya mama lishe, Tigo pesa n vijiwe vya boda ndio sifa za majiji makubwa, Nairobi kuna Kibera na Eastleigh, kuna Gashie na Athi river, kuna wenye kipato kikubwa sana huko Highland, Westgate na Karura.
Ushamba wako umekuja kutoka Kigoma na Adventure, umeshukia kwa shemeji yako Kigogo sambusa ukafika kariakoo na posta na coco beach maana WAHA hamuwezi kuja Dar bila kuwasalimu ndugu zenu wanao uza madafu kule then ukajihisi umeimaliza Dar, bado sana hata huijui kabisa.
 
Dar inachangia pato la Taifa karibu kwa asilimia 80, wakazi wa Dar wanakaribia milion sita - soko kubwa. Vingine ni safa hasi za majiji, kama majiji mengine ulimwenguni, ingawaje kwenye nchi zinazoendelea hasi ni kubwa zaidi.
 
"Leka amatingo angukukoma"
 
Dar inachangia pato la Taifa karibu kwa asilimia 80, wakazi wa Dar wanakaribia milion sita - soko kubwa. Vingine ni safa hasi za majiji, kama majiji mengine ulimwenguni, ingawaje kwenye nchi zinazoendelea hasi ni kubwa zaidi.
Kwa macho yangu watu zaidi ya milioni 10 wapo Dar

Hii milioni 6 ni siasa za serikali

Huyo kafikia mbagala anadai tayari kaifahamu Dar!
 
Dar watu wana ishi kama kuku sio kwenye apartments za gorofwni wala wa uswahili .wenye furaha ni wachache sana na wanawake wa Dar ni omba omba hatari
 
Dar watu wana ishi kama kuku sio kwenye apartments za gorofwni wala wa uswahili .wenye furaha ni wachache sana na wanawake wa Dar ni omba omba hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…