CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Sawa team mwendazake.Ha ha ha ulidhani mama ni mwenzetu TEAM POPO?!!
Karibu chupa ya kahawa....🤣🤣
Hiyo kahawa unainywaje kwenye chupa?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa team mwendazake.Ha ha ha ulidhani mama ni mwenzetu TEAM POPO?!!
Karibu chupa ya kahawa....🤣🤣
Ooohooo mpiga nzumari wa "hamelini"....naona unademkia tu RAMLI zisizopo.....Samia ni Magufuli wa kike.Muda siyo mrefu ataanza kutumia damu za watu kama mafuta/fuel ya kuendeshea serikali kama mtangulizi wake.Muda siyo mrefu ataanza kuishi kwa kula nyama za watu kama mtangulizi wake.
Nilisema sana hapa kuwa she is inept leader kwa sababu ana laana za mtangulizi wake nikawa nabezwa.
Ha ha haSawa team mwendazake.
Hiyo kahawa unainywaje kwenye chupa?.
Mungu ibariki CHADEMAHii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .
Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .
Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .
View attachment 1838235
UPDATES
============
Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki
View attachment 1838305
"Unlike the Brain stomach Will alert you when is empty"Wazee wa SIASA za matukio tena....
Kuna wakati mnawalaumu tu POLISI....
Kuna kitu leo nishee hapa....
Hivi mnajua kuwa KUIJENGA NCHI NA KUISIMAMISHA NI KAZI SANA ZAIDI YA KUIBOMOA?!!!
Nchi inasimamiwa na Serikali iliyoko madarakani....
Na Serikali yoyote ile duniani Ni lazima IOGOPE machafuko/mapinduzi kwa FAIDA YA NCHI ,watu wake na VIONGOZI WA HIYO SERIKALI....
Sasa huwa tunawalaumu sana Polisi wa hizi nchi zetu za Afrika wakati mwingine KIHISIA TU.....
Hebu tufikiri hivi.....
Ni juzi tu mh.Mbowe AMENG'AKA MNO.....aliyoyaongea jukwaani ni "alarming point" kwa SERIKALI yoyote hata ingekuwa ni ya CHADEMA....
Baada ya "kung'aka kwake" yakafuata matamko ndani na nje ya nchi....haswa kutoka kwa mh.Tundu Lissu kuwa ,kuhusu KATIBA MPYA ni lazima ipatikane kwa HERI AMA KWA SHARI ....so put yourself in that position....would you let things going without putting your nose on it?!!!
TUTAFAKARI JAMA.....
POLISI WAKO SAHIHI NANYI BAWACHA....2 months ago ,BAWACHA from LAKE ZONE wanted to demonstrate in Dodoma against Speaker's decision on "Covid-19 members of parliament's" before cancelling their gathering following Police's ban.....
Jamani jama ,NCHI HA ZIENDESHWI KILIBERALI eti tu kwa kuwa Kuna UHURU WA VYAMA VYA UPINZANI...UHURU WA KUKUSANYIKA.....
#KaziIendelee
Nchi inajengwa toka 1961 what a joke CCM hamtaleta maendeleo Tanzania sababu hamna watu smart kichwani kuongoza wote ni madebe kutikaRBC najua uko kazini hapo UFIPA....
Unaweza kumlaumu MAMA vile upendavyo....ila hata ingekuwa ni wewe....kwa hizi nchi zetu za kiafrika....ungepachikwa majina tu....
Eswatini kumeshawaka though it's not the same case as ours.....
KUBOMOA NCHI NI KAZI NDOGO TU KULIKO KUIJENGA
"unlike the brain the stomach will alert you when is empty"Bawacha wameona mbali.. hawakutaka yawakute yaliyomkuta Mdude. Fikiria ukamatwe leo ijumaa ukalale selo mpaka j3, huku mke wa Mbowe akilala kwake na mume wake bila bughuza yoyote. Ni bora wamejiongeza kwa kukataa kutumiwa kama daraja la mwenyekiti na makamu wake.
CCM mnapenda mipasho na kuua wapinzaniTatizo lenu mnapenda sana siasa za MAPAMBANO "tug of war" na vitisho [emoji1787][emoji1787]
Sasa mh.Rais amlilie nani ?!!
Ndivyo mlivyofundishwa katika KOZI ZENU zinazoandaliwa na CDU kule Ujerumani ?!!! [emoji1787]
Karibu kahawa mkuu wangu....Nchi inajengwa toka 1961 what a joke CCM hamtaleta maendeleo Tanzania sababu hamna watu smart kichwani kuongoza wote ni madebe kutika
Mkuu mdomo jumba la maneno....CCM mnapenda mipasho na kuua wapinzani
Hakuna watu smart labda wale waliokuwa makapi CDMKaribu kahawa mkuu wangu....
Yaani CCM iko watu smart?!!! Hauko serious mkuu....[emoji1787][emoji1787]
CCM hata mvuto tu hainaMkuu mdomo jumba la maneno....
Hata Mbowe anapenda MIPASHO....
Juzi alidemkia mipasho ya KIJAZBA pale mkutanoni......
#KaziInaendelea
Mkuu unawajuaje mashoga ikiwa vitendo vyao huwa SIRINI ?!! 🤣Hakuna watu smart labda wale waliokuwa makapi CDM
Otherwise CCM tena balaza lenu la vijana limejaa vijana wenye temaa mashoga kibao
🤣🤣Endelea "kuudemkia mdomo wako" mkuuCCM hata mvuto tu haina
Kurlzawa wewe Wala sikushangai kutukana wengine.....Uza tu mkuu
Kumbe unanijua shukraniKurlzawa wewe Wala sikushangai kutukana wengine.....
Domo Mali yako mkuu ....
#KaziInaendeleaKwaKasiYaAjabu
#SSHKipenziChaWatanzania
#VivaCCM
What exactly is this? Is it a dinner, or a picnic, funeral, or what? We are used to (happy) weddings in an hotel or (sad and slen) funerals, where food comes somewhere in the day's agenda. Weddings are by invitation only, with a known bride and groom. Burials are solemn events and, in African culture, MUST be attended by all neighbours. Even passers by including g strangers are expected to stop and pay homage to the deceased before moving on.Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .
Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .
Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .
View attachment 1838235
UPDATES
============
Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki
View attachment 1838305