Shida hautaki nije niku toe hapo, uhamie kwetuπππ€£π€£π€£Ndo maana mi nipo zangu home
Siondoki
Mm naamini vijana wengi wanaotoka nyumbani kwao ni kutokana na kadhia za wazaz na wengine wanataka uhuru wa kuwa na mademu zao..Mm naamini kitu kimoja! Hakuna mzazi anaependa kumuona mtoto wake anapata tabu kama eneo la kuishi linakuwepo! Ila kinachofanyika ni kwamba ww kama mtoto unatakiwa ujipange kuanzia hapo, tafuta kazi ya maana ata ambayo inakuingizia elfu 5 kwa siku..mm naamini as long as huna gharama ya kulipa kodi kwa mwezi..hakikisha unajipanga vzr sana.ili ukitoka apo kwa wazaz unanyumba yako nzuri tuHabari zenu,
Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.
Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.
Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k
Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.
Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.
USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.
NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.
Written by Mjanja M1.
Halafu MAZA anasema hatutaki kuoaHabari zenu,
Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.
Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.
Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k
Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.
Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.
USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.
NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.
Written by Mjanja M1.
Pia dar hakuna viwanja vya bure kama mikoni huko,Dar hakuna tofali za kuchoma..
Hakuna nyumba za tope..
Kwahiyo tuache kidogo
we ndio mshamba wapo kibao wanaotoka dar na kuja mikoani..tena ni matajiri ref;Hamza msomali alitoka dar akaenda chimba madini chunya.....nenda mashambani iringa na mbea igunga kwenye mpunga wapo wengi wasomi wanatoka na kuja kuzifuata fursa mikoani...wajinga jinga na maskini ndio wanakomaa hapo na kuishi kisanii...Kweli ndivyo ilivyo, ila hii inachangiwa na kitu kimoja....
Vijana wa mikoani wamezoea hustle na kuna umri ukifika wao husema wanaenda kutafuta maisha hivyo huamia mikoa na kujikuta wanaondoka nyumbani rasmi, Kwa Dar iko tofauti unatokaje Dar unaenda kutafuta maisha mkoani?
Ahya poa.we ndio mshamba wapo kibao wanaotoka dar na kuja mikoani..tena ni matajiri ref;Hamza msomali alitoka dar akaenda chimba madini chunya.....nenda mashambani iringa na mbea igunga kwenye mpunga wapo wengi wasomi wanatoka na kuja kuzifuata fursa mikoani...wajinga jinga na maskini ndio wanakomaa hapo na kuishi kisanii...
unaishi kwenu na mume wako?Ila mkuu sio kila anaekaa kwa wazazi basi amekata tamaa ya kuwa na makazi binafsi ama ameshindwa fanya hilo.
Mimi ni mmoja wa vijana ninaoishi kwetu na ni mke pia ila mtoto bado.
Ila najimudu na kuisaidia familia yangu.
Familia zingine zina tamaduni tu ya kuishi pamoja haswa familia ikiwa na wanafamilia wachache.
Mpaka sasa wazee hawaridhii mimi kuenda kuishi pekeangu.
Wewe tulia hapo hadi tuje kukutoa na matarumbeta.Mi nakula ugali wa shikamoo tu home hapa
Hao wachumba wenyewe siwaoniπ€£
Mi sio binti ni shangazi according to Wana jfππ
Kweli 'time will tell'Kuna wengine ambao Wazazi ndio hawapendi tukajitegemee hadi tutakapopata ndoa [emoji3064][emoji3064]
Ni mkoa gani wanagawa viwanja bure ndugu? Naku hakikishia hakuna mkoa wenye viwanja Bei rahisi Kama darPia dar hakuna viwanja vya bure kama mikoni huko,
Kazi ganiVijana wengi ni wavivu hawataki kufanya kazi na serikali pia inazidisha hiyo mikodi Dadadekii haimsaidii mjarasilia mali ina mkomoa yaani watu wamekuwa na chuki sana na serkali yao .
Aiseee, seems you were eagerly waiting for that time, ungekuwa unakutana na posts zangu kuhusu Mimi usingeandika hivi [emoji4][emoji4]Kweli 'time will tell'
πππππ Bro mimi kidume bhana nimeoa naishi na mkewangu.unaishi kwenu na mume wako?
Kukaa Bure huwezi pata akiliMm naamini vijana wengi wanaotoka nyumbani kwao ni kutokana na kadhia za wazaz na wengine wanataka uhuru wa kuwa na mademu zao..Mm naamini kitu kimoja! Hakuna mzazi anaependa kumuona mtoto wake anapata tabu kama eneo la kuishi linakuwepo! Ila kinachofanyika ni kwamba ww kama mtoto unatakiwa ujipange kuanzia hapo, tafuta kazi ya maana ata ambayo inakuingizia elfu 5 kwa siku..mm naamini as long as huna gharama ya kulipa kodi kwa mwezi..hakikisha unajipanga vzr sana.ili ukitoka apo kwa wazaz unanyumba yako nzuri tu
Kwa kijana wa kike kama ramani hazijasoma vizuri, hakuna ubaya wowote wa yeye kuwa nyumbani hata kama atakuwa na 30+ years.ila hiyo ya kuzalia nyumbani duh
kwa kijana wa kike kukaa nyumbani akiwa kwenye 30s huko ni vibaya?
Unajua bro inategemea unajiwekaje hapo nyumbani.Kwa kijana wa kike kama ramani hazijasoma vizuri, hakuna ubaya wowote wa yeye kuwa nyumbani hata kama atakuwa na 30+ years.
Ikiwa life sio zuri sana nyumbani anaweza akajipambania akiwa anatokea nyumbani, badala ya kujifanya shupavu kujitegemea kwa njia za udangaji.