Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

Tatizo nililoliona mimi vijana wengi wa dar wanasumbuliwa na uoga uliopitiliza anajua akienda kupanga ipo siku kodi itamshinda, mimi mwenyewe nilikuwa naishi home ila nilithubutu kwenda mbali na nyumbani ila ni maeneo ya hapo hapo dar nilikuwa sichagui kazi maisha yalienda flesh tu.
 
Habari zenu,

Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.

Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.

Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k

Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.

Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.

USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.

NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.

Written by Mjanja M1.
Mm naamini vijana wengi wanaotoka nyumbani kwao ni kutokana na kadhia za wazaz na wengine wanataka uhuru wa kuwa na mademu zao..Mm naamini kitu kimoja! Hakuna mzazi anaependa kumuona mtoto wake anapata tabu kama eneo la kuishi linakuwepo! Ila kinachofanyika ni kwamba ww kama mtoto unatakiwa ujipange kuanzia hapo, tafuta kazi ya maana ata ambayo inakuingizia elfu 5 kwa siku..mm naamini as long as huna gharama ya kulipa kodi kwa mwezi..hakikisha unajipanga vzr sana.ili ukitoka apo kwa wazaz unanyumba yako nzuri tu
 
Habari zenu,

Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.

Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.

Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k

Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.

Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.

USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.

NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.

Written by Mjanja M1.
Halafu MAZA anasema hatutaki kuoa
 
Kweli ndivyo ilivyo, ila hii inachangiwa na kitu kimoja....
Vijana wa mikoani wamezoea hustle na kuna umri ukifika wao husema wanaenda kutafuta maisha hivyo huamia mikoa na kujikuta wanaondoka nyumbani rasmi, Kwa Dar iko tofauti unatokaje Dar unaenda kutafuta maisha mkoani?
we ndio mshamba wapo kibao wanaotoka dar na kuja mikoani..tena ni matajiri ref;Hamza msomali alitoka dar akaenda chimba madini chunya.....nenda mashambani iringa na mbea igunga kwenye mpunga wapo wengi wasomi wanatoka na kuja kuzifuata fursa mikoani...wajinga jinga na maskini ndio wanakomaa hapo na kuishi kisanii...
 
we ndio mshamba wapo kibao wanaotoka dar na kuja mikoani..tena ni matajiri ref;Hamza msomali alitoka dar akaenda chimba madini chunya.....nenda mashambani iringa na mbea igunga kwenye mpunga wapo wengi wasomi wanatoka na kuja kuzifuata fursa mikoani...wajinga jinga na maskini ndio wanakomaa hapo na kuishi kisanii...
Ahya poa.
 
Ila mkuu sio kila anaekaa kwa wazazi basi amekata tamaa ya kuwa na makazi binafsi ama ameshindwa fanya hilo.
Mimi ni mmoja wa vijana ninaoishi kwetu na ni mke pia ila mtoto bado.
Ila najimudu na kuisaidia familia yangu.
Familia zingine zina tamaduni tu ya kuishi pamoja haswa familia ikiwa na wanafamilia wachache.
Mpaka sasa wazee hawaridhii mimi kuenda kuishi pekeangu.
unaishi kwenu na mume wako?
 
Mm naamini vijana wengi wanaotoka nyumbani kwao ni kutokana na kadhia za wazaz na wengine wanataka uhuru wa kuwa na mademu zao..Mm naamini kitu kimoja! Hakuna mzazi anaependa kumuona mtoto wake anapata tabu kama eneo la kuishi linakuwepo! Ila kinachofanyika ni kwamba ww kama mtoto unatakiwa ujipange kuanzia hapo, tafuta kazi ya maana ata ambayo inakuingizia elfu 5 kwa siku..mm naamini as long as huna gharama ya kulipa kodi kwa mwezi..hakikisha unajipanga vzr sana.ili ukitoka apo kwa wazaz unanyumba yako nzuri tu
Kukaa Bure huwezi pata akili
 
ila hiyo ya kuzalia nyumbani duh

kwa kijana wa kike kukaa nyumbani akiwa kwenye 30s huko ni vibaya?
Kwa kijana wa kike kama ramani hazijasoma vizuri, hakuna ubaya wowote wa yeye kuwa nyumbani hata kama atakuwa na 30+ years.

Ikiwa life sio zuri sana nyumbani anaweza akajipambania akiwa anatokea nyumbani, badala ya kujifanya shupavu kujitegemea kwa njia za udangaji.
 
Kwa kijana wa kike kama ramani hazijasoma vizuri, hakuna ubaya wowote wa yeye kuwa nyumbani hata kama atakuwa na 30+ years.

Ikiwa life sio zuri sana nyumbani anaweza akajipambania akiwa anatokea nyumbani, badala ya kujifanya shupavu kujitegemea kwa njia za udangaji.
Unajua bro inategemea unajiwekaje hapo nyumbani.
Ukiwa kijana wa hovyo,dira hauna,direction ya maisha hauna hata mawazo chanya ya kimaisha hauna pia hata kupambana haupambani wazee wakifungua mlango wanaweza ona beberu kalala kitandani kumbe kijana wao Moses.
Ila ukiwa una malengo yako na unayatimiza na pia unai handle familia pale inapohitajika kwa familia zetu hizi waonekana mtu wa umuhimu ni ngumu wao kukuruhusu utoke home.
Mimi mpaka naoa nimeoa niko nyumbani.
 
Back
Top Bottom