Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... Nabii huyo amesema ili Dar isiangamizwe watu wafanyeje?Kuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Kikubwa kipindi cha mvua uje kwangu itakua sehemu salama zaidi kwakoπDaah kwahiyo inabidi nianze kujifunzia mtoni sio?
... alikuwa ameishaandaa mpunga wa kununua nyumba kadhaa kwa bei fololo!Yule nabii alisema tuuze nyumba.
Sasa tuko Dar tuuze nyumba kukimbia maafa tuwauzie MBUZI?
Kati ya kuuza nyumba na kuomba kuzuia kipi ni rahisi?
Nitashukuru sana jamaniNkulete boya
Ova
He he he he he naijui iyoooππKikubwa kipindi cha mvua uje kwangu itakua sehemu salama zaidi kwakoπ
Atakua na PhD ya kutokua na ufahamu.Uko wapi?
Saa hizi siyo usiku, tazama saa yako.
Nitakulinda rafiki...in addition takuonesha mambo makuu usiyoyajuaπHe he he he he naijui iyoooππ
Hii mvua hata usipokuwa bondeni maji yanaweza kuingia ndani. Ni hatariWale wa mabondeni mkawaokoe
Aweeeeeee, hiyo naijua.Nitakulinda rafiki...in addition takuonesha mambo makuu usiyoyajuaπ
Namkumbuka alisema watu wahame kabla ya AprilKuna nabii alitabiri, Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu, itafunikwa na maji, kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho. Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu. Ila walio wengi waliposikia unabii huo, walimdhihaki mtoa unabii.
Biblia inasema "msiutweze unabii, bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
We nitag tu location nakuja na chopper ya jeshi watoto wazuri hawapaswi kutesekaAweeeeeee, hiyo naijua.
Ila mvua zikiendelea hivi, kuliko nikafa maji bora tu nijeππ
Location nimekutumia PM, fanya uje uni rescue ππWe nitag tu location nakuja na chopper ya jeshi watoto wazuri hawapaswi kuteseka
Mkuu, samahani lakini, mtu anaamua mwenyewe kununua shamba la mpunga na kulibadilisha matumizi, akijenga mjengo wa mamilioni ya shillings halafu mvua zinaponyesha kama leo, maji yakafuata mkondo wake na kumuathiri....Raia waliojenga mabondeni wamezungukwa ma maji. Serikali inaombwa ipeleke helikopta kuwanasua.
KeJinsia yako tafadhali