Kama chanzo cha moto kwenye masoko mengi wote tunajua ni either uzembe wa wapishi ndani ya soko kuzima moto,kuunganisha umeme kihuni, uvutaji sigara na bangi ndani ya soko
Jinsi ya kuzuia
Jenga masoko high standard ili hizi kero zisiwepo ila ubaya hakuna ataekubali sasa
Mbagala rangi tatu, naskia mkuu wa wilaya kaenda kusema na wauza kuku.. Soko limeungua katikati tu maduka nje hayaguswa na motoNi soko la Mbagala au soko la Zakhiem? Fafanua vizuri.
wanatafuta ushahidi ngoja waunganishe dot.. Utambiwa alishatengenezaga crew, mbn hii season haiishi kwa kweliYule Gaidi mchoma masoko yupo ndani na timu yake sasa Nani anapiga hii shoo
Soko la kariakoo mbona lilikua standard kuliko soko lolote hata Tz lakini bado liliungua?Kama chanzo cha moto kwenye masoko mengi wote tunajua ni either uzembe wa wapishi ndani ya soko kuzima moto,kuunganisha umeme kihuni, uvutaji sigara na bangi ndani ya soko
Jinsi ya kuzuia
Jenga masoko high standard ili hizi kero zisiwepo ila ubaya hakuna ataekubali sasa
Soko la Rangitatu jimbo la Mbagala lawako moto usiku huu wa kuamkia leo.
View attachment 2117914View attachment 2117915View attachment 2117917
View attachment 2117944
Kariakoo ilijengwa vibaya?Yaungue tuu Ili wayajenge vizuri.
Maza kapewa masharti na mganga nini?Soko la Rangitatu jimbo la Mbagala lawako moto usiku huu wa kuamkia leo.
View attachment 2117914View attachment 2117915View attachment 2117917
View attachment 2117944
Ndio mkuu Sasa utafanyaje?Na wewe ukalichukua km lilivyo....
Kigogo ni makambaJr .lazima asema hayoNilipita huko Twitter nikaona kigogo kaandika Cdm yaani Pambalu na wenzake ndo "wanachoma" masoko.!
Anyway pole kwa wafanyabiashara wote!
Nimecheka...na huu ndio ukweli wenyeweInavyo onekna kuchoma ndio njia rahisi kwao ili kujenga soko upya.
Mana ukienda kwnye soko la karume ssa hiv njia za kupita wa2 na mizigo zimekuwa kubw na mm ndo nilicho kiona kipyaNimecheka...na huu ndio ukweli wenyewe
mkuu , la Karume washajenga ?Mana ukienda kwnye soko la karume ssa hiv njia za kupita wa2 na mizigo zimekuwa kubw na mm ndo nilicho kiona kipya
Ilizidiwa na mlikuwa hamtaki kuondokaKariakoo ilijengwa vibaya?