Dar: Soko la Mbagala laungua moto

Dar: Soko la Mbagala laungua moto

Kama chanzo cha moto kwenye masoko mengi wote tunajua ni either uzembe wa wapishi ndani ya soko kuzima moto,kuunganisha umeme kihuni, uvutaji sigara na bangi ndani ya soko
Jinsi ya kuzuia
Jenga masoko high standard ili hizi kero zisiwepo ila ubaya hakuna ataekubali sasa

Hahaha. Kuwa haya yoote yameanza hivi karibuni tu? Miaka ya nyuma hayakuwepo? Na yatokee kwa kufuatana, ndani ya mkoa mmoja, majiji mengine hakuna masoko?
Kuna wakati watu wenye akili hufanyiwa vitu vyenye kudharau akili zao.
 
Kipindi Cha nyuma ziliungua shule za kiislam tu, sahiv yanaungua masoko tu
Nafikiri huu ni Makakati Fulani haiwezi ikawa ni ajali za kawaida
 
Yule Gaidi mchoma masoko yupo ndani na timu yake sasa Nani anapiga hii shoo
wanatafuta ushahidi ngoja waunganishe dot.. Utambiwa alishatengenezaga crew, mbn hii season haiishi kwa kweli
 
Kama chanzo cha moto kwenye masoko mengi wote tunajua ni either uzembe wa wapishi ndani ya soko kuzima moto,kuunganisha umeme kihuni, uvutaji sigara na bangi ndani ya soko
Jinsi ya kuzuia
Jenga masoko high standard ili hizi kero zisiwepo ila ubaya hakuna ataekubali sasa
Soko la kariakoo mbona lilikua standard kuliko soko lolote hata Tz lakini bado liliungua?
 
Soko la Rangitatu jimbo la Mbagala lawako moto usiku huu wa kuamkia leo.
View attachment 2117914View attachment 2117915View attachment 2117917
View attachment 2117944

CDDB49E9-025E-4B7F-A85B-ED9A0B8218D3.jpeg


D321B132-ED1E-4E01-BF04-2EFF2B7EBD06.jpeg


7C95CAAA-108A-47B5-A50B-408FB8FB99B0.jpeg


A2F0F3D3-AD74-4866-978F-A44E37FCB671.jpeg
 
Back
Top Bottom