DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

Hizi basi mpya zinaanza kazi lini? Abiria wanateseka mabasi machache! Tusubirie hadi lini?????
 
kwa nn hamuanzishi safari za kariakoo Mbagala ilhali wananchi wa maeneo hayo wanateseka kama sio Watanzania?
Jaribuni kufika kwenye vituo vya daladala za njia ya kilwa road jioni muone kina mama na Wanafunzi wanavyoteseka kama sio watanzania hakika ni kilio cha usafiri

Mtu anaanzakutembea kwa miguu mpaka Mivinjeni au Ufundi ndo apate gari la kuzunguka me kina mama na watoto wadogo wanaweza hayo?

Ni ukweli Dart ni kama mnaona wananchi wa kusini/kilwa road sio kipaumbele chenu na hawana mtu wa kuwatetea kwamba waowalishazoea shida zao
Kama ni magari tangu mmesema mmepata muwekezaji tunaona mwaka sasa unakatika
TUMECHOKA TUMECHOKA TUMECHOKA
 
Kile kipande Cha kigogo Sambusa Hadi pale round about Mbuyuni kitajengwa lini maana miaka inakatika hakuna kinachoendelea
 
1. Gari chache sana saaaana mnakera. Sijui mnazipark vituoni au?

2. Kuna madereva wanajiona Miungu watu wanapita na "Out of Service" yaani.

3. Vingine mnajitahidi. Hope mtaboreka zaidi.
kwanza, pelekeni watu wakajifunze nchi za ulaya namna ya kuendesha hayo mabasi, pia muagize mabasi bora sio hayo ya kichina yanayokufa mapema. ongezeni mabasi, watu wanajazana hadi wanataka kufa kwa uchache wa mabasi na wanakaa sana vituoni. mkishindwa, mpeni mzungu aendeshe, mwarabu hawezi.
 
View attachment 2625074
DART Tumeanzisha ukurasa huu rasmi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kwa lengo la kupata maoni, ushauri , mrejesho na hata malalamiko yanayohusu huduma zetu. Aidha tunawahakikishia watumiaji wa huduma zetu kuwa maoni, ushauri, malalamiko, Pamoja na hoja zenu juu ya huduma zetu yatafanyiwa kazi kwa uharaka na hatua stahiki zitachukuliwa ili kuboresha huduma.

Kwa kupata msaada wa haraka kuhusu huduma zetu unaweza kutupigia simu 0800110147 ni bure. Kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa tano na nusu usiku

Pia unaweza kutufuatilia katika tovuti ya www.dart.go.tz na mitandao yetu ya kijamii ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka ya FACEBOOK, INSTAGRAM, (X)TWITTER, LINKEDIN, YOUTUBE.

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka

Anuani
S.L.P 724, 16103
Ubungo Maji, Morogoro Road
Dar es Salaam, Tanzania

Barua pepe: info@dart.go.tz.

#usafiri wa umma nadhifu

#mwendokasi app
mnaibiwa sana, lakini kwasababu viongozi wa dart wanakula na hao vijana, ndio maana mpo kimya. mkitaka kuweza, kwanza ajirini hao askari wa JKT milangoni wawe wakagua ticket, pili, wekeni ticket za kielectronic za card, mtu anunue hata ya mwezi ila anaigusisha kwenye mashine ya mlangoni pale kama mamtoni ndio anaingia kama ina salio, mkifanya hivyo, mtakusanya salio refu sana, kwa siku au kwa mwezi na mtapata pesa nzuri ya kununua mabasi bora na mengi. mradi wenu ni mzuri ila mnashindwa kuuendesha kwasababu ya ushamba, hamtaki kujifunza kwa waliowatangulia.
 
Asante kwa kuja.
Ni lini hayo mabasi mtayapeleka Mwanza pia ili wananchi wapate huduma ya usafiri..??
Sababu jiji la Mwanza limekua na tayari limechangamka na mkituletea hizo Bus zikaanzia route ya Kisesa, Igoma, Neshno, Buzuruga, Mabatini, Nata, Pepsi, Mkuyuni, Nyegezi, Buhongwa, Nyashishi hadi Usagara and Return.
Jamani yalipoanzia tu hayajatosha,sasa wewe mwanza tene?
 
Hakuna ase
mnaibiwa sana, lakini kwasababu viongozi wa dart wanakula na hao vijana, ndio maana mpo kimya. mkitaka kuweza, kwanza ajirini hao askari wa JKT milangoni wawe wakagua ticket, pili, wekeni ticket za kielectronic za card, mtu anunue hata ya mwezi ila anaigusisha kwenye mashine ya mlangoni pale kama mamtoni ndio anaingia kama ina salio, mkifanya hivyo, mtakusanya salio refu sana, kwa siku au kwa mwezi na mtapata pesa nzuri ya kununua mabasi bora na mengi. mradi wenu ni mzuri ila mnashindwa kuuendesha kwasababu ya ushamba, hamtaki kujifunza kwa waliowatangulia.
Hakuna asependa ela ni waweke mfumo usiowezs iba kirahis
 
Angalieni uwezekano wa kubeba abiria wa SGR trains kila inapoingia Dar, pale station kuu. Kumekuwa na shida namna ya kutoka pale
 
KWELI hii kazi mmezidiwa ila hamkati tamaa gari kituo cha Kariakoo B kusubiri zaidi ya dk 30 bado mlango mmoja wa kikatia tiketi umefungwa wakati ndicho kituo chenye population kubwa?
Mungu tusaidie sana
 
KWELI hii kazi mmezidiwa ila hamkati tamaa gari kituo cha Kariakoo B kusubiri zaidi ya dk 30 bado mlango mmoja wa kikatia tiketi umefungwa wakati ndicho kituo chenye population kubwa?
Mungu tusaidie sana
dart kinachosumbua, ni upigaji, hakuna kingine. wakipata muarobaini kwa hilo, pesa watapata, watendaji waadilifu watakuwepo, na magari mapya mengi watanunua. kwa sasa hakuna usafiri wa shida kama wa dart, hata daladala za kawaida zile zinazozunguka zina starehe kuliko dart.
 
Fikisheno mabasi

Dar hadi chalinze
Dar hadi Bagamoyo hadi msata
Dar hadi kisarawe.

It's possible play your part these places is connected already
Mjini kwenyewe tu wameshindwa ije iwe kwenda mikoani? Hebu tusiwape kazi wasizoweza!
 
Asante kwa kuja.
Ni lini hayo mabasi mtayapeleka Mwanza pia ili wananchi wapate huduma ya usafiri..??
Sababu jiji la Mwanza limekua na tayari limechangamka na mkituletea hizo Bus zikaanzia route ya Kisesa, Igoma, Neshno, Buzuruga, Mabatini, Nata, Pepsi, Mkuyuni, Nyegezi, Buhongwa, Nyashishi hadi Usagara and Return.
mwanza hakuna barabara
 
Back
Top Bottom