DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

Watanzania hatuwezi kuendesha chochote.

Kwa uchache, Watanzania noi wavivu, wezi, wazembe, waongo, wajinga.

Mpaka tumefikia kiwango cha kujiibia na kujidanganya wenyewe.
Uvivu ni uongo ,labda hayoengine ya wizi
Hawahawa unaona wavivu wakitoka nje wanapiga kazi haswa
 
hakuna barabara zinazofaa mabasi ya mwendokasi,uwe unaelewa wewe chakubanga
Sometimes muwe mnasoma hata historia, sio unakuja mjini Dar umekuta mwendo kasi ukadhani barabara zilikuwepo kabla ya UDART.
Kwa tafsiri hiyo, hata Mwanza wakiamua kuweka pia watalazimika kujenga barabara pia.
 
Tumezindua huduma ya Kadi Janja kwenye njia zetu kuu (Trunk ) tunaomba mchangamkie kununua kadi janja kwa Tsh 5000 tu, kadi yetu ni ya muda wote haina muda wa ukomo expire date, hii ni mwarobaini wa tatizo la chenji lililokua likisumbua abiria wetu kwa muda mrefu pamoja na kudhibiti uvujaji wa mapato ya serikali, aidha kwa njia mlishi (Feeder) huduma hiyo itaanza mara baada ya kukamilika kwa miundombinu ya mifumo ya kidijitali. Pia tuendelee kupakua Application ya Mwendokasi App ili kurahisisha ukataji wa tiketi kidijitali. Wakati huo huo tunaendelea kukamilisha taratibu za kuongeza idadi ya Mabasi yetu ili kuboresha huduma, kaeni mkao wa kula Mama Yuko kazini Yajayo yanafurahisha. Kwa maelezo zaidi Piga namba yetu ya Bure kituo cha Huduma kwa wateja DART 0800110147.
 
Tumezindua huduma ya Kadi Janja kwenye njia zetu kuu (Trunk ) tunaomba mchangamkie kununua kadi janja kwa Tsh 5000 tu, kadi yetu ni ya muda wote haina muda wa ukomo expire date, hii ni mwarobaini wa tatizo la chenji lililokua likisumbua abiria wetu kwa muda mrefu pamoja na kudhibiti uvujaji wa mapato ya serikali, aidha kwa njia mlishi (Feeder) huduma hiyo itaanza mara baada ya kukamilika kwa miundombinu ya mifumo ya kidijitali. Pia tuendelee kupakua Application ya Mwendokasi App ili kurahisisha ukataji wa tiketi kidijitali. Wakati huo huo tunaendelea kukamilisha taratibu za kuongeza idadi ya Mabasi yetu ili kuboresha huduma, kaeni mkao wa kula Mama Yuko kazini Yajayo yanafurahisha. Kwa maelezo zaidi Piga namba yetu ya Bure kituo cha Huduma kwa wateja DART 0800110147.
Huwezi kuzungumza kitu bila kumtaja mama?
 
hakuna barabara zinazofaa mabasi ya mwendokasi,uwe unaelewa wewe chakubanga
Sometimes muwe mnasoma hata historia, sio unakuja mjini Dar umekuta mwendo kasi ukadhani barabara zilikuwepo kabla ya UDART.
Kwa tafsiri hiyo, hata Mwanza wakiamua kuweka pia watalazimika kujenga barabara pia.
nahisi umebanwa mavi
Samahani kama nitakuwa nawaingilia kinyume cha mau...Oh oh, I'm sorry, I mean kinyume cha maongezi yenu.
Nadhani Ushimen yupo sahihi, anamaanisha kabla ya UDART zilikuwepo Ikarus na zilitumia barabara hizihizi.
Hata ile route ya kutoka Kimara hadi Mbezi na Kibaha
IMG_2758.jpeg
IMG_2757.jpeg
IMG_2755.jpeg
IMG_2753.jpeg
 
Tumezindua huduma ya Kadi Janja kwenye njia zetu kuu (Trunk ) tunaomba mchangamkie kununua kadi janja kwa Tsh 5000 tu, kadi yetu ni ya muda wote haina muda wa ukomo expire date, hii ni mwarobaini wa tatizo la chenji lililokua likisumbua abiria wetu kwa muda mrefu pamoja na kudhibiti uvujaji wa mapato ya serikali, aidha kwa njia mlishi (Feeder) huduma hiyo itaanza mara baada ya kukamilika kwa miundombinu ya mifumo ya kidijitali. Pia tuendelee kupakua Application ya Mwendokasi App ili kurahisisha ukataji wa tiketi kidijitali. Wakati huo huo tunaendelea kukamilisha taratibu za kuongeza idadi ya Mabasi yetu ili kuboresha huduma, kaeni mkao wa kula Mama Yuko kazini Yajayo yanafurahisha. Kwa maelezo zaidi Piga namba yetu ya Bure kituo cha Huduma kwa wateja DART 0800110147.
Nyie hamjielewi bwana! Kampuni inakuwa ya kipuuzipuuzi sijui kwa nini! Hivi inakuwaje njia zenye watu wengi mnashindwa kuweka mabasi mengi muda wa jioni? Unakuta basi refu linapelekwa Kivukoni kutoka Morocco wakati kuna abiria wengi. Tumieni akili vizuri aisee!
 
Tumezindua huduma ya Kadi Janja kwenye njia zetu kuu (Trunk ) tunaomba mchangamkie kununua kadi janja kwa Tsh 5000 tu, kadi yetu ni ya muda wote haina muda wa ukomo expire date, hii ni mwarobaini wa tatizo la chenji lililokua likisumbua abiria wetu kwa muda mrefu pamoja na kudhibiti uvujaji wa mapato ya serikali, aidha kwa njia mlishi (Feeder) huduma hiyo itaanza mara baada ya kukamilika kwa miundombinu ya mifumo ya kidijitali. Pia tuendelee kupakua Application ya Mwendokasi App ili kurahisisha ukataji wa tiketi kidijitali. Wakati huo huo tunaendelea kukamilisha taratibu za kuongeza idadi ya Mabasi yetu ili kuboresha huduma, kaeni mkao wa kula Mama Yuko kazini Yajayo yanafurahisha. Kwa maelezo zaidi Piga namba yetu ya Bure kituo cha Huduma kwa wateja DART 0800110147.
Kadi za mwanzoni mlizipeleka wapi nyie

Ova
 
Tumezindua huduma ya Kadi Janja kwenye njia zetu kuu (Trunk ) tunaomba mchangamkie kununua kadi janja kwa Tsh 5000 tu, kadi yetu ni ya muda wote haina muda wa ukomo expire date, hii ni mwarobaini wa tatizo la chenji lililokua likisumbua abiria wetu kwa muda mrefu pamoja na kudhibiti uvujaji wa mapato ya serikali, aidha kwa njia mlishi (Feeder) huduma hiyo itaanza mara baada ya kukamilika kwa miundombinu ya mifumo ya kidijitali. Pia tuendelee kupakua Application ya Mwendokasi App ili kurahisisha ukataji wa tiketi kidijitali. Wakati huo huo tunaendelea kukamilisha taratibu za kuongeza idadi ya Mabasi yetu ili kuboresha huduma, kaeni mkao wa kula Mama Yuko kazini Yajayo yanafurahisha. Kwa maelezo zaidi Piga namba yetu ya Bure kituo cha Huduma kwa wateja DART 0800110147.

Kutumia jina la mama kwenye huduma mbovu ni kumdhalilisha

Sema mko kazini sio mama yupo kazini

Hivi why mnashindwa kuweka mabasi yawe yanasubiri wateja wakijaa linaondoka?

Mnasikia Raha gani kupaki mabasi pembeni then watu wanafika 200 then ndio mnakuja watu wanagombania wanavunjika miguu na simu zao kupasuka, ?
 
Kutumia jina la mama kwenye huduma mbovu ni kumdhalilisha

Sema mko kazini sio mama yupo kazini

Hivi why mnashindwa kuweka mabasi yawe yanasubiri wateja wakijaa linaondoka?

Mnasikia Raha gani kupaki mabasi pembeni then watu wanafika 200 then ndio mnakuja watu wanagombania wanavunjika miguu na simu zao kupasuka, ?
Hichi kitu kina kera sana pale gerezani, yaani wanaona abiria mpo mmejazana ila kila basi linaloingia wanapaki au mengine yanapita hayana abiria sijui huwa wanayapeleka wapi magari yasiokua na abiria. Hivi huwa hawana viongozi? Mana ni kama vile huwa wanajiamulia tu chakufanya.

Kuna siku nimewafuata Madereva yaani wameyapaki sisi tupo tumejazana wao wapo wamekusanyana wanapga story. Nikawauliza "hivi mnapga story huku ni kwamba hamtuoni tulivyojazana au ni dharau?", hata hawakujali. Kuna namna flani wanaona kama maisha ndio wameshayapatia hivi yani! kumbe ni wapuuzi.

Kuna pia Maegesho y magari pale Gerezani, mbona kama kuna upgaji wa wazi wazi kbs, kwanini hela huwa tunawapa mkononi wale vijana wa getini? Kw nini kusengekua na sehemu y kulipia kieletroniki kama maegesho mengine? 2,500/= ni kubwa sana kwa siku aisee.
 
Tunawasisitiza abiria wetu kuendelea kununua kadi janja kwa ajili ya kutumia kulipia nauli zao za safari za Mabasi Yaendayo Haraka kwani inarahisisha suala la chenchi, lakini pia inaondoa suala la kupanga foleni ya kununua tiketi, ikumbukwe kuwa bei ya Kadi ni Tsh. 5,000/= tu na kadi hii haina ukomo (expire date) baada ya kununua kadi yako weka salio kwa ajili ya kuanza kutumia. Habari njema ni kwamba tunakaribia kuongeza idadi kubwa ya Mabasi ya Kisasa kabisa, hakika yajayo yanafurahisha, Tanzania inaendelea kupaa.
 
Kwa nini hamujibu maswali?
Maswali yapi uliuliza hukujibiwa? tuna njia mbaimbali za kupokea maoni na maswali wakati mwingine tumia namba ya bure ya kituo chetu cha miito ya simu Call center ya 0800110147 kwa msaada wa haraka.
 
Maswali yapi uliuliza hukujibiwa? tuna njia mbaimbali za kupokea maoni na maswali wakati mwingine tumia namba ya bure ya kituo chetu cha miito ya simu Call center ya 0800110147 kwa msaada wa haraka.
Niliuliza mustakbali wa malipo ya fidia kupisha ujenzi wa BRT phase 5.
 
Back
Top Bottom