DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Kumbe Mtela yupo Kisarawe?!

Halafu Jojo nae yupo wapi vile?!

Halafu haya mambo tunatongazana halafu tunasemeana kwa Bosi sio kabisa!

Si ungeninyima tu?! Halafu ndo nini... yaani unataka boss ndo akuone tunda lake peke yake, au?! Halafu achane unafiki nyie watu... eti mke wa mtu! Mmefunga ndoa lini?!
 
Hahaha. funguka tu mkuu
 
Hili ni fundisho kwa watu wanaopewa dhamana za uongozi...
 
Ila we dada unawakiaga sana kwenye gia. Vitu kibao unakuwaga hauna uhakika navyo ila unavokiongelea kwa confidence utasema ndo ukweli halisi. Naanza kupata wasiwasi utakuwa saa mbovu
 
Acha kuonesha upumbavu wako hadharani.Samahani lakini
 
Wenye wake wanalia kudai haq.
 
Nasikia wanaume wote wa kisarawe ambao wake zao walitafunwa kesho wanaandamana kupongeza kutumbuliwa kwa mtela aliekua anatafuna wake zao
 
Ndio shida ya kugawa vyeo kwa mirengo ya kichama. Huyu Das alie tumbuliwa alikuwa mpambe wa Ccm mitandaoni yeye na Juliana. Shonza. Hakuna vetting ni kugawana madaraka tuu kisa Ccm ilimuamini. Hongera kwa kutumbuliwa.. Sasa atapewa job gani zaidi ya kurudi Lumumba akabidhiwe tena bk 7??
 

Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Ww nani kakuambia jokate ndo kamsnitch ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…