DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Unaongea hivyo kwani wewe ndio Mwampamba, au alikutongoza wewe ukaona ni poa tu?
 
Huyo atakuwa aliingia anga za mtu. Kwani hajui kuna teuzi zinafanyika kulinda maslahi binafsi? Mtela Mwampamba akome kabisa maana kila akiona kinachong'aa anadhani ni halali yake. Aliingia vibaya. DC piga kazi sana kwa utulivu.
Daaa Jomba bado alikuwa akiendeleza zile tabia za Maviongozi ya chadema hahaha. Asimwige Mbowee yule ni mmiliki wa chama hana wa kumuuliza. Ukiiga kunya kwa tembo utaishia kupasuka msamba. Jamaa akitaka yoyote hacho moi labda kama hautaki ubungee
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Kuna uwezekano mkubwa wa rushwa za ngono.
 
Ila kuna watu wana roho ngumu. Kumbe jamaa mpaka beat alishapigwa lakini wapi! Yani mukulu anakupiga beat kuhusu chombo ya wenyewe na bado unaendelea tu. Any way kasema atampangia kazi nyingine ila siyo Kisarawe 😁😁😁😁😁
 
Ila kuna watu wana roho ngumu. Kumbe jamaa mpaka beat alishapigwa lakini wapi! Yani mukulu anakupiga beat kuhusu chombo ya wenyewe na bado unaendelea tu. Any way kasema atampangia kazi nyingine ila siyo Kisarawe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Akipangiwa kisarawee atatafuma chakula ya mkubwa tenaaa...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
wakati wa Mobutu, kuna ndugu yake Mobutu alimpenda mume wa mtu, huyo jamaa alikua ni mtangazaji wa habari, basi huyo ndugu yake Mobutu akamchukua jamaa kwa nguvu licha ya kuwa jamaa kaoa, mke wa jamaa alistukia tu mumewe kaenda kazini hakurudi na alipomtafuta alipewa onyo akae mbali nae, jamaa akateuliwa kuwa balozi wa Zaire huko Africa ya kusini nk mpaka akafa baada ya miaka hakuwahi tena kuonana na mkewe akaenda kumuoa ndugu yake Mobutu
mkewe hakuwahi hata kuona kaburi lake
Na wale mapacha wa mobutu vip?
 
Grriii griiii griiiiii (phone calling)

Yeye: Mwanangu Mtela hujambo?

Mtela: Sijambo Baba.

Yeye: Mwanangu nakupongeza kwa kazi nzuri mnayoendelea kufanya lakini kuna mashtaka ninayo juu yako, unatembea na Mke wa mtu. Usimuone hivyo huyo ni mke wa mtu kwa hiyo nakuomba uache mara moja hiyo tabia.

Mtela: Mheshimiwa Mimi sitembei....

Yeye: Usinibishie Mimi ninazo taarifa kamili ninataka kuanzia leo uache!![emoji16]

Mtela: Sawa Baba.

Mtela aliacha kwa mwezi mmoja then akarudi kuonja tena, sasa leo kaumbuliwa. amesaliti ushauri wa Baba yake kama alivyoisaliti CDM.
 
Ila jamaa kakosea sana. Na mademu wote hawa mtaaani anaenda kupumulia kwa Mzee😂😂😂. Mzee alimuonya na bado ameendelea. Sasa anakula jeuri yake.

Funzo la Kwanza: Kaa mbali na anapokula Boss wako;

Funzo la pili: Mapenzi hayajawai kumuacha mtu salama. Hata uwe baunsa feelings zako za mapenzi huwezi kuzificha. Mzee leo kauanika ukweli hadharani kumbe maneno ya mtaani ni kweli😂😂😂😂
 
Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Katika hyo picha kuna jamaa huko nyuma nae anatakiwa atumbuliwe.
Anamuangalia Dc huku karegeza macho
 
Mambo ni moto

View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE

Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.

Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.

Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.

Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.

Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
Binafsi sisikitii kutenguliwa kwa DAS.

Ninachojiuliza kwa mleta uzi, kwenye tukio kubwa la kihistoria kama hili, hivi umeona kutumbuliwa DAS ndio headilne kuu kwenye tukio hilo?

Mbona hauipongezi Wizara ya Maji kupitia DAWASA kufanikiwa kutkeleza mradi mkubwa wa maji na kutatua kero ya ukosefu wa maji Wilayani Kisarawe iliyodumu kwa muda mrefu tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita.
 
Back
Top Bottom