'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

Watu tukisema tunaonekana wabaya na watu tunapinga kila kitu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ«£πŸ«£πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€..

Mama anauchapa Mwingi sana.. Sio?

Unaondoa Aminophiline Tabs na Injection, Beclomethasone +salbutamol inhaler ,Beclomethasone inhaler,Budesonide +Formeterol inhaler
Unategemea Mgonjwa wa Pumu "Emergency case" utamtibu kwa Dawa ipi kwa ngazi za Chini?

Unaondoa amlodipine,Atenolol,Valsatan,Atenolol+Nifedipine, isosorbide mononitrate tabs,
Metformin 400 +Glibenclamide 2.5mg..

halafu kutea kujisifu kuwa wagonjwa wa Presha na sukari na wenye matatizo ya moyo kutibiwa Kwa Kitita kipya Sasa kwa dawa zipi?

Kwa malaria unaondoa..

Artemether inj 40mg/0.5ml
Artemether lumefantrine syrup
Artemisinin & piperaquine tabs
Artesunate & Mefloquine tabs
Artesunate &Metakelfin tabs
Artesunate &Naphthoquine tabs
Artesunate inj 120mg, 30mg
Artesunate rectal suppositories
Quinine all dosage forms

Sulfamethoxypyrazine & Pyremethamine tabs (SP)

Nado huridhiki unaondoa Chloroquine tabs for sickle cell prophylaxis "Unawatakia Nini wagonjwa wa Sickle cell"
Kwamba mmewachoka sasa mnataka wapungue???

Halafu kuna Mtu anakuja anashout Kitita kimeboreshwa M****** zake ataona watu watakavyokipata cha Mtema kuni..
wallah hakuna Mchawi
Kuna lile shangingi la kisiasa litakuja ns ngonjela zake likidifu mama kaupiga mwingi! Ulevi?
 
Kama utakuwa na uwezo kidogo Bora kujiunga na bima za makampuni binafsi za AAR ama nyingine tu, hizi bima zetu za kinyonge za NHIF tutajikuta tunafia hospitali Kwa kukosa dawa πŸ™ŒπŸ˜­

Nchi imegeuka ya Matajiri hii saivi
Sawa kabisa, si unajua wao hawaugui malaria na hata wakiiugua wanamudu tiba yake. Ndiyo maana dawa za magonjwa ya matajiri wamezibakiza, halafu eti bima ya afya kwa wote. Waseme bima ya afya kwa matajiri, maskini hana bima.
 
Lakini Bima ni ajiri ya dharula, unaweza ugua na hauna kitu! Sasa ukiambiwa kununua tena dawa na vifaa maana yake nini?
Bima maana yke unalipia in advance ili utakapougua utibiwe, sasa wanapoanza kulazimisha eti unapougua uwe na hela,JE KUNA MTU ANAJUA ATAUGUA LINI NA UGONJWA GANI?
Halafu Bunge linapitisha?
 
Watu tukisema tunaonekana wabaya na watu tunapinga kila kitu [emoji3][emoji3][emoji3]🫣🫣[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]..

Mama anauchapa Mwingi sana.. Sio?

Unaondoa Aminophiline Tabs na Injection, Beclomethasone +salbutamol inhaler ,Beclomethasone inhaler,Budesonide +Formeterol inhaler
Unategemea Mgonjwa wa Pumu "Emergency case" utamtibu kwa Dawa ipi kwa ngazi za Chini?

Unaondoa amlodipine,Atenolol,Valsatan,Atenolol+Nifedipine, isosorbide mononitrate tabs,
Metformin 400 +Glibenclamide 2.5mg..

halafu kutea kujisifu kuwa wagonjwa wa Presha na sukari na wenye matatizo ya moyo kutibiwa Kwa Kitita kipya Sasa kwa dawa zipi?

Kwa malaria unaondoa..

Artemether inj 40mg/0.5ml
Artemether lumefantrine syrup
Artemisinin & piperaquine tabs
Artesunate & Mefloquine tabs
Artesunate &Metakelfin tabs
Artesunate &Naphthoquine tabs
Artesunate inj 120mg, 30mg
Artesunate rectal suppositories
Quinine all dosage forms

Sulfamethoxypyrazine & Pyremethamine tabs (SP)

Nado huridhiki unaondoa Chloroquine tabs for sickle cell prophylaxis "Unawatakia Nini wagonjwa wa Sickle cell"
Kwamba mmewachoka sasa mnataka wapungue???

Halafu kuna Mtu anakuja anashout Kitita kimeboreshwa M****** zake ataona watu watakavyokipata cha Mtema kuni..
wallah hakuna Mchawi
Ukiaachana na Mambo Mengine naichukia sana NHIF, ukiongeza hili swala la kifurushi kipya ndo kabisaa ...
 
Bima zao wazihuisha hazina mpaka ingawa utaona kama kadi zinafanana na yako ila yy ni V.I.P akifika hospital hiz stori hawezi kuambiwa eti kuna dawa zimetolewa.
 
Watu tukisema tunaonekana wabaya na watu tunapinga kila kitu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ«£πŸ«£πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€..


Halafu kuna Mtu anakuja anashout Kitita kimeboreshwa M****** zake ataona watu watakavyokipata cha Mtema kuni..
wallah hakuna Mchawi
 
Sawa kabisa, si unajua wao hawaugui malaria na hata wakiiugua wanamudu tiba yake. Ndiyo maana dawa za magonjwa ya matajiri wamezibakiza, halafu eti bima ya afya kwa wote. Waseme bima ya afya kwa matajiri, maskini hana bima.
Viongozi hawana huruma na Wananchi wao πŸ₯²
 
Kuna wakati watu waache ujinga qa kushabikia vitu ambavyo n sensitive sana ona kinachofanywa na NHIF knagharimu wananchi mno

Mfano Leo kila dawa tunazoandika kwa bima zinagoma Ina mana inabdi kumwambia mgonjwa aanze kununua dawa nje hko ya maduka ya madawa tunawaumiza mno Hawa wananchi
 
WhatsApp Image 2024-03-14 at 19.32.32.jpeg

Inawezekana leo tukaona hawa wanaharakati wanaopiga mbinja kana kwamba wanasaka umaarufu. Lakini tupime haya mambo yanayozungumzwa with facts. Na tumeona namna ambavyo Waziri wa Afya akitoa fafanuzi mbalimbali wakati wa tangazo la Mgomo wa watoa huduma za afya binafsi dhidi ya ujio wa Kitita kipya cha Bima ya Afya NHIF.

Serikali, inapaswa kuwajali wananchi wake linapokuja suala la msingi kama afya. Lakini endapo serikali inafanya jambo lenye muelekeo wa kutumia hitaji muhimu la Afya za watu kama mtaji wa kuvuna kutoka kwa wananchi ni wazi serikali hiyo itakuwa haijali na hailindi maslahi ya wananchi ambao ndiyo nchi yenyewe.

Mpaka sasa, hakuna aliyewajibika kwenye uchotwaji wa mabilioni ya fedha kutoka mfuko wa Bima ya Afya (NHIF). Na wale wale wanaonyooshewa vidole kuhusu ubadhirifu huo ndiyo wamekuja na hii scheme ambapo kwa wataalam wa intelejensia jamii tunaona ni kama kuhaha kutaka kufidia upotevu ulioripotiwa na CAG.

Kuondoa dawa 178 na vifaatiba 15 kwenye kitita kipya cha NHIF haimaanishi kwamba watakaoathirika ni watoa huduma za afya binafsi, bali ni sisi wananchi ambao tunawajibishwa (LAZIMA) kisheria kulipia Bima ya Afya.

NI LINI WATANZANIA TUTAKUWA SERIOUS KWENYE MAMBO YA MSINGI?
Tubadilike. Waziri wa Afya siyo mwenzetu kwenye hili. Hana huruma kwa Watanzania na hili linaloendelea ni jibu tosha la namna watawala wetu wasivyoishi na Tanzania mioyoni mwao.
 
Kinachofanyika huko NHIF hakina tofauti na kilichotokea katika mifuko ya PSSSF na NSSF. Issue ya kikotoo imekuja baada ya mifuko kuwa dhoofu hali kutokana na madeni makubwa ya serikali na pengine hata ubadhilifu. Uzembe wa watendaji mzigo anakuja kubebeshwa mwananchi. Hili bomu ipo siku litawalipukia!
 
Kinachofanyika huko NHIF hakina tofauti na kilichotokea katika mifuko ya PSSSF na NSSF. Issue ya kikotoo imekuja baada ya mifuko kuwa dhoofu hali kutokana na madeni makubwa ya serikali na pengine hata ubadhilifu. Uzembe wa watendaji mzigo anakuja kubebeshwa mwananchi. Hili bomu ipo siku litawalipukia!
Halafu wanakuja vimbwenelehi kutujaza ujinga kwamba nchi inakwenda vizuri. Tukianza kuhoji tunatishiwa kwamba tunahatarisha usalama wa nchi.

Kimya chetu ndo umauti wetu
 
Back
Top Bottom