'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

View attachment 2934578
Inawezekana leo tukaona hawa wanaharakati wanaopiga mbinja kana kwamba wanasaka umaarufu. Lakini tupime haya mambo yanayozungumzwa with facts. Na tumeona namna ambavyo Waziri wa Afya akitoa fafanuzi mbalimbali wakati wa tangazo la Mgomo wa watoa huduma za afya binafsi dhidi ya ujio wa Kitita kipya cha Bima ya Afya NHIF.

Serikali, inapaswa kuwajali wananchi wake linapokuja suala la msingi kama afya. Lakini endapo serikali inafanya jambo lenye muelekeo wa kutumia hitaji muhimu la Afya za watu kama mtaji wa kuvuna kutoka kwa wananchi ni wazi serikali hiyo itakuwa haijali na hailindi maslahi ya wananchi ambao ndiyo nchi yenyewe.

Mpaka sasa, hakuna aliyewajibika kwenye uchotwaji wa mabilioni ya fedha kutoka mfuko wa Bima ya Afya (NHIF). Na wale wale wanaonyooshewa vidole kuhusu ubadhirifu huo ndiyo wamekuja na hii scheme ambapo kwa wataalam wa intelejensia jamii tunaona ni kama kuhaha kutaka kufidia upotevu ulioripotiwa na CAG.

Kuondoa dawa 178 na vifaatiba 15 kwenye kitita kipya cha NHIF haimaanishi kwamba watakaoathirika ni watoa huduma za afya binafsi, bali ni sisi wananchi ambao tunawajibishwa (LAZIMA) kisheria kulipia Bima ya Afya.

NI LINI WATANZANIA TUTAKUWA SERIOUS KWENYE MAMBO YA MSINGI?
Tubadilike. Waziri wa Afya siyo mwenzetu kwenye hili. Hana huruma kwa Watanzania na hili linaloendelea ni jibu tosha la namna watawala wetu wasivyoishi na Tanzania mioyoni mwao.
Ngona kwanza tumalize CAF
 
Kinachofanyika huko NHIF hakina tofauti na kilichotokea katika mifuko ya PSSSF na NSSF. Issue ya kikotoo imekuja baada ya mifuko kuwa dhoofu hali kutokana na madeni makubwa ya serikali na pengine hata ubadhilifu. Uzembe wa watendaji mzigo anakuja kubebeshwa mwananchi. Hili bomu ipo siku litawalipukia!
Hakuna cha kulipuka
Utalipuka wewe
Ngoja tulambe asali sisi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2934578
Inawezekana leo tukaona hawa wanaharakati wanaopiga mbinja kana kwamba wanasaka umaarufu. Lakini tupime haya mambo yanayozungumzwa with facts. Na tumeona namna ambavyo Waziri wa Afya akitoa fafanuzi mbalimbali wakati wa tangazo la Mgomo wa watoa huduma za afya binafsi dhidi ya ujio wa Kitita kipya cha Bima ya Afya NHIF.

Serikali, inapaswa kuwajali wananchi wake linapokuja suala la msingi kama afya. Lakini endapo serikali inafanya jambo lenye muelekeo wa kutumia hitaji muhimu la Afya za watu kama mtaji wa kuvuna kutoka kwa wananchi ni wazi serikali hiyo itakuwa haijali na hailindi maslahi ya wananchi ambao ndiyo nchi yenyewe.

Mpaka sasa, hakuna aliyewajibika kwenye uchotwaji wa mabilioni ya fedha kutoka mfuko wa Bima ya Afya (NHIF). Na wale wale wanaonyooshewa vidole kuhusu ubadhirifu huo ndiyo wamekuja na hii scheme ambapo kwa wataalam wa intelejensia jamii tunaona ni kama kuhaha kutaka kufidia upotevu ulioripotiwa na CAG.

Kuondoa dawa 178 na vifaatiba 15 kwenye kitita kipya cha NHIF haimaanishi kwamba watakaoathirika ni watoa huduma za afya binafsi, bali ni sisi wananchi ambao tunawajibishwa (LAZIMA) kisheria kulipia Bima ya Afya.

NI LINI WATANZANIA TUTAKUWA SERIOUS KWENYE MAMBO YA MSINGI?
Tubadilike. Waziri wa Afya siyo mwenzetu kwenye hili. Hana huruma kwa Watanzania na hili linaloendelea ni jibu tosha la namna watawala wetu wasivyoishi na Tanzania mioyoni mwao.
Walala hoi hatuna nguvu tena. Hatuna wa kutusikiliza.

Angalia walivyo haribu uchaguzi wa 2020. Waliiba kura wazi wazi na hatuna cha kuwafanya.
Hatuna tena uwezo wa kukemea viongozi wetu kwa maana hatukuwachagua na hawaogopi kitu.
 
Walala hoi hatuna nguvu tena. Hatuna wa kutusikiliza.

Angalia walivyo haribu uchaguzi wa 2020. Waliiba kura wazi wazi na hatuna cha kuwafanya.
Hatuna tena uwezo wa kukemea viongozi wetu kwa maana hatukuwachagua na hawaogopi kitu.
Kila ubaya utalipwa
 
View attachment 2934578
Inawezekana leo tukaona hawa wanaharakati wanaopiga mbinja kana kwamba wanasaka umaarufu. Lakini tupime haya mambo yanayozungumzwa with facts. Na tumeona namna ambavyo Waziri wa Afya akitoa fafanuzi mbalimbali wakati wa tangazo la Mgomo wa watoa huduma za afya binafsi dhidi ya ujio wa Kitita kipya cha Bima ya Afya NHIF.

Serikali, inapaswa kuwajali wananchi wake linapokuja suala la msingi kama afya. Lakini endapo serikali inafanya jambo lenye muelekeo wa kutumia hitaji muhimu la Afya za watu kama mtaji wa kuvuna kutoka kwa wananchi ni wazi serikali hiyo itakuwa haijali na hailindi maslahi ya wananchi ambao ndiyo nchi yenyewe.

Mpaka sasa, hakuna aliyewajibika kwenye uchotwaji wa mabilioni ya fedha kutoka mfuko wa Bima ya Afya (NHIF). Na wale wale wanaonyooshewa vidole kuhusu ubadhirifu huo ndiyo wamekuja na hii scheme ambapo kwa wataalam wa intelejensia jamii tunaona ni kama kuhaha kutaka kufidia upotevu ulioripotiwa na CAG.

Kuondoa dawa 178 na vifaatiba 15 kwenye kitita kipya cha NHIF haimaanishi kwamba watakaoathirika ni watoa huduma za afya binafsi, bali ni sisi wananchi ambao tunawajibishwa (LAZIMA) kisheria kulipia Bima ya Afya.

NI LINI WATANZANIA TUTAKUWA SERIOUS KWENYE MAMBO YA MSINGI?
Tubadilike. Waziri wa Afya siyo mwenzetu kwenye hili. Hana huruma kwa Watanzania na hili linaloendelea ni jibu tosha la namna watawala wetu wasivyoishi na Tanzania mioyoni mwao.
NIKIWAAMBIA KUWA SAA MIA MOJA MBOVU NI MAFII WAPUMBAVU MNASEMA NATUKANA[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] this thing is shit [emoji90][emoji90][emoji90]
 
Tuna nchi nzuri sana ila tunao viongozi wa hovyo na jamii ya hovyo isiyoelimika
Siyo isiyoelimika tu, bali pia isiyo na akili kwa asilimia kubwa. Wengi wa wahitimu wa shule hadi vyuo vikuu hawajui jema na baya kimantiki.
 
Hakuna mazingira ya kuongea kinyume na mipango ya serikali ama mawazo ya viongozi, kufanya hivyo ni kujiweka hatarini kukamatwa na polisi wanaotii maelekezo kuliko sheria(ni hao hao waliolinda maandamano ila ni hao hao wakiambiwa wapige waandamaji wanatii), kosa utalokamatiwa ni uchochezi, haitoshi hapo tu lakini kama una biashara zako zinaweza kuvurugwa, kama ni muajiriwa serikalini kibarua kinaota nyasi, kumbuka hapo una family inakutegemea, thats why hata support zetu zinalazimishwa sio kwa hiari bali kwa fear ya kuharibiwa maisha na serikali ambayo ina unquestionable decissions + no accountability.

Suala hapa ni mazingira ya kutoa maoni, kukiwa na mazingira yenye kuruhusu free speech watu tutamwagika sana tu ila kwa sasa ni kurisk kuwa kilema, kufungwa jela, kufilisiwa, kuziacha familia, n.k.

Till then wacha tujadili soka, mapenzi, kusifia viongozi involontarily, n.k. hivyo ndivyo vitu tunaweza zungumza kwa uhuru,

Yanga wapewe kombe lao mapema, Tujuzane mbinu za kuchelewa kufika kileleni, Tatizo la mgao wa umeme litakuwa historia mwaka huu kama tulivyoahidiwa na serikali yetu sikivu.
 
View attachment 2934578
Inawezekana leo tukaona hawa wanaharakati wanaopiga mbinja kana kwamba wanasaka umaarufu. Lakini tupime haya mambo yanayozungumzwa with facts. Na tumeona namna ambavyo Waziri wa Afya akitoa fafanuzi mbalimbali wakati wa tangazo la Mgomo wa watoa huduma za afya binafsi dhidi ya ujio wa Kitita kipya cha Bima ya Afya NHIF.

Serikali, inapaswa kuwajali wananchi wake linapokuja suala la msingi kama afya. Lakini endapo serikali inafanya jambo lenye muelekeo wa kutumia hitaji muhimu la Afya za watu kama mtaji wa kuvuna kutoka kwa wananchi ni wazi serikali hiyo itakuwa haijali na hailindi maslahi ya wananchi ambao ndiyo nchi yenyewe.

Mpaka sasa, hakuna aliyewajibika kwenye uchotwaji wa mabilioni ya fedha kutoka mfuko wa Bima ya Afya (NHIF). Na wale wale wanaonyooshewa vidole kuhusu ubadhirifu huo ndiyo wamekuja na hii scheme ambapo kwa wataalam wa intelejensia jamii tunaona ni kama kuhaha kutaka kufidia upotevu ulioripotiwa na CAG.

Kuondoa dawa 178 na vifaatiba 15 kwenye kitita kipya cha NHIF haimaanishi kwamba watakaoathirika ni watoa huduma za afya binafsi, bali ni sisi wananchi ambao tunawajibishwa (LAZIMA) kisheria kulipia Bima ya Afya.

NI LINI WATANZANIA TUTAKUWA SERIOUS KWENYE MAMBO YA MSINGI?
Tubadilike. Waziri wa Afya siyo mwenzetu kwenye hili. Hana huruma kwa Watanzania na hili linaloendelea ni jibu tosha la namna watawala wetu wasivyoishi na Tanzania mioyoni mwao.
Wacha mambo yaende hivi hivi,yabane haswa ili kipindi Cha uchaguzi watu wajue mbivu na mbichi.
 
Back
Top Bottom