'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

Huo mfuko wa bima ya afya kwishinei. Waziri mkuu anapambana na muhasibu wa Serikali za mitaa aliyekula milioni 200 anawaacha watumishi waliomega na kujikopesha zaidi ya bilioni 40 za mfuko wa bima ya afya ambazo ni bajeti ya kutosha ya dawa na vifaa tiba
Hapo ni mfuko unalindwa kwa gharam yoyote hata ikibidi kuuwa watanzania

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kam ka utakuwa na uwezo kidogo Bora kujiunga na bima za makampuni binafsi za AAR ama nyingine tu, hizi bima zetu za kinyonge za NHIF tutajikuta tunafia hospitali Kwa kukosa dawa 🙌😭

Nchi imegeuka ya Matajiri hii saivi
Ndio wanachotaka Kwa kuwa Wana Hisa na ni Wamiliki wa hayo makampuni
 
Mambo mengine bhana. Sasa lengo la kuzitoa nini? Wamegundua sio salama kwa afya za watanzania au wanatoa hizo wanaweka dawa bora zaidi?

Hivi vitu havieleweki kwa akili ya kawaida kabisa.
 
Sasa unatoaje Latex na surgical gloves? Hizi gloves zitaenda kutajirisha sana watu, huwa zinaonekana kitu kidogo ila ni bidhaa ya pesa nyingi sana.
 
Halafu mnasema mnataka bima ya afya kwa wote?
 
Kwenye hili sakata la bima ya afya (NHIF), waziri Ummy Mwalimu amefeli mazima. Ilitakiwa awe ameshatumbuliwa hapo au ameondoka kwa hiyari yake, amejiuzulu. Yeye ndiyo amekuwa mstari wa mbele kuuyumbisha huu mfuko na kushinikiza matakwa yake yasiyotekelezeka mfano bima ya afya kwa wote, wakati hii ya wachache tu inawashinda. Ifike mahali kwenye wizara nyeti kama hii ya afya, waziri angalau awe mtaalam wa eneo husika i.e Medical doctor, pharmacist etc... sasa mwanasheria anaongoza afya za watu kweli
 
Nadhani ni sahihi tu. Wananchi hawana tatizo killa wanalo fanyiwa kwao sawa tu.
Wananchi wengi wao wapo radhi na lingine na mengine yaje tu.
Kwa hali ya sasa ni kuomba mungu na kupambana mwenyewe tu. Ukizoea maisha yanaenda, muhimu kupambana.
Usisubiri muujiza kwa hali hii.
 
View attachment 2934578
Inawezekana leo tukaona hawa wanaharakati wanaopiga mbinja kana kwamba wanasaka umaarufu. Lakini tupime haya mambo yanayozungumzwa with facts. Na tumeona namna ambavyo Waziri wa Afya akitoa fafanuzi mbalimbali wakati wa tangazo la Mgomo wa watoa huduma za afya binafsi dhidi ya ujio wa Kitita kipya cha Bima ya Afya NHIF.

Serikali, inapaswa kuwajali wananchi wake linapokuja suala la msingi kama afya. Lakini endapo serikali inafanya jambo lenye muelekeo wa kutumia hitaji muhimu la Afya za watu kama mtaji wa kuvuna kutoka kwa wananchi ni wazi serikali hiyo itakuwa haijali na hailindi maslahi ya wananchi ambao ndiyo nchi yenyewe.

Mpaka sasa, hakuna aliyewajibika kwenye uchotwaji wa mabilioni ya fedha kutoka mfuko wa Bima ya Afya (NHIF). Na wale wale wanaonyooshewa vidole kuhusu ubadhirifu huo ndiyo wamekuja na hii scheme ambapo kwa wataalam wa intelejensia jamii tunaona ni kama kuhaha kutaka kufidia upotevu ulioripotiwa na CAG.

Kuondoa dawa 178 na vifaatiba 15 kwenye kitita kipya cha NHIF haimaanishi kwamba watakaoathirika ni watoa huduma za afya binafsi, bali ni sisi wananchi ambao tunawajibishwa (LAZIMA) kisheria kulipia Bima ya Afya.

NI LINI WATANZANIA TUTAKUWA SERIOUS KWENYE MAMBO YA MSINGI?
Tubadilike. Waziri wa Afya siyo mwenzetu kwenye hili. Hana huruma kwa Watanzania na hili linaloendelea ni jibu tosha la namna watawala wetu wasivyoishi na Tanzania mioyoni mwao.
Kwa nchi ya watu wanaojielewa hii ni agenda Tosha inayoweza kuiangusha serikali iliyopo madarakani, raia bila kushinikizwa wanaingia Barabarani kupinga huu upuuzi, hivi Rais anapata vipi nguvu ya kutaka kuendelea kuongoza wakati nchi imeshamshinda?
 
Kwa nchi ya watu wanaojielewa hii ni agenda Tosha inayoweza kuiangusha serikali iliyopo madarakani, raia bila kushinikizwa wanaingia Barabarani kupinga huu upuuzi, hivi Rais anapata vipi nguvu ya kutaka kuendelea kuongoza wakati nchi imeshamshinda?
Kuna upuuzi mwingi sana unaendelea.

CCM inafanya lolote baya na hakuna wa kuhoji.

Mwenye chama ndo mwenye nchi. Hakuna utii wa katiba, sheria hata nchi hakuna anayeijali.

Angalia wakisimama majukwaani wanakampeni wazi wazi badala ya kutimiwa wajibu wao wa kazi

Ummy ni katili, ni mwanamke ambaye anaenda kumgharimu Samia atashangaa
 
Hakuna hata maana ya kuwa na hiyo bima kwa sasa kama dawa hizo zote muhimu utajinunulia.
 
Ndio wanachotaka Kwa kuwa Wana Hisa na ni Wamiliki wa hayo makampuni
Hakuna wakati Bima ya Afya NHIF ilikuwa na thamani kama enzi za JPM

Hawa Viongozi wa sasa, naona wameamua kuwa Wafanyabiashara zaidi ya kuwahudumia Wananchi.

Tutegemee Wananchi wengi kupoteza maisha Kwa kukosa dawa na vifaa tiba 🥲
 
so na matibabu ya malaria saivi ni nje ya bima?
 
HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA
IDARA YA FAMASI
DAWA ZILIZOONDOLEWA KWENYE KITITA KIPYA CHA MFUKO WA BIMA YA AFYA WA TAIFA (NHIF)
8/3/2024
Na
Jina la dawa
1.Aceclofenac
2.Alendronic acid tabs
3
Alprazolam tablets
4
Amethocaine eye drops
5
Amiloride tabs
6
Aminophyline tabs and inj
7
Amlodipine &valsatan tabs
8
Amlodipine +Atenolol
9
Amoxycillin oral liquid
10
Ampicillin +Cloxacillin suspension
11
Artemether inj 40mg/0.5ml
12
Artemether lumefantrine syrup
13
Artemisinin & piperaquine tabs
14
Artesunate & Mefloquine tabs
15
Artesunate &Metakelfin tabs
16
Artesunate &Naphthoquine tabs
17
Artesunate inj 120mg, 30mg
18
Artesunate rectal suppositories
19
Asparaginase injection
20
Atenolol +Nifedipine tabs
21
Beclomethasone +salbutamol inhaler
22
Beclomethasone inhaler
23
Belladona syrup
24
Benztropine tabs
25
Betamethasone &gentamycin eye drops
26
Betamethasone &neomycin eye drops
27
Betamethasone dipropionate ointment 0.005%
28
Betamethasone eye drops
29
Bifonazole gel/solution
30
Biperidine
31
Bisacodyl rectal suppositories
32
Brinerdin tabs
33
Bromazepam tabs and inj
34
Bromohexin syrup
35
Budesonide +Formeterol inhaler
36
Bumetamide 1mg tabs
37
Calcipotrol 0.05% cream
38
Cefaclor all dosage forms
39
Cefadroxil all dosage forms
40
Cefixime oral liquids
41
Cefotaxime inj 1gm
42
Cefpodoxime proxetil all dosage forms
43
Chloramphenical caps
44
Chloramphenical syrup
45
Chloroquine tabs for sickle cell prophylaxis
46
Chlorpropamide
47
Cimetidine tabs
48
Cinarizine tabs
49
Clindamycin 300mg
50
Clinidium bromide +Chlordiazepoxide
51
Clopidogrel +Aspirin
52
Clotrimazole powder
53
Colchicine tabs
54
Cortisol acetate tabs
55
Cortisone tabs
56
Cytarabine inj
57
Cytidine +Uridine (Nucleo CMP forte)
58
Dexamethasone & framycetin& gramicidin eye drops
59
Dexamethasone + neomycin + polymyxin B eye drops
60
Dicyclomine HCL+Paracetamol+Chlorzoxazone (Trigan D)
61
Diethylcarbamazine tablets
62
Disodium hydrogen citrate tabs
63
Disulfiram tablets
64
Dithranol cream/ointment
65
Domperidone syrup
66
Econazole cream
67
Ephedrine tabs 30mg
68
Etofenamate gel
69
Evorilomus tabs/caps
70
Famotidine tabs and inj
71
Felodipine tabs
72
Flucloxacillin + Amoxycillin oral liquid form (125mg+125mg)
73
Flucloxacillin caps
74
Fluconazole eye drops
75
Fludarabine inj
76
Fluorescein sodium eye drops
77
Flutamide tabs
78
Fusidic acid +hydrocortisone cream
79
Gabapentin tabs
80
Ganciclovir tablets
81
Gentamycin eye drops
82
Glipizide tabs
83
Glycerine/phenol ear drops
84
Heparin gel
85
Hyaluronidase inj
86
Hydrocortisone eye drops
87
Hydrogen peroxide ear drops 3%
88
Ibandronic acid
89
Imiquimod cream 5%
90
Interferon alfa-2A
91
Iodichlorydroxyquin dexamethasone sodium phosphate ointment
92
Iodoxamide tromethazine eye drops
93
Ipecacuanha alkaloid tabs
94
Isosorbide mononitrate tabs
95
Kanamycin inj 1gm
96
Ketoconazole cream
97
Ketoconazole shampoo
98
Leuprolide acetate inj
99
Levamisole tabs and suspension
100
Linment alba lotion
101
Liquid paraffin
102
Lodoxamide tromethamine eye drops
103
Low molecular weight heparin 100mg/ml
104
Melphalan tabs
105
Mercaptopurine tabs
106
Metformin 400 +Glibenclamide 2.5mg
107
Metronidazole +Diloxanide
108
Mouth gaggle/med oral
109
Mycophenolic acid inj
110
Nalidixic acid tabs
111
Naproxen tabs
112
Nebivolol tabs
113
Niclosamide chewable tablets
114
Norfloxacillin all dosage forms
115
Norfloxacillin eye drops
116
Norfloxacillin+Tinidazole
117
Nystatin pessaries
118
Nystatin tablet
119
Obdoxine inj 250mg/ml
120
Ornidazole tabs
121
Oxypentifylline tabs
122
Oxytetracycline hydrochloride cream
123
Oxytetracycline +Hydrocortisone +polymyxin B cream
124
Oxytetracycline +Hydrocortisone cream
125
Para-amino benzoic acid
126
Penicillin, procaine benzyl-fortified (PPF) inj
127
Perindopril tabs
128
Pindolol tabs
129
Povidone eye drops
130
Prazocin tabs
131
Procainamide inj
132
Procarbazine tabs
133
Prochloperazine
134
Procyclidine hydrochloride tabs
135
Proguanil tabs
136
Quetiapine fumarate tablets
137
Quinine all dosage forms
138
Rabeprazole (tabs and inj)
139
Ramipril tabs
140
Ranibizumab inj
141
Ranitidine tabs and inj
142
Rosiglitazone
143
Salycylic acid + Betamethasone
144
s-Amlodipine tabs 5mg
145
s-Amlodipine tabs2.5mg
146
Secnidazole tabs
147
Senna tabs
148
Simvastatin tabs
149
Sodium bicarbonate ear drops 5%
150
Sodium Thiosulphate solution
151
Spectinomycin inj
152
Stilboestelol tabs 5mg
153
Sulfamethoxypyrazine & Pyremethamine tabs
154
Sulphamethoxazole +trimethoprim injection 96mg/ml
155
Sulphur ointment/cream
156
Suramin sodium inj
157
Tenecteplase inj
158
Tenoxicam Tabs
159
Tetracycline ointment/cream
160
Thiabendazole tablets
161
Thioridazine tabs
162
Thymodulin tabs/caps
163
Tiacenolone inj
164
Tioconazole cream
165
Tolbutamide tabs
166
Tolnaftate cream
167
Travoprost eye solution
168
Trichloroacetic acid cream
169
Trifluoperazine tabs
170
Trimetazidine modified release tabs
171
Vildagliptin +metformin
172
Vincamine caps
173
Vitamin E capsules
174
Zinc oxide ointment/ cream
175
Vitamin B1, B6, B12 and folic acid (neurosupport, neuroton etc)
176
Multivitamin syrup
178
Clarithromycin syrup
VIFAA TIBA VIFUATAVYO PIA VIMEONDOLEWA KWENYE KITITA KIPYA
Na
Jina la kifaa tiba
1
Bandage elastic adhesive 4cm x 4m
2
Bandage elastic adhesive 7.5cm x 4.5m
3
Bandage hospital quality size 10cm x 4cm
4
Bandage hospital quality size 12.5cm x 4cm
5
Bandage hospital quality size 15cm x 4cm
6
Bandage hospital quality size 5cm x 4cm
7
Cotton wool 250gm
8
Gauze 90cm x 25cm
9
Latex gloves
10
Paraffin gauze dressing
11
Scalp vein
12
Suction tubes
13
Surgical gloves
14
Syringe all sizes
15
Syringe penfil/Norvo fine disposable with needle
 
Back
Top Bottom