'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

'Dawa 178 na Vifaa Tiba 15 vilivyoondolewa kwenye Kitita kipya cha NHIF'

Duuh...! Hii ni aibu kubwa kwa Taifa hili. Halafu ametulia anaangalia tu. Yaani mpaka ile dawa ya buku ya macho ya matone?. Hivi hiyo cabinet inayokaa kujadiri haya ina kuna kitu wamebakiwa nacho fuvuni?.
Waalimu mlio wengi shtukeni mishahara yenu inayokatwa huko NHIF inaenda bure
 
Watu tukisema tunaonekana wabaya na watu tunapinga kila kitu [emoji3][emoji3][emoji3]🫣🫣[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]..

Mama anauchapa Mwingi sana.. Sio?

Unaondoa Aminophiline Tabs na Injection, Beclomethasone +salbutamol inhaler ,Beclomethasone inhaler,Budesonide +Formeterol inhaler
Unategemea Mgonjwa wa Pumu "Emergency case" utamtibu kwa Dawa ipi kwa ngazi za Chini?

Unaondoa amlodipine,Atenolol,Valsatan,Atenolol+Nifedipine, isosorbide mononitrate tabs,
Metformin 400 +Glibenclamide 2.5mg..

halafu kutea kujisifu kuwa wagonjwa wa Presha na sukari na wenye matatizo ya moyo kutibiwa Kwa Kitita kipya Sasa kwa dawa zipi?

Kwa malaria unaondoa..

Artemether inj 40mg/0.5ml
Artemether lumefantrine syrup
Artemisinin & piperaquine tabs
Artesunate & Mefloquine tabs
Artesunate &Metakelfin tabs
Artesunate &Naphthoquine tabs
Artesunate inj 120mg, 30mg
Artesunate rectal suppositories
Quinine all dosage forms

Sulfamethoxypyrazine & Pyremethamine tabs (SP)

Nado huridhiki unaondoa Chloroquine tabs for sickle cell prophylaxis "Unawatakia Nini wagonjwa wa Sickle cell"
Kwamba mmewachoka sasa mnataka wapungue???

Halafu kuna Mtu anakuja anashout Kitita kimeboreshwa M****** zake ataona watu watakavyokipata cha Mtema kuni..
wallah hakuna Mchawi
Kisha lawama zielekezwe kwa madaktari kwamba wanasababisha vifo kizembe.
Mungu aturehemu,atuepushe na magonjwa yote [emoji120]
 
Back
Top Bottom