Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee

 
we ishi na upotoshaji wako huo na uzushi wa kipuuzi hakuna atakayekusikiliza, kwanza ni mwongo, mzushi, mzandiki, uliyejaa chuki we ni wa kupuuzwa tu. Lengo lenu ni kumkwamisha rais wetu hamtafanikiwa abadani. Eti bandari zote za Tangantika, hiyo Tanganyika ni nchi yako na mamako? Pili bila aibu bandari zote, mtoto wa kiume ukiwa mwongo na mmbea ni aibu na fedheha kwako.
 
mtakuja kutapika pesa za watu mlizozila ktk kampeni yenu hii ya kizushi
 
Jibu hoja hizo..
 
Hivi ule mkataba ( wawa china na bandari ya bagamoyo ) alio ukataa JPM na huu wa mama wa dpworld, ina tofautiana wapi au ina fanania wapi
 
sasa watu km ni aina yako kwanini msipuuzwe? Mamako alifaulu hata sekondari?
Mtu kafeli form 4 halafu anakuja kutuuza, tukae kimya? Hivi hamna aibu hata chembe nyie wala urojo na wakaa vibarazini? Hata bili za umeme tu hamtaki kulipa, ni watu wa namna gani nyie? Stupid parasites, tuacheni, tumesema hatutaki!!! Kwani lazima?!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…