Dawa ya Vumbi la Kongo 'hensha' yapigwa marufuku Tanzania

unauliza majibu
Nguvu za asili ni zipi? Mcongo sio nguvu za asili?
Imeshapigwa marufuku sasa umkute mwenzio anamkuja mkeo kisha wewe uinue mkono kumgusa uende jela uache watu wakijigongea mtaani.

Wewe wakati wa babu zako waliijua hii mikongo?mnajiharibu mkiwa hamjui.
 
Kumbe iyo. Mm nilijua chinsali tunaendelea tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheka lakini nalia, maana heshima ya kitandani ya baadhi ya wanaume itageuka kilio
 
Vumbi la Congo Limefungiwa Usishangae Vumbi la Msumbiji Likaja Watu Hawapoi na hawaboi.
 
Wakuu,

Nimepata habari kuwa, vumbi la Kongo limefungiwa.

Hili suala linahitaji kujadiliwa kitaifa.

Vumbi la Kongo limekuwa mkombozi kwa wengi. Kulifungia tu bila kufanya critical analysis ya effects zake ni kosa kubwa.

Tunahitaji kupaza sauti ili vumbi la Kongo lirudi sokoni.

Asantee

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha, wazee wa puturu kazi mnayo asee!!
 
KUHARIBIANA SIKU TU HUKO, HUYU PROFESA NAE ZENGWE TU
 
Mtakunywa pweza hadi msahau kama kuna maji duniani, pumbafu kabisa wote mliowahi kutumia hayo makofii oromide.
 
Vumbi la Kongo limekuwa mkombozi kwa wengi. Kulifungia tu bila kufanya critical analysis ya effects zake ni kosa kubwa.

Hujasikia kwamba sababu ya kufungiwa ni vile wanachanganya na viagra?
 
Hivi mwanaume timamu au rijali unatumia huo upuuzi ili ugundue nini.
Mnafeli wapi asee, hamjui mazoezi hamjui diet au hivyo mnaviona vigumu,

ndo maana mashosti wanaongezeka kwa fujo.
F*ck it heal the world dear God
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…