Ndio jambo nililokuwa nafikiria jana nilipotazama CNN. Walikuwa wanasema the Ukraine-Russia conflict has no clear end in sight,jambo la kuwafanya watakatifu wa Mungu kutabasamu. How can the conflict have no clear in sight. Putin and Zelensky should be sent to a mental hospital.
Likewise Netanyahu and I don't know who is the leader of Hamas,should be sent to a mental hospital.
Codes za hatari!!!
Mkuu Proved , hakuna codes zozote hapa, huyu Poppy Hatonn ndiye yule yule Big Brother wetu, mtoto wa Mwalimu tuliyanae humu, this is his 3rd name anabadili humu, kiukweli jamaa ni issue, usimuamini sana!.Hizi codes hata wewe hujazielewa ?...
GReatest code teller of all time. Code unlockedAmwambia aondoke kijijini asirudi kamwe.
Imetokea Jumatatu asubuhi[juzi],huyu DC[sijawahi kumuona,wala sifahamu jina lake] amemtuma mtu kuniambia ''DC amesema kuna tatizo fulani limetokea na anataka wewe uondoke hapa''
Mimi nikasema hakuna tatizo lililotokea. Halafu yule jamaa akasema,''Okay. Nakwenda kumwambia DC kwamba umesema hakuna tatizo lililotokea.
Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama. Sasa nipo Arusha.
Again, DC wa Butiama amemfukuza kule mtoto wa Mwalimu Nyerere.
Wewe hiyo power hutaki wawe nayo?!, hiyo power ina madhara gn kwenye jamii!?Kibaya sasa, huyo DC ndiye mkuu wa kamati ya ulinzi ya wilaya, kwa hivyo amri yake ina uzito fulani wa kisheria, si amri ya kisiasa tu.
Ma DC wana discretionary power sana, tubadilishe haya mambo kwenye katiba mpya.
Duh!.... Kazi kweli kweli..Mkuu Proved , hakuna codes zozote hapa, huyu Poppy Hatonn ndiye yule yule Big Brother wetu, mtoto wa Mwalimu tuliyanae humu, this is his 3rd name anabadili humu, kiukweli jamaa ni issue, usimuamini sana!.
Usikute wala sio kweli DC amemfukuza, ila ni mtu wa vituko sana!, usikute shauri ya vituko vyake DC akamwambia sitaki kukuona hapa ile kiutani utani, ila kwa mujibu wa katiba yetu, mtu yoyote akiwa ni threat to peace and tranquillity ya eneo husika, anaruhusiwa kufukuzwa na kuhamishwa kwa nguvu kutoka eneo hilo, ila wengi wa waliokuwa wanahamishwa ni wanga na wachawi, huyu sio mchawi ni msumbufu tuu kutokana na kuishi kwa utopian world ya metaphysical na mystical universe!.
P
Hivi katika pilika zako za Masaki haukuwai kweli kuwa chama Moja na uyu jamaa, na ni kama vile una hasira nae Kwa Yale baba yake aliyomtendea baba yako. Ila ni kweli jamaa changamoto sana adi umuelewe inahitaji uvumilivu na juzi tu apa walitembelewa na MakondaMkuu Proved , hakuna codes zozote hapa, huyu Poppy Hatonn ndiye yule yule Big Brother wetu, mtoto wa Mwalimu tuliyanae humu, this is his 3rd name anabadili humu, kiukweli jamaa ni issue, usimuamini sana!.
Usikute wala sio kweli DC amemfukuza, ila ni mtu wa vituko sana!, usikute shauri ya vituko vyake DC akamwambia sitaki kukuona hapa ile kiutani utani, ila kwa mujibu wa katiba yetu, mtu yoyote akiwa ni threat to peace and tranquillity ya eneo husika, anaruhusiwa kufukuzwa na kuhamishwa kwa nguvu kutoka eneo hilo, ila wengi wa waliokuwa wanahamishwa ni wanga na wachawi, huyu sio mchawi ni msumbufu tuu kutokana na kuishi kwa utopian world ya metaphysical na mystical universe!.
P
Doscretionary power ni chanzo cha rushwa, uonevu na ujinga mwingi.Wewe hiyo power hutaki wawe nayo?!, hiyo power ina madhara gn kwenye jamii!?
Kwa hiyo, kulikuwepo na "tatizo" ndio maana, baada ya kufikiri "kwa dakika moja" ukaamua kuondoka kijijini na kwenda Arusha.
Sasa itakuwaje, endapo DC wa huko Arusha na yeye akiamua mtoto aondoke huko!
Mkuu Mega Mind Nyerere , huyu kaka yako mkubwa ?!... naomba nisimalizie!..Kaka mkubwa. Nakusalimu
Hapana,hapana. Nafasi ya DC Butiama sasa hivi ni vacant.Mkuu Proved , hakuna codes zozote hapa, huyu Poppy Hatonn ndiye yule yule Big Brother wetu, mtoto wa Mwalimu tuliyanae humu, this is his 3rd name anabadili humu, kiukweli jamaa ni issue, usimuamini sana!.
Usikute wala sio kweli DC amemfukuza, ila ni mtu wa vituko sana!, usikute shauri ya vituko vyake DC akamwambia sitaki kukuona hapa ile kiutani utani, ila kwa mujibu wa katiba yetu, mtu yoyote akiwa ni threat to peace and tranquillity ya eneo husika, anaruhusiwa kufukuzwa na kuhamishwa kwa nguvu kutoka eneo hilo, ila wengi wa waliokuwa wanahamishwa ni wanga na wachawi, huyu sio mchawi ni msumbufu tuu kutokana na kuishi kwa utopian world ya metaphysical na mystical universe!.
P
And....Mkuu Mega Mind Nyerere , huyu kaka yako mkubwa ?!... naomba nisimalizie!..
P
Jinsi ya kufanya astral travelAnd....
Sawa Bro,Jinsi ya kufanya astral travel
Kwanza, lazima tudhibiti mawazo yetu, lazima tudhibiti mawazo yasiyo na maana ambayo hupita kwenye akili zetu kila wakati. Keti mahali ambapo unastarehe, ambapo unaweza kupumzika kabisa, na ambapo hakuna mtu anayeweza kukusumbua. Ukitaka, zima taa kwa sababu mwanga unaweza kuwa kikwazo wakati kama huu. Kaa kimya kwa muda kidogo ukifikiria mawazo yako, tazama mawazo yako, angalia jinsi yanavyozidi kutambaa kwenye fahamu zako, kila moja likijaribu kuengua wazo jingine. ugomvi ule na mtu ofisini, bili ambazo hazijalipwa, gharama ya maisha, hali ya ulimwengu, yale ambayo ungependa kumwambia mwajiri wako—yafagie yote kando!
Fikiria kuwa umeketi kwenye chumba giza kabisa juu ya skyscraper; mbele yako kuna dirisha kubwa lililofunikwa na screen nyeusi, screen ambayo haina 0atterns, hakuna kitu ambacho kinaweza kuleta distraction. Itazame ole screen. Awali ya yote hakikisha kwamba hakuna mawazo yanayovuka ufahamu wako (ambayo ni ole screen nyeusi), na ikiwa mawazo yanaelekea kuingilia, yarudishe nyuma juu ya ukingo. Unaweza kufanya hivyo, ni suala la mazoezi tu. Kwa muda fulani mawazo yatajaribu kupepesa kwenye ukingo wa screen hiyo nyeusi, yarudishe nyuma, kwa nguvu na kuyataka yaondoke, kisha zingatia tena screen, halafu iinue ile sceeen ,katika fikra zako,iinue ile screen uone nini kipo nyuma ya pazia .
Unapo8tazama ile screen nyeusi utagundua kwamba kila aina ya mawazo ya ajabu yanataka kuingia. Yarudishe nyuma, yarudishe kwa jitihada , usiruhusu mawazo hayo kuingia (ndiyo, tunajua kwamba tumesema hili kabla, lakini tunajaribu kuhakikisha kuwa inaeleweka). Unapoweza kushikilia hisia ya boank kabisa kwa muda mfupi, utagundua kuwa kuna 'snap' kama kipande cha ngozi kinapasuka, basi utaweza kuona mbali na ulimwengu wetu huu wa kawaida, na kuingia katika ulimwengu beyond time and space. Kwa kufanya mazoezi haya, kwa kufanya hivi, utagundua kuwa unaweza kudhibiti mawazo yako kama wanavyofanya Adepts na Masters.
Jaribu, jizoeze, kwani ukitaka kuendelea ni lazima ujizoeze na ujizoeze hadi uweze kushinda mawazo yasiyo na maana.
Mkuu Shark , mimi sio wa Masaki ni wa Msasani, huyu jamaa kanizidi umri, mimi ni rika la mdogo wake tulikuwa same class Tambaza.Hivi katika pilika zako za Masaki haukuwai kweli kuwa chama Moja na uyu jamaa, na ni kama vile una hasira nae Kwa Yale baba yake aliyomtendea baba yako. Ila ni kweli jamaa changamoto sana adi umuelewe inahitaji uvumilivu na juzi tu apa walitembelewa na Makonda