Tumepigwa parefu mkuu
 
Hilo halina Ubishi.
Hamza alikuwa Gaidi namba 2.
ndio maana karibia wafuasi wote wa Chadema walimtangaza Hamza kama shujaa wao, inathibitisha kuwa Chadema wanaunga mkono kwa 100% vitendo vya kigaidi.
ndio maana hata kuthibitisha kesi ya Mbowe itakuwa kazi nyepesi sana.
huenda Hamza alitumwa na kumtumikia Gaidi namba 1.
 
Huu uchunguzi umekamilika mapema kwa sababu muhusika hayupo, hawana wa kumtesa mahabusu.

Kama angekuwa hai, uchunguzi ungechukua muda mrefu huku magari ya magereza yangeendelea kuharibika ili asifikishwe mahakamani
 
Tuliyajua matokeo yake kabla ya uchunguzi kukamilika
 
Mambo ya aibu kabisa haya. Yaani jeshi lenye intelijensia ya viashiria vya uvunjifu wa amani kwenye mikutano ya vyama vya siasa. Wana shindwaje kuwajua magaidi hadi wanapo ua polisi?
Halafu sasa wana bishana na marehemu.
 
Ndio uawe police? hebu kuweni wakweli kidogo. Kuna shida mahali. Kufunika funuka kombe mwanaharamu apite kwa mambo muhimu kama haya sii mazuri.
 
Kazi kweli kweli huku tunatumia garama kubwa kutangaza vivutio vya utalii, hapo hapo tuna tangaza Nchi ina ugaidi
 
Tanzania ina asili ya kukandamiza waislamu, sishangazwi kuona serekali ikiwa na hamu ya kuwa na ugaidi. Maelezo ya mpelelezi yana kasoro na yana huge gap, ameshindwa kutueleza kitu kinaitwa motive ya Hamza.

Magaidi wote duniani wana motivation na mara zote ni za kisiasa, kiuchumi n.k. Sijafahamu chochote na kiengereza uchwara cha mpelelezi wetu.
 
Huu ubambikaji mpaka kwa maiti isiyoweza kujitetea unashangaza Sana. Wameamua wenyewe kwa vinywa vyao kuuleta ugaidi Tanzania ambao kimsingi haukuwepo.

Makofi kwa DCI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…