ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mi nitakusema kwamba ulikuwa unapenda kuselfika😅Wapo wanaosemwa vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nitakusema kwamba ulikuwa unapenda kuselfika😅Wapo wanaosemwa vibaya
WoiKimoyo moyo unashangilia
Sio dhambi ujue😀Mi nitakusema kwamba ulikuwa unapenda kuselfika😅
Aisee,umeniumiza upya ulipomtaja Warumi!Ni kumkosea marehemu
Nakumbuka kilipotokea kifo cha warumi jinsi members walivyokuwa wanaparuana kutaka picha yake wengine wakituma paparazzi wakiwa na kamera za kisasa mradi wapate picha yake
All in all Marehemu waheshimiwe na kunenewa mazuri
Kuhusu picha gani,haikuhusu
Ila kiufupi nilikuwa nakata roho pia🤣
Pm imefungwa🙆Fanya fasta unione. Life is too short my friend
Kama una kalio kubwa kama la Demi aliyekufa tutasikitika sana.Hivi siku nikifa mtasikitika?
Mmmh msiba ingekuwa mzito sana huku Demi huku Zulu sijui tungekuwa wageni wa nani🙆🙆🙆🙆Angetuua kwa pressure nani angenililia?
Hata wewe don't die before me...I'll be seriously messed up hata my brain might stop workin' na nikufe hapo hapo.😅Uko vizuri nimeelewa 🤣
Pole sana MkuuAisee,umeniumiza upya ulipomtaja Warumi!
Huu mwaka umekuja vizuri mikakati yako ni ya ndani ndani sana utafika mbali 🤣Hata wewe don't die before me...I'll be seriously messed up hata my brain might stop workin' na nikufe hapo hapo.😅
Kila lakheri na msololeo.Acha wivu! Unataka tusiseme ukweli kama tunasololea
Nimekuelewa 🤣🤣🙌🙌Huu mwaka umekuja vizuri mikakati yako ni ya ndani ndani sana utafika mbali 🤣
So sadPm imefungwa🙆
La kwake ni fekeroKama una kalio kubwa kama la Demi aliyekufa tutasikitika sana.
Mwambie aache gubu 🤣Nimekuelewa 🤣🤣🙌🙌
Siko huko unapofikiria,nyonga mkalia ini atanitoa roho akiona hii,I'm out.🤣
Akiona tu bhaaas salam zimefika.Mwambie aache gubu 🤣