TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

Ni kumkosea marehemu

Nakumbuka kilipotokea kifo cha warumi jinsi members walivyokuwa wanaparuana kutaka picha yake wengine wakituma paparazzi wakiwa na kamera za kisasa mradi wapate picha yake

All in all Marehemu waheshimiwe na kunenewa mazuri
Aisee,umeniumiza upya ulipomtaja Warumi!
 
Afadhali sio Demi wetu, nilivyo soma tu kichwa cha habari miguu iliishiwa nguvu .
Apumzike kwa amani huyo aliyefariki, pole nyingi kwa wanao mhusu.
 
Bbl itawaua sana wazungu.
Watanzania wengi wangefanya pia kama wangekua na hela. Watanzania wanamatako ila hayajawa lifted vizuri.
Unakuta mtu anatako limelala na mgongo halijapinduka. Tako zuri. Ni lenye mpinduko unaweka glass ya maji binti akisimama. Tatizo la watanzania wengi. Ila ile butt lift ni hatari. Inahusisha hadi kubadirisha mifumo ya mishipa.
 
Aisee,umeniumiza upya ulipomtaja Warumi!
Pole sana Mkuu

Wengi tuliguswa na msiba wake as she was young and energetic one na kwa Umri wake alikuwa nguvu kazi ya Taifa 😢

Ni vile Mungu anavuna kwa wakati wake

Aendelee kupumzika salama 🙏
 
Back
Top Bottom