Dereva Halima aliyekatika mkono asema 'Niliona mtu ninayemjua akivuka barabara kabla ya ajali'

Ngoja kwanza nicheke
 
Kashasema mkono mmoja ulikua nje means alikua karelax anapiga mashine kwa mkono moja...na ndio maana hiyo kona aloona ya kawaida akashindwa kuimudu... Huhitaji akili ya ziada kung'amua hili. Pole dada yetu..kuendesha gari mkono mmoja mwisho speed 40..na ni marufuku kuning'iniza mkono nje..hata askari mwenye uelewa lazima akuzingue
 
Ipo hii!

Na, Inaletwa na uchovu!
 
Afrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.

Chamsingi omba yasikukute.

#MaendeleoHayanaChama
Waarabu unamaanisha uislam? Sisi waislamu tunaamini uchawi upo, labda Kama una lingine
 
Hahah...

Hapana aliendelea na mishe zake, mimi nikaendelea kuchapa lapa kuwahi niendako...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lol.
 
Akikataa kutoa kafara mtoto wao, na huyo mwanamke ni mndendeule wa Namtumbo, katoa siri nje. Na sahivi ananunuq kafara kwa watu. Huyu msigwa tutamchoka wallah.
 
Umuhimu wa bima unapata pesa ndefu unawekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…