Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Hahaahah, wabongo wate watakatifu. Halafu imekuja kujulikana aliyefia kwenye range ni muosha magari. Naona alilala usingizi akakosa hewa
 
Kinachoharibiwa na uzinzi au uasherati au uovu wowote unaofanana na huo ni nafsi ya mtu,hapa unafungwa na shetani na kuanza kukutumikisha bila ya wewe kujua kuwa unatumiwa na shetani kutimiza anayotaka,lakini mwisho wa yote hayo ni kuangamia,kumbuka kuwa Karma is real...
 
Psychology na Law ina majibu ya kila alichofanya P Didy.

Haina haja ya kuleta story za kusadikika
 
Kuna watu wanapata madhila sio sababu ni wazinzi au watenda thambi, na kuna wanaotenda dhambi balaa na hakuna kinachowapata mpaka wanakufa.
Haya mambo hayatabiriki.
 
Kuna watu wanapata madhila sio sababu ni wazinzi au watenda thambi, na kuna wanaotenda dhambi balaa na hakuna kinachowapata mpaka wanakufa.
Haya mambo hayatabiriki.
Endelea kujifariji,eti wanatenda dhambi na hakuna kinachowakuta,unafikiri unaweza kujua mambo yanayomkuta mtu kwa kuangalia kwa macho,au ulitaka akutangazie anayoyapitia ndio ujuwe anataabika kutokana na uovu wake,ngoja nikuache najua huna unachokijua...
 
Hata wewe huna unachokijua unaongea kwa hisia tu. Mbona kuna watu wema wamepitia mambo magumu tu.
 
Kwamba shetani (kama kweli yupo) awatupe wafuasi wa uovu wake kweli? Au ufika tu mahali anazidiwa na nguvu nyingine kubwa zaidi kuliko yeye na kupelekea yeye na huyo mfuasi wake kufeli?
Ndiyo maana anaitwa Shetani yeye nimuongo msaada wake ni wakukuvuta ili uzame anakutupia chambo ukimeza tu umekwisha...
 
P Diddy bado ni kijana??
Amegoma kukua kama wasanii wa bongo!!?
Maana bongo wasanii wana miaka 20-39 miaka yote hawavuki hapo.
 
Kwanza huyo shetani Hayupo.

Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana,

Yani mtu anafanya maovu kwa tamaa zake mwenyewe za kimwili halafu anaunda dhana ya kufikirika iitwayo "Shetani" kwamba ndio imemtuma afanye huo uovu.

Mfano mganga ambaye ni binadamu kama wewe anaweza kukupa maagizo ya kumuua either mwanao au ndugu yako, Halafu eti utasikia mtu anasema ni shetani.

Ukimuuliza mtu, shetani ni nini? Au shetani ni nani? Wala hajui na wala hawezi kuthibitisha uwepo wa hicho anacho kiita shetani.

Hii dhana ya "shetani" ni kichaka fulani kinachotumiwa kukwepa matendo maovu ya binadamu wenyewe.
 
Hakuna Shetani anayefanya watu wafanye uzinzi na uasherati.

Matendo yote hayo ya uzinzi na uasherati ni matendo ya wanadamu yanayo tokana na tamaa za kibinadamu.

Shetani ni fictional character.
 
Hautaki kuja kuwa tajiri namba moja duniani atakayeiwakilisha Tanzania nchi za nje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…