Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Ni kweli kabisa, kuna watu wanafuata mkumbo tu na kujifanya wema sana au nchi ina watu wazuri
Tunaona kesi nyumbani zaidi ya huyu
Babu amlawiti mjukuu baada ya kujulikana ajiuwa, bongo
Baba mzazi ambaka mtoto wake wa miezi 6 mpaka kufa- Bongo
Na hao freemasonry?
Kila mahali kuna washenzi kweli boss ila waswahili kwa kuhukumu tuko juu
Angalia jamaa aliefia kwenye Range
Comments utafikiri wote ni police very strange
P.diddy atahukumiwa kwa makosa yake na mengi tutasikia pia
Hahaahah, wabongo wate watakatifu. Halafu imekuja kujulikana aliyefia kwenye range ni muosha magari. Naona alilala usingizi akakosa hewa
 
Kinachoharibiwa na uzinzi au uasherati au uovu wowote unaofanana na huo ni nafsi ya mtu,hapa unafungwa na shetani na kuanza kukutumikisha bila ya wewe kujua kuwa unatumiwa na shetani kutimiza anayotaka,lakini mwisho wa yote hayo ni kuangamia,kumbuka kuwa Karma is real...
 
Psychology na Law ina majibu ya kila alichofanya P Didy.

Haina haja ya kuleta story za kusadikika
 
Kinachoharibiwa na uzinzi au uasherati au uovu wowote unaofanana na huo ni nafsi ya mtu,hapa unafungwa na shetani na kuanza kukutumikisha bila ya wewe kujua kuwa unatumiwa na shetani kutimiza anayotaka,lakini mwisho wa yote hayo ni kuangamia,kumbuka kuwa Karma is real...
Kuna watu wanapata madhila sio sababu ni wazinzi au watenda thambi, na kuna wanaotenda dhambi balaa na hakuna kinachowapata mpaka wanakufa.
Haya mambo hayatabiriki.
 
Kuna watu wanapata madhila sio sababu ni wazinzi au watenda thambi, na kuna wanaotenda dhambi balaa na hakuna kinachowapata mpaka wanakufa.
Haya mambo hayatabiriki.
Endelea kujifariji,eti wanatenda dhambi na hakuna kinachowakuta,unafikiri unaweza kujua mambo yanayomkuta mtu kwa kuangalia kwa macho,au ulitaka akutangazie anayoyapitia ndio ujuwe anataabika kutokana na uovu wake,ngoja nikuache najua huna unachokijua...
 
Endelea kujifariji,eti wanatenda dhambi na hakuna kinachowakuta,unafikiri unaweza kujua mambo yanayomkuta mtu kwa kuangalia kwa macho,au ulitaka akutangazie anayoyapitia ndio ujuwe anataabika kutokana na uovu wake,ngoja nikuache najua huna unachokijua...
Hata wewe huna unachokijua unaongea kwa hisia tu. Mbona kuna watu wema wamepitia mambo magumu tu.
 
Kwamba shetani (kama kweli yupo) awatupe wafuasi wa uovu wake kweli? Au ufika tu mahali anazidiwa na nguvu nyingine kubwa zaidi kuliko yeye na kupelekea yeye na huyo mfuasi wake kufeli?
Ndiyo maana anaitwa Shetani yeye nimuongo msaada wake ni wakukuvuta ili uzame anakutupia chambo ukimeza tu umekwisha...
 
P Diddy bado ni kijana??
Amegoma kukua kama wasanii wa bongo!!?
Maana bongo wasanii wana miaka 20-39 miaka yote hawavuki hapo.
 
Utafikiri ninyi ni watakatifu, mnapenda kufurahi matajiri wakipata kashkash ili muuhusishe utajiri wao na shetani sijui freemason.

Acheni hizo mbanga, kuna watu wanapenda kula vitoto vidogo, wao starehe yao ni kupiga miti vitoto huyu akidakwa mtamsingiia ndu yenu shetani, wengine ndo hao wafukua mitaro, shetani anapata kesi kwa upumbavu wa mtu binafsi.
Kwanza huyo shetani Hayupo.

Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana,

Yani mtu anafanya maovu kwa tamaa zake mwenyewe za kimwili halafu anaunda dhana ya kufikirika iitwayo "Shetani" kwamba ndio imemtuma afanye huo uovu.

Mfano mganga ambaye ni binadamu kama wewe anaweza kukupa maagizo ya kumuua either mwanao au ndugu yako, Halafu eti utasikia mtu anasema ni shetani.

Ukimuuliza mtu, shetani ni nini? Au shetani ni nani? Wala hajui na wala hawezi kuthibitisha uwepo wa hicho anacho kiita shetani.

Hii dhana ya "shetani" ni kichaka fulani kinachotumiwa kukwepa matendo maovu ya binadamu wenyewe.
 
Kinachoharibiwa na uzinzi au uasherati au uovu wowote unaofanana na huo ni nafsi ya mtu,hapa unafungwa na shetani na kuanza kukutumikisha bila ya wewe kujua kuwa unatumiwa na shetani kutimiza anayotaka,lakini mwisho wa yote hayo ni kuangamia,kumbuka kuwa Karma is real...
Hakuna Shetani anayefanya watu wafanye uzinzi na uasherati.

Matendo yote hayo ya uzinzi na uasherati ni matendo ya wanadamu yanayo tokana na tamaa za kibinadamu.

Shetani ni fictional character.
 
Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.

Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.

Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .

Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .

Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Hautaki kuja kuwa tajiri namba moja duniani atakayeiwakilisha Tanzania nchi za nje??
 
Back
Top Bottom