Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Watu wanapigana sababu za interest zao, na kupingana nao kwenye mambo hayo sio kwamba ni msafi.Basi pia hata haya ma vita ni wao wanasababisha ki anina, wanchezesha kete zao tu,
Ila tuje kwa putin kwa yeye sidhani kma yumo, why anapiga against them?
Duu hawa wajinga sijui wanataka tupateje pesa za kuishi, wanazidi kuziba mianya tuKatika society ya Illuminati, kiongozi wao ana jina la cheo cha juu, anaitwa Pindar, inasemekana mpaka mwaka 2023 alikuwa Sir Jacob Rothschild.
Huyu ndiye mwenye access ya kukutana na mashetani wa juu na kupokea maelezo kutoka kwao, kwa sasa Jacob ni marehemu.
Nao wanakufa kwani ni binadamu, lakini wana rithisha kwa bloodline zao, na mipango yao inaendelezwa na wanaofuatia.
Anha mkuu hapa sijakupata freshWatu wanapigana sababu za interest zao, na kupingana nao kwenye mambo hayo sio kwamba ni msafi.
Utofauti upo.... Kwa ufupi:Duu hawa wajinga sijui wanataka tupateje pesa za kuishi, wanazidi kuziba mianya tu
So kuna utofaut wa illuminate na freemasons?
Duu hawa wajinga sijui wanataka tupateje pesa za kuishi, wanazidi kuziba mianya tu
So kuna utofaut wa illuminate na freemasons?
Sawa mkuu ila haya makundi yote yanafahamiana zaidi? Na kuwa na mpango mmoja one goverment?, na inawezekana member mmoja akawa katika makundi yote mawili?, na pia freemSons ni devil worshiper?,Utofauti upo.... Kwa ufupi:
Freemasonry Ni cult, au society ambayo ina husiana na occult knowledge/ system of morality.
Illuminati ni kikundi cha familia zisizo zidi 13, bloodline za familia tajiri ambazo lengo lao ni ku dominate world financial supply.
Sawa
View: https://youtu.be/2HshQbTJNv4?si=POU_RuzOcfKodX0M
Ukipata muda tizama hii video kwa utulivu na umakini, utajifunza jambo.
Makundi yote yana fahamiana, na kundi la kwanza kuwepo ni Freemasonry, na baadaye Illuminati wakataka kuungana nao, ulitokea ugomvi mkubwa sana wakati huo.Sawa mkuu ila haya makundi yote yanafahamiana zaidi? Na kuwa na mpango mmoja one goverment?, na inawezekana member mmoja akawa katika makundi yote mawili?, na pia freemSons ni devil worshiper?,
Duu nimepitia makala zake hapa ni noma,Makundi yote yana fahamiana, na kundi la kwanza kuwepo ni Freemasonry, na baadaye Illuminati wakataka kuungana nao, ulitokea ugomvi mkubwa sana wakati huo.
Freemasons wengi walipinga kuungana na Illuminati, Lakini mwisho Illuminati wakashinda kwa nguvu ya pesa, mwisho wakaanza kuwatumia Freemasons katika harakati zao.
Kumbuka Freemasonry ilianza kama jamii ya wataalamu wa ujenzi (Muasisi wake ni Hiram abif, mkandarasi wa Temple of Solomon)
Na ndio iliyomuuwa kwa kiburi chake.Unajua kwanini Jiwe alikataa chanjo ya Corona?
Corona haikuwahi kuwepoNa ndio iliyomuuwa kwa kiburi chake.
ungetupa kidogo iyo eipstin list mkuuP didy ni kama chambo, na hakuna lolote litakalo mkuta kwani wapo wakubwa zaidi yake wana fanya hayo.
Afadhali yeye anashutumiwa kwa visa au kesi za watu wazima wenzake, kuna wale wakuu wa nchi waliotajwa kwenye Eipstin list( island), mpaka leo hakuna walicho fanywa.
Kuhusu kuhoji maswala ya vitabu vya dini, kweli hilo ni kosa na ni kinyume na sheria za Mungu.Duu nimepitia makala zake hapa ni noma,
Ila nawaza shetani aliwezaje kuingiza nia zake kwa kupitia vikundi hivi na alimtumia nan wakati yeye kafungwa na kristo
Wanasema pia hata ikitokea binadamu akawa ana judge baadhi ya mambo katika biblia tiari huyo ni illuminate( god of reasons) na wala haiitaji kujiunga ni suala la wewe ku reason tu tiari umo haitakiwi.ku reasons jambo lolote, kwahyo na sisi ni illuminate.
Mkuu nenda Google nadhani inapatikanaungetupa kidogo iyo eipstin list mkuu
Chai,Swali zuri sana mkuu...
Ni kweli wanacheza kete zao, na wana mfumo unaitwa divide and conquer, au controlled opposition.
Putin Ni wao, ila ana play kama mpinzani ili dunia isijue kinacho endelea, mwisho lengo lao ni moja-- One World government.
Wafrika tu ndio hukwama kwenye huu mkwamo. Shida iko wapi?Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.
Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.
Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .
Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .
Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Hakuna anayekubishia, wapo watu humu wanasema Mungu hayupo na hatuwabishi, imani yako hiyoCorona haikuwahi kuwepo
Wewe hujatembea duniani, tembea uone, wazungu wameadvance ushirikina wao.Wafrika tu ndio hukwama kwenye huu mkwamo. Shida iko wapi?
"The more you research, the crazy you sound to ignorant people"Chai,
Hivi unajuwa hata kuanguka kwa Soviety? Unaelewa kwa nini Putin anateka nchi zingine kama crimea?
Unajuwa source ya kuivamia Ukraine ni nini? Wewe itakuwa wapenzi wa Mr Bond na taarifa ya habari kutoka redio kuzimu Tandika, sijui ulikuwa umeshazaliwa? Maana alikuwa anauza tape za kaseti kusiliza fix zake za kusadikika kama hizi pumba alizoandika hapa.