Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.

Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.

Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .

Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .

Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Kama nadharia ya devil worshipping ni ya kweli, basi ina maana huyo devil hana nguvu kihivyo, maana anakamatika kirahisi na waandishi wa habari na vyombo vya dola.
Mimi nafikiri huyo bwana Diddy ana matatizo yake tu sawa na wale wanaopenda vitoto, au wanaopenda kupiga wanyama, mizoga na maiti.
 
Utafikiri ninyi ni watakatifu, mnapenda kufurahi matajiri wakipata kashkash ili muuhusishe utajiri wao na shetani sijui freemason.

Acheni hizo mbanga, kuna watu wanapenda kula vitoto vidogo, wao starehe yao ni kupiga miti vitoto huyu akidakwa mtamsingiia ndu yenu shetani, wengine ndo hao wafukua mitaro, shetani anapata kesi kwa upumbavu wa mtu binafsi.
Bado hujasema!
 
Freemason wamemtumia kuharibu watu mwishoee wamemtupa huko.. Shetani ndivyo alivyo anakutumia lengo lake likitimia nakutupa na kukucheka
Kuna kitu nashindwa kuwaelewa wazungu, wao ndio wanapromote ushoga sasa inakuwaje mtu ambaye anakaa na vilainishi ili apate utelezi vizuri liwe kosa? Je Didy amewabaka au amewafumuwa kwa hiyari yao kwa tamaa zao za pesa?

Kwa sababu ninavyojuwa mimi ubakaji ndio kosa, lakini mtu anayebinuliwa kwa hoyari yake sioni kosa.

Kwa mtazamo wangu wazungu wameshapanga kummaliza Pdidy.
 
Kama nadharia ya devil worshipping ni ya kweli, basi ina maana huyo devil hana nguvu kihivyo, maana anakamatika kirahisi na waandishi wa habari na vyombo vya dola.
Mimi nafikiri huyo bwana Diddy ana matatizo yake tu sawa na wale wanaopenda vitoto, au wanaopenda kupiga wanyama, mizoga na maiti.
LGBTI inaruhusiwa Marekani na nchi nyinngi za Ulaya na baadhi bara la Asia. Hao walioingiliwa kinyume wanakuja na madai ya kunyanyaswa kingono otherwise isingekuwa ni issue.
Nchi ambazo zimekubali LGBTI wanaendelea kwa kasi while Africa tunaopinga kwa nguvu zote ni maskini wa kutupwa.
 
Kuna kitu nashindwa kuwaelewa wazungu, wao ndio wanapromote ushoga sasa inakuwaje mtu ambaye anakaa na vilainishi ili apate utelezi vizuri liwe kosa? Je Didy amewabaka au amewafumuwa kwa hiyari yao kwa tamaa zao za pesa?

Kwa sababu ninavyojuwa mimi ubakaji ndio kosa, lakini mtu anayebinuliwa kwa hoyari yake sioni kosa.

Kwa mtazamo wangu wazungu wameshapanga kummaliza Pdidy.
Ndio maana wanatumia neno walilazimishwa na kunyanyaswa.
 
Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.

Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.

Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .

Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .

Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Kuna gharama ya kulipa kutumkia devil, either achukue vyote alivyokupa or you pay eith your life. Mwisho unakuwa si mzuri
 
Ni hatari, mtaani watu wanaambiwa uwongo kwamba ni chama cha kupeana utajiri, hilo sio kweli, ni chama chenye mambo tofauti kabisa.
Mbona nasikia karibu viongozi wetu wote ni wanachama Hadi hao hayati waliotangulia!!?

Wanaosema Kuna utajiri hawapo mbali na ukweli japo ni kweli Kuna uwezekano wa mateso makali ndani yao!!
 
Pesa ni Mungu wa dunia, cheza kwa mastep, usikiuke masharti, anaekiuka ni mpumbavu aliyeingia kichwa kichwa.
 
Mbona nasikia karibu viongozi wetu wote ni wanachama Hadi hao hayati waliotangulia!!?

Wanaosema Kuna utajiri hawapo mbali na ukweli japo ni kweli Kuna uwezekano wa mateso makali ndani yao!!
Sio rahisi kwa masikini kujiunga na hicho chama, wanataka watu matajiri au wenye influence katika jamii, mfano wanasiasa, wasanii, wanasheria au majaji wakubwa na wafanyabishara.

Kumbuka lengo lao kuu ni One world government, na kupitia hao watu wenye ushawishi ni rahisi kuwatumia ili kuunganisha mifumo yao katika njia moja.
 
Sio rahisi kwa masikini kujiunga na hicho chama, wanataka watu matajiri au wenye influence katika jamii, mfano wanasiasa, wasanii, wanasheria au majaji wakubwa na wafanyabishara.

Kumbuka lengo lao kuu ni One world government, na kupitia hao watu wenye ushawishi ni rahisi kuwatumia ili kuunganisha mifumo yao katika njia moja.
Ivi huwa wanalazimisha kujiunga ? Mfano mtu akiwa mfabyabiashara mkubwa ? Au ni wewe uende huko kwa matakwa yao?
 
Ivi huwa wanalazimisha kujiunga ? Mfano mtu akiwa mfabyabiashara mkubwa ? Au ni wewe uende huko kwa matakwa yao?
Wanasiasa ndyo huwa wanalazimishwa kwa lazima, watake wasitake, tena wanafanyiwa kitu kinaitwa "Blackmail"

Hao wengine kama wafanyabishara pia wanaweza kulazimishwa, kwasababu mifumo yote ya level za kimataifa imejaa members wa hiyo society, ni ngumu kuwakwepa.
 
Kuna kitu nashindwa kuwaelewa wazungu, wao ndio wanapromote ushoga sasa inakuwaje mtu ambaye anakaa na vilainishi ili apate utelezi vizuri liwe kosa? Je Didy amewabaka au amewafumuwa kwa hiyari yao kwa tamaa zao za pesa?

Kwa sababu ninavyojuwa mimi ubakaji ndio kosa, lakini mtu anayebinuliwa kwa hoyari yake sioni kosa.

Kwa mtazamo wangu wazungu wameshapanga kummaliza Pdidy.
Pengine kuna waya kakanyaga au umeona kibubu chake cha hela kimejaa wanataka kukipuputisha.
 
Back
Top Bottom