Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.

Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.

Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .

Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .

Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Kumbe PDIDY ni kijana? Vipi naskia boss wetu wa tandale naye amepakwa mafuta,hivi ni kweli?.
 
Hhhh, sawa mkuu

Lakini kaa ukijua kwamba hakuna rais katika hii dunia ambaye sio member
Stori za vijiwe vya kahawa zinakupoteza.

Unasema dunia nzima kana kwamba umeshatembea kote huko.

Hapa hata nikikuuliza rais wa India nani humjui
 
Basi pia hata haya ma vita ni wao wanasababisha ki anina, wanchezesha kete zao tu,
Ila tuje kwa putin kwa yeye sidhani kma yumo, why anapiga against them?
Swali zuri sana mkuu...

Ni kweli wanacheza kete zao, na wana mfumo unaitwa divide and conquer, au controlled opposition.

Putin Ni wao, ila ana play kama mpinzani ili dunia isijue kinacho endelea, mwisho lengo lao ni moja-- One World government.
 
Kwahio mafukara mnafarjiana hapa..pumbav. hizi ni habar za kizushi. hakuna faraja yoyote itokanayo na kua fukara..mafukara siku zote ndio hua na mwisho mbaya mana umewapa watu mzigo haswa familia yako na zaid mzigo had kukuzika
 
Ngozi nyeusi wanapenda wakiona tajiri anateseka hata iwe kwa kesi ya kubumba wanafurahi mno.

Watamuita mwizi, fisadi, mchawi, freemason na sifa zote mbayambaya ndio mioyo yao itulie.

Angalia wao mambo yao na nyuzi zao humu uone uchafu wanaoshadadia daily.
Gwajiboy miuno anasema "ni wivu tu".
Naunga mkono hoja, umasikini ndo chanzo cha haya yote hasa kuwa na wivu na wenye pesa
 
Naunga mkono hoja, umasikini ndo chanzo cha haya yote hasa kuwa na wivu na wenye pesa
Screenshot_20240926-124136.png
 
Sio rahisi kwa masikini kujiunga na hicho chama, wanataka watu matajiri au wenye influence katika jamii, mfano wanasiasa, wasanii, wanasheria au majaji wakubwa na wafanyabishara.

Kumbuka lengo lao kuu ni One world government, na kupitia hao watu wenye ushawishi ni rahisi kuwatumia ili kuunganisha mifumo yao katika njia moja.
Je kuna kosa kuwa na one world government? Au shida nini ikiwepo?
 
Kuna watu wanapata madhila sio sababu ni wazinzi au watenda thambi, na kuna wanaotenda dhambi balaa na hakuna kinachowapata mpaka wanakufa.
Haya mambo hayatabiriki.
We live by trial and lucky,wengi walishatolewa ufahamu kisa upofu wa dini.
 
Swali zuri sana mkuu...

Ni kweli wanacheza kete zao, na wana mfumo unaitwa divide and conquer, au controlled opposition.

Putin Ni wao, ila ana play kama mpinzani ili dunia isijue kinacho endelea, mwisho lengo lao ni moja-- One World government.
Mkuu ngoja nikuulize swali la kizushi, wote hawa illum ni bnadamu tu na wanakufa vizuri , ila ni waabudu devil, na ukisom bible inasema lucifer yeye ni roho n kafungwa na yesu mwenyewe, sasa kwa ulivyosoma vitabu, je hawa waabudu shetan wanamuona ?, au mkuu kuliko wote duniani ni nan katika u binadamu? Mana na wao wko miaka na miaka na wanakufa pia.
 
Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.

Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.

Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .

Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .

Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Diddy ana 55 sio kijana
 
Mkuu ngoja nikuulize swali la kizushi, wote hawa illum ni bnadamu tu na wanakufa vizuri , ila ni waabudu devil, na ukisom bible inasema lucifer yeye ni roho n kafungwa na yesu mwenyewe, sasa kwa ulivyosoma vitabu, je hawa waabudu shetan wanamuona ?, au mkuu kuliko wote duniani ni nan katika u binadamu? Mana na wao wko miaka na miaka na wanakufa pia.
Katika society ya Illuminati, kiongozi wao ana jina la cheo cha juu, anaitwa Pindar, inasemekana mpaka mwaka 2023 alikuwa Sir Jacob Rothschild.

Huyu ndiye mwenye access ya kukutana na mashetani wa juu na kupokea maelezo kutoka kwao, kwa sasa Jacob ni marehemu.

Nao wanakufa kwani ni binadamu, lakini wana rithisha kwa bloodline zao, na mipango yao inaendelezwa na wanaofuatia.
 
Back
Top Bottom