Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

Sasa miaka 51 si utulie tu umuheshimu mkeo
Miaka 51 nani atamtaka huyo mwanaume sasa
 
Sasa miaka 51 si utulie tu umuheshimu mkeo
Miaka 51 nani atamtaka huyo mwanaume sasa
Wewe unaishi nchi gani hivi hujui mke wa marehemu Mrema au Manji walikua wasichana hata kukuzidi wewe ila waliolewa na watu wa miaka 70+ sembuse wa 50 tu.
 
Wewe unaishi nchi gani hivi hujui mke wa marehemu Mrema au Manji walikua wasichana hata kukuzidi wewe ila waliolewa na watu wa miaka 70+ sembuse wa 50 tu.
Walikuwa wanaishi chumba kimoja kwani??
 
Walikuwa wanaishi chumba kimoja kwani??
Kwani mwana mke analala kwenye vyimba vingapi kama sio sehemu ndogo ya chumba ya 6×6 mapenzi hayaangalie hidadi ya vyumba bibie labda wamachame
 
Kama ni wanandoa lazima watagawana... Hata kama vimeandikwa kwa jina la mwanamke. Atafute mwanasheria mzuri.
Ustawi walishasema inatakiwa uoneshe ushirika wako katika huo ujenzi
 
ugari moto mboga moto sahani moto
ovaaaar

subra muhm
 
Ila mdogo wako akipata atajiandika yeye au mwenza wake
 
Afu 50/50 wao hawachangii chochote.
Wazungu wajanja sana, wao serikali zao hakuna 50/50 ila za kwetu ndo tumelazimishwa kuweka 50/50
 

Achana na hiyo
Mwenzio nlituma money kwa mshua akaninunulia akaandika na jina lake kama mmikiki
Nlitak kusema huyu mshua aje!!!?

Ila juzi nmemuomba na nida yake nataka
Maji na umeme vipite hukohuko
Kifupi sina kitu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…