Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
"...nje hatuna wajomba"-Hayati JPM (resty easy amen).Kama Zele kafanyiwa hivyo
Sasa nataka na viongozi wa nchi masikini wawekwe mbele ya makamera wanapoenda na bakuli kuombaomba
Hiyo itapunguza safari zao za nje kwenda kuomba
Trump ashikilie hapo hapo
UK naona Waziri mmoja kaachia ngazi kisa PM alisema anapunguza sana misaada ili aongeze bajeti ya Ulinzi
Kila mmoja apambane na hali yake
Inaelekea lugha haipandi.Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Kwa nini mtu kusimamia anachokiamini unaita dharau na kiburi?Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Unasimamia unachokiamini huku ukiwa dhaifu na muhitaji kwa hao unaokwenda kuisimamisha hiyo misimamo ?!!Kwa nini mtu kusimamia anachokiamini unaita dharau na kiburi?
Naam.Unasimamia unachokiamini huku ukiwa dhaifu na muhitaji kwa hao unaokwenda kuisimamisha hiyo misimamo ?!!
....hoja yangu ni kuwa hutaki kubakwa na mwanaume mwenzako halafu katika kujitetea huko unataka huyo anayetaka kukubaka akuonee huruma na kukupa msaada wa kutobakwa.....Naam.
Kwani ukiamini kitu wakati wewe ni dhaifu, udhaifu wako unakufanya usisimamie kile unachokiamini na unachotaka kusimamia?
Let me use a crude example to drive my point home vividly.
Wewe ukiwa mwanamme, hutaki kubakwa, halafu ni dhaifu, anakuja mwanamme mwenzako mbabe anataka kukubaka, utaacha kusimamia kuwa wewe ni mwanamme hutaki kubakwa kwa sababu tu huyo anayetaka kukubaka ana nguvu zaidi yako?
Tatizo lako ujui tabia za MACHOKO WEWE HASA KIBURI NDIYO MAANA UNAMUONA ZELENSKY KUWA SHUJAAHii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Hapana, Zelensky is walking away from the US.....hoja yangu ni kuwa hutaki kubakwa na mwanaume mwenzako halafu katika kujitetea huko unataka huyo anayetaka kukubaka akuonee huruma na kukupa msaada wa kutobakwa.....
Utegemezi ni mmbaya kwa kweliZele ana tamaa sana
Aliitwa Dictator bado hakielewa tu
Kwa ujinga wake na tamaa za kusaini mkataba ndio udenda ukamtoka
Sasa katimuliwa hata Dinner hakula masikini 😄 🤣
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Plan B yake ni nini bila support ya US?Hapana, Zelensky is walking away from the US.
Ndiyo maana haja sign deal.
Ndiyo maana hajaogopa kumkosoa Trump.
Jamaa n wapuuzi sana wao ndo walitaka kumdharau na kumdhalilisha kikao kama hichi n cha siri ila wamejaza media ili wamtukane live ata mm ningevimba nisingekubaliHii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Jamaa n wapuuzi sana wao ndo walitaka kumdharau na kumdhalilisha kikao kama hichi n cha siri ila wamejaza media ili wamtukane live ata mm ningevimbaHii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Awithdraw nini mkuu, wanajeshi wake vitani?Zele ni boya hiii vita ata akiamka kesho aka withdraw inaishia lakini ana taka kukomaa na vita ambayo hawezi shinda hata akipewa jeshi la US
Mkuu kwahiyo upumbavu wake ni kukataa kuwa mnafki sio?Kwa mara ya kwanza nimemuonea huruma Zelesky kwa upumbavu wake. My thoughts are to Ukrainians to see their leader is humiliated and like this on live media. It's truly saddening.
When you are poor, you should have a very well diplomacy and hypocrisy to deal with today's politics.
Again, sad.
Urusi akisonga mbele , wew unanufaikaje ?Safi sana yaparuane tu, Urusi ni mwendo wa kusonga mbele tu.