Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

Nyumba ya S.A bado mnabisha kuwa siyo ya kwake mpaka leo? Aisee

Kama ni show off ebu tuchukulie hizi japo mimi siamini kama ni showoff

Kumiliki Wasafi Radio na TV ukawalipa mishahara wafanyakazi zaidi ya 50 wanaofanya kazi pale.

Kusafiri na msululu wa watu kila mara.

Kumiliki wasanii ambao nao wana show off kama Rayvanny, Zuchu na Mbosso. Hiyo ela ya showoff wanazofanya wanazitoa wapi?
 
Huyu ni : Moja shika kumi wacha. Most of what he says are just lies and exaggerations of his life.
 
Wasafi Radio na TV yeye ndiye mmiliki kumbe?? 😂😂😂😂.. Nilifikiri ni Kusaga & Family..

South ana ghorofa alafu Bongo kapanga 😂😂😂😂

Safari binafsi anasafiri na Msululu kumbe.. Hongera zake..

Hao wasanii wanakula jasho lao, hawali pesa ya Daimond. After all hao wasanii wake wote nao wanakaa nyumba za kupanga kama boss wao. Itakuwa nao wana malengo ya kujenga dream house kama boss wao au sio 😂😂😂

To make a story short, Wasafi wanapenda show offs ila wana malengo ya muda mrefu ya kujenga dream houses
 
Lakini wako chini ya lebo kila wakiingiza pesa anakula percent yake.

Kwahiyo unataka kusema kuwa yeye diamond hana shares wasafi radio? Tanzania huwezi kumiliki radio wewe peke yako hivyo wasafi kama wasafi lazima wenye share awe zaidi ya mmoja, hiyo maana yake there is no way atamiliki radio peke yake.

About nyumba hadi wadaku bongo walintafta blocker kumuuliza, akasema alishangazwa jinsi watu walivyokuwa wanauliza kama kweli ile nyumba imenunuliwa na diamond, na akakiri imenunuliwa na akasema uwa inachukua muda kuondoa nyumba kweye tovuti yao ila kwa case waliyokutana nayo kwenye ile nyumba ilibidi waondoe haraka sana.

Juzi hapa kasafiri na S2kizzy unamchukua producer unaenda kaa naye almost mwezi mzima ukifanya naye kazi ina maana hafanyi kazi na mtu, unahisi atalipa kiasi gani? Who does that in TZ...

Ukweli mimi sijui ana kiasi gani, ila nina appreciate na kurespect hustles zake. Kwa hilo nampa respect
 
Hapo Wasafi ana vipercent vidogo sana.. hakuweka hela, WCB ni Goodwill so alipewa hizo shares ndogo sababu ya brand yake..

Huyo Producer ni mbongo au??

Hakuna anayekataa hana pesa, ila hizo pesa anazosingizia kwamba anazo ni uongo. Majuzi alisema eti kalipwa almost 12bn ya kibongo na kiApp cha akina Nameless wa Kenya. Wewe una amini hilo?

Kama App ya Nameless inaweza mlipa Diamond billion 12, basi Nameless atakuwa msanii tajiri kuliko wote East Africa.
 
Ile app ya akina nameless mkuu una hakika na hilo?
Yes S2kizzy ni producer anayefanya vizuri saaana kwa sasa bongo. Tena sana.
 
Ile app ya akina nameless mkuu una hakika na hilo?
Yes S2kizzy ni producer anayefanya vizuri saaana kwa sasa bongo. Tena sana.
Fanya uchunguzi wako utaniambia App ni ya nani!!

Kwahiyo wewe unaamini kalipwa billion 12 na hicho kiApp??

Kama Producer ni mbongo unaweza mkalisha hata mwaka. Mpe mademu na pombe tu
 
Fanya uchunguzi wako utaniambia App ni ya nani!!

Kwahiyo wewe unaamini kalipwa billion 12 na hicho kiApp??

Kama Producer ni mbongo unaweza mkalisha hata mwaka. Mpe mademu na pombe tu
Sijajua App ni ya akina nani kwasababu sikufuatilia, na pia uwa nina mashaka kama hiyo pesa inalipwa per go.
Hayo mashaka nilianza kuwa nayo Jokate alipodai kaingia mkataba wa bils 3 na wachina. Sidhani kama inalipwa per go hata vunjabei hiyo ela hakuwalipa yote simba.
Huenda ni pesa inayolipwa kwa kipindi chote cha mkataba
 
Mkitoka kwa Mondi tuje tuweke kumbukumbu sawa zile nyumba za wale madogo wa YAMOTO zpo wapii maana tulijazwa mauongo sana miaka ile
 
Fanya uchunguzi wako utaniambia App ni ya nani!!

Kwahiyo wewe unaamini kalipwa billion 12 na hicho kiApp??

Kama Producer ni mbongo unaweza mkalisha hata mwaka. Mpe mademu na pombe tu
Mkuu ile Mziiki haimilikiwi na Nameless siyi kweli, baki inamilikiwa na mhindi flani wa south anatwa Arun Nagar ila makao yake makuu ni Nairobi na brand ambassador wao wa kwanza alikuwa wyre back in 2014.
Hizo ndiz taarifa nilizopata hapa.
Hivi unajua hata kweye video ya chegge ft diaomond acha waoane wale madansa walikuwa wamevaa tshirt zina chata la mziiki, sijui walilipwa.
 
Fanya uchunguzi wako utaniambia App ni ya nani!!

Kwahiyo wewe unaamini kalipwa billion 12 na hicho kiApp??

Kama Producer ni mbongo unaweza mkalisha hata mwaka. Mpe mademu na pombe tu

Kwahiyo unataka kuniambia Yale maV8 mawili ni yakukodi??
 
Mkuu pia tuweke wazi swala lililopo la Mond na kusaga kwenye wasafi Tv
 
Kwahiyo unataka kuniambia Yale maV8 mawili ni yakukodi??
Sijui ila alishawahigi kukodishwa Prado TX those time bado hajawa tajiri kama sasa..

Alafu level anayoongelewa Diamond sio wa kumlinganisha sijui na maVX.. Unless mnataka kukubali kwamba yeye sio tajiri kama mnavyosema..
 
Share 45% ni ndogo? hata kama unamchukia ila 45% si ndogo.
 
Sijui ila alishawahigi kukodishwa Prado TX those time bado hajawa tajiri kama sasa..

Alafu level anayoongelewa Diamond sio wa kumlinganisha sijui na maVX.. Unless mnataka kukubali kwamba yeye sio tajiri kama mnavyosema..
Kwa hiyo level ya Diamond atembelee gari? Yaani VX zaidi mil 200 unaona gari kawaida duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…