Diamond Platnumz ashangaa mwili wake kuendelea kupungua

kupungua uzito pia ni dalili moja wapo ya upungufu kwa kinga mwilini,yaani UKIMWI
 
Sijui hili ni tatizo gani? Ndani ya miezi miwili nimepungua sana uzito ikabidi nikapime UKIMWI lakini sina.

Nakula vizuri tu ila mwili unapungua kwa kasi.
 
Yupo na zuchu , akiwa na tipw tipwa anakuwa tipwa Sasa hivi ni yuponakimbau mbau lazima awe kimbau mbau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…