Ukishaingia au ukiingizwa kwenye mkondo wa pesa basi pesa zitakuja tu π . Tuwasifu labda walioanzia alifu kwa kijiti wakafikia kama yeye kama wapo !Zali kivipi? Embu nieleezee mimi ndugu hili zali linakuwaje?
Asante sana.siaminigi kuhusu zali ma bahati,no hustle,nothing you will get,trust it or not its a realit
Mo hajarithishwa amekabidhiwa mtendaji mkuu na msimamizi, wakati huo akiendesha biashara na familia
Boss mimi hii nilikuwa sijajuaga, kumbe alishawahi kusemaga mwenyewe amekabidhiwa mali?
Wewe ndo mpuuzi na mpumbavu, kama Baba yako masikini ni tatizo lakeComment ya kipuuzi
We naye mzee wa hovyo sanaBaba yake Mo
Mwenzake Shabiby yuko kivyake sio kifamilia!
Umasikini haukufanyi kuwa na akili. Njaa ni rafiki wa utindio wa ubongo na udumavu.Utajiri wa kurithi haukufanyi kuwa na akili. Kwanza utajiri wowote haukufanyi kuwa na akili.
Bado ni uwezo wa kiuchumi!!Una uhakika MO ana uwezo wa kiuchumi au ni urithi
Kuna mchungaji nilishamsikiaga hakuna kitu rahisi kama kuwa tajiri, na hakuna kitu kigumu kama ku umaintain huo utajiri. Ndugu yangu unaachiwa pesa ambayo hujui jasho lake $30M Unaizalisha to 1. Something billion inahitaji kichwa smart sana haijalishi pesa kaachiwa, kiukweli kwangu mimi ni mtu smart sanaUkishaingia au ukiingizwa kwenye mkondo wa pesa basi pesa zitakuja tu π . Tuwasifu labda walioanzia alifu kwa kijiti wakafikia kama yeye kama wapo !
Kwani mitaani kwetu hatuna watu waliorithi mali za familia zao na kuzifilisi?? Watu wanajifanya hamnazo!matamanio na sio ndoto ndio vinawatoa watu kwenye uhalisia,kuna mtu hata umpatie hiyo 1B,hafiki mbali anakuwa yuleyule wa jana,ni wachche sana
Kisirani hamisiKamfuta urafiki [emoji1] walikuwa wamepinga kuwa marafiki kwani
Consistent hustle na zali pia likuangukie uingie au uingizwe kwenye mkondo wa mihela !siaminigi kuhusu zali ma bahati,no hustle,nothing you will get,trust it or not its a reality
Mpuuzi huyu Kigwangala, Mo angekuwa na uwezo mdogo wa kufikiri asingewachukua Hamza Johari na Chandoo kama wajumbe wa bodi wa upande wake pale Simba.Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
Source Star tv Medani za Siasa
Fuatilia watu wanaoshinda michezo ya kubahatisha na kuingia kwenye pesa ghafla.Ukishaingia au ukiingizwa kwenye mkondo wa pesa basi pesa zitakuja tu π . Tuwasifu labda walioanzia alifu kwa kijiti wakafikia kama yeye kama wapo !
Umenena !Kuna mchungaji nilishamsikiaga hakuna kitu rahisi kama kuwa tajiri, na hakuna kitu kigumu kama ku umaintain huo utajiri. Ndugu yangu unaachiwa pesa ambayo hujui jasho lake $30M Unaizalisha to 1. Something billion inahitaji kichwa smart sana haijalishi pesa kaachiwa, kiukweli kwangu mimi ni mtu smart sana
Hao hufilisika ghafla pia!Fuatilia watu wanaoshinda michezo ya kubahatisha na kuingia kwenye pesa ghafla.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Maskini! MO atakuwa ameumia sana kumpoteza rafiki kama Kigwangala
Yeye analima Mpunga na kufuga Ng'ombe wa maziwa Kijijini kwao Nzega!kingwa ni mbumbumbu,yaani mwenzake anapenetrate soko la Afrika,anaingia kwenye copetition ya mabilionea Afrika na Duniani ,Halafu unasema uwezo wa kufikiri ni mdogo? ni rahisi kupenya kwenye siasa hata kwa mbumbumbu lakini sio BIASHARA,biashara wanapenya magician tu
Huna chochote mbwa weweI have enough properties for my generations and generations to come, au ww unajua ukimuona mtu hapa JF ni just an ordinary guy.. MO ni mwizi mkubwa
Kweli mkuu.Hao hufilisika ghafla pia!