gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Mkuu mambo ya Mungu ni hatari sana, huyu aliyepita bila kupingwa usishangae asiufikie huo ubunge akaishia njiani.Atake asitake.....na Ndugai akabariki hii kauli. Itapendeza sana kama huyu ndugu atanyimwa uspeaker maana Ubunge ndo keshajinyakulia kwa kupita bila kupingwa