Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

Yaani tuchague mgombea anayetaka wanawake kila saa , kila dakika , kila hotuba
Screenshot_20200906-113335.png
 
Endeleeni kufanya kamkutano kamoja kila Siku, mwenzenu mpaka muda huu kafanya mikutano mitano.

Hamko serious na kampeni nyie
Kwa pumba hizo anazoongea mitano ni michache, alipaswa afanye hata hamsini kwa siku moja.
 
Ivi ndio katiba yetu inasema ukichagua chama tofauti na kinachoongoza dola ni halamu kupelekewa huduma za kijamii na maendeleo? Na usipolipa kodi katika maeneo hayo unakuwa muhaini?

Yaani ulipe kodi ila maendeleo kwako hayaji na vyombo vya sheria vuko kimya?
Ndio tafsiri ya Shithole country
Anayasema hayo na vyombo vya usalama na ulinzi wa nchi vikitazama namna nchi inavyoharibiwa kwa maslahi ya watu flani.

Watu wawe chadema, Act, Chauma still wanalipa kodi na huduma ni haki yao, kama hawakukupigia kura ni democracy ilipelekea wamuone mtu mwingine anafaa kuliko wewe.
 
Ivi ndio katiba yetu inasema ukichagua chama tofauti na kinachoongoza dola ni halamu kupelekewa huduma za kijamii na maendeleo? Na usipolipa kodi katika maeneo hayo unakuwa muhaini?

Yaani ulipe kodi ila maendeleo kwako hayaji na vyombo vya sheria vuko kimya?
Kwenye nchi zinazoheshimu utawala wa sheria Mgombea wa namna hii angekamatwa mara moja na kuondolewa kwenye kinyang'anyiro
 
Nadhani hata ww umeanza kuona walakini kwa jiwe. Ameshapanick, na kwa mazingira ya kawaida hastahili kuendelea na kampeni, vinginevyo ataongea mambo ya ajabu sana.
Regadless ya ninachokiona , Kauli aliyotoa ni kauli ya kujiamini kuwa anachukua tena mamlaka, sasa mpira upo kwa uma/wananchi kufuata matakwa yake ama la, yeye keshasema matakwa yake sasa ni wananchi kuamua.
 
Inaonesha bidhaa aliyoizalisha (ndege, flyover, SGR, ukosefu wa ajira, zarau kwa watumishi) haziuziki tena. Sasa ameamua kutishia kufunga kiwanda, bila kufahamu kuwa kabla ya kiwanda chake maisha pia yalikuwepo.

Viongozi jifunzeni kuheshimu watu na kuhakikisha kuwa vipaumbele vyenu vinagusa moja kwa moja maisha yao.
 
hivi kweli ukifikiria haswa unadhani kweli CHADEMA inaweza kuingusha CCM ?!hizo ni ndoto za mchana wa saa sita .
hata Mbowe na Lisu wanafahamu kuwa hawawezi kuitoa ccm madarakani.
kwa kampeni inayo fanywa na ccm ni wazi ccm itashinda
 
Ivi ndio katiba yetu inasema ukichagua chama tofauti na kinachoongoza dola ni halamu kupelekewa huduma za kijamii na maendeleo? Na usipolipa kodi katika maeneo hayo unakuwa muhaini?

Yaani ulipe kodi ila maendeleo kwako hayaji na vyombo vya sheria vuko kimya?
Ulishawahi shuhudia mtu bonge ukipata kipondo toka kwa kimbaombao mpaka anang'ata. Ndio ninachokiona jibaba linang'ata
Kampeni zimemshinda kutongoza hawezi na ushawishi hana.
Nawalaumu waliokuwa wakimvisha kilemba cha ukoka na kumuaminisha miradi mikubwa itamuinua. Sasa miradi haisemi, wapambaji hawaingii majukwaani, sasa kazi tupu
 
'Mkijidanganya hapa mkachagua wa chama kingine, majuto yake mtayaona, wala siwadanganyi, siwafichi..''.Mgombea Urais CCM-Dkt.John Magufuli

ITV Tanzania

Screenshot 2020-09-06 at 14.13.00.png


Kauli kama hizi zikitoka kwa Mgombea wa Chama changu ( tena Rais ) sasa zinaweza kutupa Kazi ngumu Sisi tunaompenda na Kumpigia Kampeni.
 
Magufuli anatakiwa kukataliwa na kila mwananchi mwenye akili timamu, narudia tena mwananchi mwenye akili timamu.
Mara pah! Baba/Mama yako anatokea kumkubali Magufuli kinoma yaani haambiwi hasikii.

Niongeze sauti au hiyo inatosha
 
Huko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Udiwani kuwa akichaguliwa anawatelekeza wananchi

Magufuli amewaambia hawatishi, anawaambia ukweli kuwa wasipomchagua watajuta
kisha akaendelea kuongea Kisukuma


Makavu live ...na maji uliyaahidi wewe Mheshimiwa Rais!
 
Nilijua tu, kauli kama hizi lazima ziwape shida hata na wana CCM wenyewe.

Ni kauli za hovyo, ni kana kwamba Magufuli anataka kurudisha taifa kwenye siasa za chama kimoja.

Hii haikubaliki kabisa na sio sawa
 
Ulishawahi shuhudia mtu bonge ukipata kipondo toka kwa kimbaombao mpaka anang'ata. Ndio ninachokiona jibaba linang'ata
Kampeni zimemshinda kutongoza hawezi na ushawishi hana.
Nawalaumu waliokuwa wakimvisha kilemba cha ukoka na kumuaminisha miradi mikubwa itamuinua. Sasa miradi haisemi, wapambaji hawaingii majukwaani, sasa kazi tupu
Hajui kutongoza.
 
Back
Top Bottom