TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia


Una ijua elimu yangu ?
 
RIP pole mama Collins kwa msiba mkubwa.
siku si nyingi walipata msiba kwa misanya kufiwa na ndugu yake kama kumbukumbu zangu ziko vizuri.
 
Kapumzike kwa amani Brother,mbele wewe nyuma sisi.JINA LA MUNGU LIHIMIDIWE na awatie nguvu wafiwa.
 
Misanya Bingi mzee wa kipusa muda ule akiwa Radio one! Roho Mtakatifu awe mfariji mkuu wa familia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…